Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Wapalestina round hii watasaga meno, mwana kulifind mwana kuliget.Acha wapigike tu hakuna namna.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye shida ya kujua ni wewe uliye uliza hapaUnaonaje ukagoogle wewe halafu ulete majibu?
We dont need peacePray for peace in Gaza.
Washaambiwa waende Rafah, huko watakimbilia MisriKwa kweli hali ilivyo Jumuia ya Kimataifa inabidi iingilie kati kuishawishi Israel isitishe mashambulizi ya anga kwa muda ili kuruhusu raia wasio na hatia mf.akina mama, watoto na wazee kutoka Gaza!
Otherwise ni maafa ya kutisha!
Acha afurahi. Jumamosi na Jumapili mlikuwa mnakenua meno, tukawaambia Israel itakapoanza kujibu kutakuwa na kusaga meno. Kiko wapi sasa?Umefurahi mwenyeweee....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpk watajane?Hawa wamebahatika kufika kwenye mpaka wa Egypt na Gaza.
Wengine wote wamezuiwa kufika kule mpaka watajane.
View attachment 2777959
kwamb mliichokoza bila kujuwa?Israeli ni wachovu tu hao na walala hoi. Hawana chochote cha kuogopwa
Ana tegemea sapoti ya wamarekani.
Hello mkuu umekula lakini? maana huu uzi ni mzito usije kuchangia na njaa au sufuria kichwani ukimtetea "baba"Acha afurahi. Jumamosi na Jumapili mlikuwa mnakenua meno, tukawaambia Israel itakapoanza kujibu kutakuwa na kusaga meno. Kiko wapi sasa?
Ni USA weapons vs USA weaponsUrusi ndie kawatumia hamas kuipiga Israel ili aweze kuitandika vizuri Ukraine kwa maana nguvu zote zinaelekezwa Israel kulko Ukraine, michezo ya warusi hii
Kafurahia wapi ? Au wew ndo unafurahiaHivi kuna haja gani ya kufurahia vifo vya wanadamu wenzako?Kama vile wewe hutakufa na hujui kifo kipi!Hamas na Israel wote ni makatili tu.
Kama hamasi wasingeanzisha mashambulizi, Israel wangefanya haya?Hivi kuna haja gani ya kufurahia vifo vya wanadamu wenzako?Kama vile wewe hutakufa na hujui kifo kipi!Hamas na Israel wote ni makatili tu.
Oya kaka 🤣🤣🤣🙌Ni rahisi kunywa Supu ya kokoto kuliko kuifuta Israel duniani
Nyie kina nani ?We dont need peace