Hongereni sana Yanga SC kwa Ushindi na Kuingia Makundi CAFCC

Amemzidi aliyekuzaa hilo Tatizo au?
Ndo wewe kabisa, niliwahi ambiwa unacheti cha milembe. Nafaham watu hawakuelewi lakini siyo makosa yako. Unalotatizo la muda mrefu sana. Najua ipo siku tutafahamiana tu kwa hizi id fake za jf
 
Hongera ya kinafiki hii! Hatuna shida nayo.
 
Hivi ukirudia kusoma hiki ulichokiandika hapa si utajiona ni mjinga sana!!
 
Hongera ya kinafiki hii! Hatuna shida nayo.
Nami bado nauliza je, baada ya Yanga SC Kufuzu Makundi ya CAFCC tuendelee kuliita hili ni Kombe la Walioshindwa ( Losers ) au?
 
Hivi ukirudia kusoma hiki ulichokiandika hapa si utajiona ni mjinga sana!!
Nami bado nauliza je, baada ya Yanga SC Kufuzu Makundi ya CAFCC tuendelee kuliita hili ni Kombe la Walioshindwa ( Losers ) au?
 
Ndo wewe kabisa, niliwahi ambiwa unacheti cha milembe. Nafaham watu hawakuelewi lakini siyo makosa yako. Unalotatizo la muda mrefu sana. Najua ipo siku tutafahamiana tu kwa hizi id fake za jf
Nami bado nauliza je, baada ya Yanga SC Kufuzu Makundi ya CAFCC tuendelee kuliita hili ni Kombe la Walioshindwa ( Losers ) au?
 
Hatuna haja na hongera za Makolo,pambaneni na hali zenu[emoji1745]
 
Yani uwakere watu then uje uwasifie ushaona wapiii?? Wapiiii? Ndo maana wengine tunakaza fuvu tuu.
 
Tuache unazi yanga kweny game ya taifa na hii ya Tunisa alionesha kabisa ameanza kupata uzoefu na amebadilika nazan Ile game na Al hilal iliwapa Somo namna gani ya kucheza mechi za CAF na hivi kaingia makundi ya shirikisho Atapata zaidi uzoefu utakao msaidia kweny Champions leauge ni suala la muda tu yanga naye atakua anacheza group stage za ligi ya mabigwa
 
Tuna wapongeza yanga
Ila Wakikuambia Yanga imeweka historia na haijawahi tokea.
Waambie Je wanakumbuka ile historia ambayo haijawahi vunjwa ya simba kupigwa 4-0 ikapindua ugenini kwa 0-5 au wamesahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…