Hospitali ya Taifa Muhimbili yafafanua kuhusu video ya Joseph Haule (Profesa J) iliyosambazwa mitandaoni

Hii tabia haijaanza leo , hata kipindi cha msiba wa Magu watu walivujisha picha za maiti , watu wakafurahi ona inajirudia tena kwa Pro Jay ! Tubakishe utu aseee mbali na migogoro tuliyonayo!!!
 
Mi siwezi kujadili kitu ambacho sijakiona
Jaman watu wanamtuhumu mtu hata video zenyewe hazipo
Nchi yetu Tanzania ni balaa
 
Tanzania ina watu wa hovyo sana ukute ni daktari bingwa ndo karekodi hiyo video.
 
Hii tabia haijaanza leo , hata kipindi cha msiba wa Magu watu walivujisha picha za maiti , watu wakafurahi ona inajirudia tena kwa Pro Jay ! Tubakishe utu aseee mbali na migogoro tuliyonayo!!!
Kama walivyoshangilia kipindi kile na hili nalo washangilie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…