Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndugu na jamaa wa karibu, madaktari na manesi ndiyo huwa wanaingia ICU= Ndugu hawezi kufanya hivyo, linabaki kundi moja nalo ni wauguzi na madaktari (WHO THE CAP FIT)Je ICU haina uangalizi kwamba watu wanajiingilia tu na kufanya yao au Madaktari ndio wanafanya haya ?
Sio kwa kila mgonjwa mkuu, kuna family hasa wanasiasa wanaoenda huwa sio kila mtu ni either ndugu tena sio wote au wanasiasa na viongozi wa SerikaliIcu wanaingia watu wengi kuona wagonjwa.
Usiusemee moyo. Kuna ndugu na ndugu.ndugu na jamaa wa karibu, madaktari na manesi ndiyo huwa wanaingia ICU= Ndugu hawezi kufanya hivyo, linabaki kundi moja nalo ni wauguzi na madaktari (WHO THE CAP FIT)
Tangu aanzishe app pamekuwa na ubuyu mwingii hadi inachoshaTatizo lote kalisababisha Mange
Wanampa kichwa kuendelea kudhalilisha watu.Yaaan waliolipia app watupwe sero? Kwa kosa gani?[emoji848][emoji848]
Tuendelee kufirahia ubuyu kama ule wa kipindi kile cha Magu!Je ICU haina uangalizi kwamba watu wanajiingilia tu na kufanya yao au Madaktari ndio wanafanya haya ?
Kwa hiyo Mange sasa hivi anapambana na chadema?Hakuna aliyewahi kupambana na Chadema akashinda
Uchafu wa Mange umeuona leo tu?Kwamba tuache tu uchafu huu uendelee siyo?
Aendelee tu!Sawa, hajaanza leo na alikuwa anashangiliwa na walioguswa leo, Kwahiyo aachwe aendelee na tabia hiyo?
Ili aendelee kutuhabarishaKwanini aliachwa? na kwanini asiachwe aendelee? Duh! Ili iwe nini sasa kwa mawazo yako.
Kama walivyoshangilia kipindi kile na hili nalo washangilieHii tabia haijaanza leo , hata kipindi cha msiba wa Magu watu walivujisha picha za maiti , watu wakafurahi ona inajirudia tena kwa Pro Jay ! Tubakishe utu aseee mbali na migogoro tuliyonayo!!!
Tuendelee kula ubuyu kama ule wa kipindi cha MaguTangu aanzishe app pamekuwa na ubuyu mwingii hadi inachosha
Bwashee ni wewe nini?!!Content za hiyo laana mliyotoa ni zipi? Laana zinatolewa na natural person, sio taasisi
MUONE UMUHIMU WA CCTV CAMERAS KWA HOSPITAL KUBWA KAMA HIYO.Baada ya Video kusambaa mitandaoni ikimuonesha Joseph Haule (Profesa J) akiwa anapambania maisha yake kwenye Chumba cha Wagonjwa ambao wanapewa Uangalizi Maalumu(ICU), Hospitali ya Muhimbili imedai kumtafuta aliyerekodi Video hiyo.
Pia soma;
1). Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua