Na wameshauliwa askari zaidi ya 1,500 😀😀😀HIi vita iendelee tu, unaambiwa Usrael wanashushiwa kichapo huko hsijapata kutokea.
Wameingia gaza kichwa kichwa wamechinjwa wote, Halafu Gaza wala hawana wasiwadi, maisha yanaendelea kama kawaida. Zile videos za eti Gaza inashambuliwa kumbe ni uongo mtupu
Kwani Hammas kipindi wanashambulia wananchi waisrael waliruhusu wanawake na watoto kutoka mbona mnatafuta huruma kwa wapalestina ila kwa Israel hamuoni huo ugaidi anaofanyiwaKwa kweli hali ilivyo Jumuia ya Kimataifa inabidi iingilie kati kuishawishi Israel isitishe mashambulizi ya anga kwa muda ili kuruhusu raia wasio na hatia mf.akina mama, watoto na wazee kutoka Gaza!
Otherwise ni maafa ya kutisha!
Kama ni wachovu embu peleka pua yako kuwasaidia hao hammasIsraeli ni wachovu tu hao na walala hoi. Hawana chochote cha kuogopwa
Ana tegemea sapoti ya wamarekani.
ACha wavune walichokitafuta wenyewe. Huwezi kuua watu wasio na hatia afu ukaachwa tu. Yani watapigwa nila kujali. Idadi ya walio uliwa israel itazidishwa mara 20 sasa waamue wenyewe wakimbie au wageuzwe majivu..Hakuna haja ya salamu.
Hali imezidi kuwa mbaya kwa upande wa Palestina baada ya kuanzisha mashambulizi Israel. Waisrael wameendelea kumimina mabomb maeneo mbalimbali ya palestina hasa huko GAza na kuleta hali ya Umauti Mauti kwa wakazi wa eneo hilo.
Wapalestina wengi wameonekana wakisikitishwa na vita hivyo kutokana na maafa ambayo yanaendelea. na kuomba jamiii za kimataifa kuingilia katika kuleta hali ya amani nchini humo. Huku Waisrael wakiendeleza kuchafua hali ya hewa katika maeneo mengi wakilipiza mauaji yaliyofanyika kwa watu wao. wamesikika wakisema kuwa kama wapalestina wametaka kiti. wao wanawapata hadi kitanda wakalale.
taarifa kamili kutoka al jazeera.
Israel-Hamas updates: US set to deploy ‘additional assets’ to Middle East
These are the updates from Tuesday October 10, 2023www.aljazeera.com
Walipo ipiga israel na kuteka raia wasio na hatia huo umoja wa mataifa mliuomba uingilie kati..? Unafiki ni mbaya saabaKwa kweli hali ilivyo Jumuia ya Kimataifa inabidi iingilie kati kuishawishi Israel isitishe mashambulizi ya anga kwa muda ili kuruhusu raia wasio na hatia mf.akina mama, watoto na wazee kutoka Gaza!
Otherwise ni maafa ya kutisha!
Kwani wanataka Amani au wanataka Uhuru? Maana ninachofahamu hakuna amani pasipo na Uhuru, si kwa mtumwa wala bwana wake, wote hawawezi kuwa na amani kamwe!Hakuna haja ya salamu.
Hali imezidi kuwa mbaya kwa upande wa Palestina baada ya kuanzisha mashambulizi Israel. Waisrael wameendelea kumimina mabomb maeneo mbalimbali ya palestina hasa huko GAza na kuleta hali ya Umauti Mauti kwa wakazi wa eneo hilo.
Wapalestina wengi wameonekana wakisikitishwa na vita hivyo kutokana na maafa ambayo yanaendelea. na kuomba jamiii za kimataifa kuingilia katika kuleta hali ya amani nchini humo. Huku Waisrael wakiendeleza kuchafua hali ya hewa katika maeneo mengi wakilipiza mauaji yaliyofanyika kwa watu wao. wamesikika wakisema kuwa kama wapalestina wametaka kiti. wao wanawapata hadi kitanda wakalale.
taarifa kamili kutoka al jazeera.
Israel-Hamas updates: US set to deploy ‘additional assets’ to Middle East
These are the updates from Tuesday October 10, 2023www.aljazeera.com
Yaani kibano kitolewe kwa hao washenzi. Yule jamaa yao wa hizbollah aliwapongeza wapalestina akijua israel watalala usingz sahv huko alipo anatama ajinyeeeChanga la macho hilo, ili wapalestina waendelee kupigwa tu.Waisrael wanataka Gaza iwe majivu tu halafu wahamie Lebanon wakatoe kibano kwa Hizbollah halafu ndio watulie.
Hayo ni mawazo yakoUrusi ndie kawatumia hamas kuipiga Israel ili aweze kuitandika vizuri Ukraine kwa maana nguvu zote zinaelekezwa Israel kulko Ukraine, michezo ya warusi hii
Hili suala la kuifuta Israel linaongelewa sana, why Israel?Ni rahisi kunywa Supu ya kokoto kuliko kuifuta Israel duniani
Kwani 1947 kurudi nyuma, nchi ya Israel ilikuwa wapi hapa duniani?Yaani kibano kitolewe kwa hao washenzi. Yule jamaa yao wa hizbollah aliwapongeza wapalestina akijua israel watalala usingz sahv huko alipo anatama ajinyeee
Huko kumega ardhi ya Wapalestina kutaongeza zaidi matatizo na kusukuma vijana wa kipalestina kujiunga na makundi ya Hamas na Islamic Jihad kupambana na Israel.Kwa usalama wa Israel inabidi mpaka usogee ndani ya Gaza kwa km 100, kusiwepo na nkazi wala shuguli yoyote ndani ya hizo km 100
Ka google maswala ya kufundishana historia ya dunia sio mahala pake hapa. Wote hao pale walirudishwa soo ubinafsi wa wapalestina kutaka wakae wenyewe ndio unawafikisha hapo.Kwani 1947 kurudi nyuma, nchi ya Israel ilikuwa wapi hapa duniani?
Hawataiweza Israel hata wakiungana. Israel inaungwa mkono karibu na mataifa yote makubwa ya West. Kwa vita, Gaza Strip inaweza kuwa jangwa bila hata kiumbe hai mmoja. Solution ni kuendelea na political dialogue, with UN oversight. Sijui Hamas walifikiria au walitarajia nini baada ya kufanya unprecedented mashambulizi makubwa kiasi hicho kwa Waisrael. I feel sorry for both countries. Ila Hamas watakiona sasa. Sadly, vita haibagui yupi ni yupi. Sadly, kutakuwa na mass killing of innocent people. Hamas wamelianzisha ila hamakuwa na strategy ya kulimaliza. Sasa watamalizwa.Waarabu waungane waiondoe hiyo izrael
wakiungana ndio watapigika wachake na israel kama kawaida yake itateka tena maeneo mengia. Wasithubutu kuungana kuipiga israeli. We umezaliwa lini kiasi cha kutokujua kwamba waarabu waliwahi kuungana na wakapokea kipigo cha mbwa mwizi? Labda marekani ikae pembeni ndio wataweza kuishinda ikiwa itaishiwa silahaWaarabu waungane waiondoe hiyo izrael
Wivu wa juhudi zao kimaendeleo tuHili suala la kuifuta Israel linaongelewa sana, why Israel?
Sawa wote wakatil ila kaanzisha hii shida?!Hamas na Israel wote ni makatili tu.
Unaonaje ukagoogle wewe halafu ulete majibu?Ka google maswala ya kufundishana historia ya dunia sio mahala pake hapa. Wote hao pale walirudishwa soo ubinafsi wa wapalestina kutaka wakae wenyewe ndio unawafikisha hapo.
Israel ina maendeleo kuliko Japan?Wivu wa juhudi zao kimaendeleo tu