Hotel ya nyota 5 yenye ghorofa 40 ujenzi wake wakamilika karibu na uwanja wa Kiligolf maji ya chai Arusha

Hotel ya nyota 5 yenye ghorofa 40 ujenzi wake wakamilika karibu na uwanja wa Kiligolf maji ya chai Arusha

Hii sio kweli...
Huwezi kujenga gorofa 40 Maji ya Chai.. Ni almost landing area kwa Boeing zinazotua KIA..
Ni kama mtu ajenge gorofa 40 au 30 Vingunguti au Gongo la Mboto ambapo ni maeneo ya Boeing kujinafasi inapokaribia JNIA..

Na gorofa 40 haziwezi kujengwa kwa mwaka mmoja...

Kama kuna ujenzi basi ni gorofa 10 au 12 ila wewe nahisi hujahesabu vizuri
Uko sahihi mkuu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mwenye kufahamu mmiliki wa mradi nilioutaja hapo juu aje inbox tafadhali.

Hali ya uchumi tunasema ni mbaya ila kuna mradi wa maajabu ulikamilika eneo la Kiligolf Maji ya chai huko Arusha Tanzania.

Je ni Lini Mh. Rais wetu mama Samia atakwenda kufungua mradi huo ambao tayari umeshakamilika?

Mradi umekamilika ila Hakuna kibao cha CRB kuonyesha jina la mradi wala mmiliki wa mradi?

Barabara Za kuingia kwenye hotel hiyo zina lami balaa ila mradi umefichwa porini mradi wa matrilioni ya fedha.

Je Dar kuna jengo lenye ghorofa 40? Karibu maji ya chai arusha Tanzania mjionee maajabu ya baada ya kifo cha JPM.
Weka kapicha
 
Mwenye kufahamu mmiliki wa mradi nilioutaja hapo juu aje inbox tafadhali.

Hali ya uchumi tunasema ni mbaya ila kuna mradi wa maajabu ulikamilika eneo la Kiligolf Maji ya chai huko Arusha Tanzania.

Je ni Lini Mh. Rais wetu mama Samia atakwenda kufungua mradi huo ambao tayari umeshakamilika?

Mradi umekamilika ila Hakuna kibao cha CRB kuonyesha jina la mradi wala mmiliki wa mradi?

Barabara Za kuingia kwenye hotel hiyo zina lami balaa ila mradi umefichwa porini mradi wa matrilioni ya fedha.

Je Dar kuna jengo lenye ghorofa 40? Karibu maji ya chai arusha Tanzania mjionee maajabu ya baada ya kifo cha JPM.

Mbona hiyo hotel ilikuwa inajengwa kusnzia JPM akiwa hai! JPM kafariki mwakajana tu mwezi wa tatu na hotel ikiwa inaendelea kujengwa!
 
Mwenye kufahamu mmiliki wa mradi nilioutaja hapo juu aje inbox tafadhali.

Hali ya uchumi tunasema ni mbaya ila kuna mradi wa maajabu ulikamilika eneo la Kiligolf Maji ya chai huko Arusha Tanzania.

Je ni Lini Mh. Rais wetu mama Samia atakwenda kufungua mradi huo ambao tayari umeshakamilika?

Mradi umekamilika ila Hakuna kibao cha CRB kuonyesha jina la mradi wala mmiliki wa mradi?

Barabara Za kuingia kwenye hotel hiyo zina lami balaa ila mradi umefichwa porini mradi wa matrilioni ya fedha.

Je Dar kuna jengo lenye ghorofa 40? Karibu maji ya chai arusha Tanzania mjionee maajabu ya baada ya kifo cha JPM.
Weka pikture bhana
 
Huyu dogo ni muongo sana, kwanza mtu yeyote akiwa anapita eneo la usa maji ya chai, sabato kuja mpaka njia panda ya ngurdoto lazima kwa mbali utakuwa unaliona kwa mbali kutokana na urefu huo.

Nafahamu mmilikinwa eneo hilo ni tajiri mmoja hivi ambaye mpaka serikali kumruhusu kuweka wanyama poli eneo hilo basi ni mnene kweli kweli, japo kina retired presidar + watoto wao wana mkono wao hapo.
 
Nimemfuata mtu mada inbox anasema hana picha kwa sasa 🤣🤣 ila tukimchangia nauli ataziendea asubuhi
 
Mwenye kufahamu mmiliki wa mradi nilioutaja hapo juu aje inbox tafadhali.

Hali ya uchumi tunasema ni mbaya ila kuna mradi wa maajabu ulikamilika eneo la Kiligolf Maji ya chai huko Arusha Tanzania.

Je ni Lini Mh. Rais wetu mama Samia atakwenda kufungua mradi huo ambao tayari umeshakamilika?

Mradi umekamilika ila Hakuna kibao cha CRB kuonyesha jina la mradi wala mmiliki wa mradi?

Barabara Za kuingia kwenye hotel hiyo zina lami balaa ila mradi umefichwa porini mradi wa matrilioni ya fedha.

Je Dar kuna jengo lenye ghorofa 40? Karibu maji ya chai arusha Tanzania mjionee maajabu ya baada ya kifo cha JPM.
Picha hakuna
 
Mwenye kufahamu mmiliki wa mradi nilioutaja hapo juu aje inbox tafadhali.

Hali ya uchumi tunasema ni mbaya ila kuna mradi wa maajabu ulikamilika eneo la Kiligolf Maji ya chai huko Arusha Tanzania.

Je ni Lini Mh. Rais wetu mama Samia atakwenda kufungua mradi huo ambao tayari umeshakamilika?

Mradi umekamilika ila Hakuna kibao cha CRB kuonyesha jina la mradi wala mmiliki wa mradi?

Barabara Za kuingia kwenye hotel hiyo zina lami balaa ila mradi umefichwa porini mradi wa matrilioni ya fedha.

Je Dar kuna jengo lenye ghorofa 40? Karibu maji ya chai arusha Tanzania mjionee maajabu ya baada ya kifo cha JPM.
Mawazo ya kimasikini haya!

Kama Hotel imejengwa kwenye ardhi ya Tanzania na ni ya nyota 5 au 7...ubaya uko wapi?

Huo ni ujinga na unawafanya watu wenye pesa zao kwenda kuwekeza nje°

By the way...

Wajua maana ya Trilioni kweli???
 
Back
Top Bottom