Hospitali ya Taifa Muhimbili yafafanua kuhusu video ya Joseph Haule (Profesa J) iliyosambazwa mitandaoni

Hospitali ya Taifa Muhimbili yafafanua kuhusu video ya Joseph Haule (Profesa J) iliyosambazwa mitandaoni

Haya ni matokeo ya watanzania kupenda umbea, majungu na unafiki. Mange na upumbavu wake wote anajua hadhira yake inataka nini na anawapa wanachokitaka.

Hili limefanywa na mtu huenda kasoma miaka yote ili awe daktari au nesi, tunaamini ana utu na anajua kazi yake inataka nini, ni mpumbavu tu asiyetumia akili yake.
 
Huku ni kukosa kazi na ayo ndo matumizi mabaya ya ofsi na akili yan Watanzania wote leo habari ni pic za profesa tujifunze kufanya kaz tuache uongo
 
Baada ya Video kusambaa mitandaoni ikimuonesha Joseph Haule (Profesa J) akiwa anapambania maisha yake kwenye Chumba cha Wagonjwa ambao wanapewa Uangalizi Maalumu(ICU), Hospitali ya Muhimbili imedai kumtafuta aliyerekodi Video hiyo.

Pia soma;

1). Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Anyway, mwache aendelee kuyamwaga maana si nchi imefunguliwa, mkamtumia na pasi ya kusafiri kabisa pamoja na kupiga picha na Mkulu wakati mmesahau kuwa kichwani kuna nati zake zimelegea, mpaka siku atakapoanza kuwatukana mliopiga nae picha ndio mtajua kuwa yule sista wa US akili hana
 
Tulieni...

Atatafutwa yeyote waseme kakamatwa..

Baadae yanakwisha pole pole... ..
 
Je ICU haina uangalizi kwamba watu wanajiingilia tu na kufanya yao au Madaktari ndio wanafanya haya ?
Nimewahi kufika ICU.

Unaruhusiwa kwenda kumuona mgonjwa huko.

Labda,hao waliopewa ruhusa ya kwenda kumuona ndo wamerekodi.
 
Baada ya Video kusambaa mitandaoni ikimuonesha Joseph Haule (Profesa J) akiwa anapambania maisha yake kwenye Chumba cha Wagonjwa ambao wanapewa Uangalizi Maalumu(ICU), Hospitali ya Muhimbili imedai kumtafuta aliyerekodi Video hiyo.

Pia soma;

1). Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Kwanini mmekuja haraka sana na idadi ya maelfu mnaowahudumia kabla ya kuwachunguza watumishi wenu! Hatuhitaji majibu ya kisiasa kwenye hili.
 
Inasikitisha sana watu wanakosa utu kiasi hicho.
Na hilo lidada lililopost aisee lilaaniwe.
Na kuna mizombie inachekelea tu,inalipia na hela kuona mambo ya kipumbavu.
Hawa wote ilitakiwa wazolewe na kutupwa ndani jumlajumla(kwa sauti ya Mwanri)
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]umeandika kwa hisia sana
 
Back
Top Bottom