Hayo ni maeneo ya wazungu, uwanja wa Ndege ni wa kwao. Zinatua Ndege zao binafsi kutoka kwingineko Duniani kuja kucheza golf hapo maji ya chai. Hiyo golf ni ya kitambo sana.Picha ya jengo mnatumiwa soon
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni maeneo ya wazungu, uwanja wa Ndege ni wa kwao. Zinatua Ndege zao binafsi kutoka kwingineko Duniani kuja kucheza golf hapo maji ya chai. Hiyo golf ni ya kitambo sana.Picha ya jengo mnatumiwa soon
Uko sahihi mkuuHii sio kweli...
Huwezi kujenga gorofa 40 Maji ya Chai.. Ni almost landing area kwa Boeing zinazotua KIA..
Ni kama mtu ajenge gorofa 40 au 30 Vingunguti au Gongo la Mboto ambapo ni maeneo ya Boeing kujinafasi inapokaribia JNIA..
Na gorofa 40 haziwezi kujengwa kwa mwaka mmoja...
Kama kuna ujenzi basi ni gorofa 10 au 12 ila wewe nahisi hujahesabu vizuri
Toa mfano wa jengo moja hapa Tanzania lenye ghotofa 40.Sema arusha ila Tanzania ghorofa 40 zipo nyingi kaka ama wasema tanzania ya makunduchi
Unataka kiongozi aje hapa na id yake akanushe?Endeleeni kushangaa huu uzi ila hakuna kiongozi amejitokeza kujibu chochote .
Ukweli umefika na picha zinatumwa
Acha uvivu angalia post za mbeleToa mfano wa jengo moja hapa Tanzania lenye ghotofa 40.
Weka kapichaMwenye kufahamu mmiliki wa mradi nilioutaja hapo juu aje inbox tafadhali.
Hali ya uchumi tunasema ni mbaya ila kuna mradi wa maajabu ulikamilika eneo la Kiligolf Maji ya chai huko Arusha Tanzania.
Je ni Lini Mh. Rais wetu mama Samia atakwenda kufungua mradi huo ambao tayari umeshakamilika?
Mradi umekamilika ila Hakuna kibao cha CRB kuonyesha jina la mradi wala mmiliki wa mradi?
Barabara Za kuingia kwenye hotel hiyo zina lami balaa ila mradi umefichwa porini mradi wa matrilioni ya fedha.
Je Dar kuna jengo lenye ghorofa 40? Karibu maji ya chai arusha Tanzania mjionee maajabu ya baada ya kifo cha JPM.
Zipo wapi Mkuu? Hebu taja kwa mifanoSema arusha ila Tanzania ghorofa 40 zipo nyingi kaka ama wasema tanzania ya makunduchi
Mwenye kufahamu mmiliki wa mradi nilioutaja hapo juu aje inbox tafadhali.
Hali ya uchumi tunasema ni mbaya ila kuna mradi wa maajabu ulikamilika eneo la Kiligolf Maji ya chai huko Arusha Tanzania.
Je ni Lini Mh. Rais wetu mama Samia atakwenda kufungua mradi huo ambao tayari umeshakamilika?
Mradi umekamilika ila Hakuna kibao cha CRB kuonyesha jina la mradi wala mmiliki wa mradi?
Barabara Za kuingia kwenye hotel hiyo zina lami balaa ila mradi umefichwa porini mradi wa matrilioni ya fedha.
Je Dar kuna jengo lenye ghorofa 40? Karibu maji ya chai arusha Tanzania mjionee maajabu ya baada ya kifo cha JPM.
Zipo wapi Mkuu? Hebu taja kwa mifano
Weka pikture bhanaMwenye kufahamu mmiliki wa mradi nilioutaja hapo juu aje inbox tafadhali.
Hali ya uchumi tunasema ni mbaya ila kuna mradi wa maajabu ulikamilika eneo la Kiligolf Maji ya chai huko Arusha Tanzania.
Je ni Lini Mh. Rais wetu mama Samia atakwenda kufungua mradi huo ambao tayari umeshakamilika?
Mradi umekamilika ila Hakuna kibao cha CRB kuonyesha jina la mradi wala mmiliki wa mradi?
Barabara Za kuingia kwenye hotel hiyo zina lami balaa ila mradi umefichwa porini mradi wa matrilioni ya fedha.
Je Dar kuna jengo lenye ghorofa 40? Karibu maji ya chai arusha Tanzania mjionee maajabu ya baada ya kifo cha JPM.
Jamaa muongo mnoHizo ulizoandika ni hadithi tupu, hakuna ghorofa lenye urefu huo hapa Tanzania, kama unaamini hicho ulichopost njoo na picha hapa na sio blah blah.
Mama ako pia anajiuza hapahapa nadhani ungemuuliza yeyeHapo kilomita mbili unapojiuza kuna gorofa 40 mumy?
Dada nimekuomba number.. Tuma PMMama ako pia anajiuza hapahapa nadhani ungemuuliza yeye
Picha hakunaMwenye kufahamu mmiliki wa mradi nilioutaja hapo juu aje inbox tafadhali.
Hali ya uchumi tunasema ni mbaya ila kuna mradi wa maajabu ulikamilika eneo la Kiligolf Maji ya chai huko Arusha Tanzania.
Je ni Lini Mh. Rais wetu mama Samia atakwenda kufungua mradi huo ambao tayari umeshakamilika?
Mradi umekamilika ila Hakuna kibao cha CRB kuonyesha jina la mradi wala mmiliki wa mradi?
Barabara Za kuingia kwenye hotel hiyo zina lami balaa ila mradi umefichwa porini mradi wa matrilioni ya fedha.
Je Dar kuna jengo lenye ghorofa 40? Karibu maji ya chai arusha Tanzania mjionee maajabu ya baada ya kifo cha JPM.
Mawazo ya kimasikini haya!Mwenye kufahamu mmiliki wa mradi nilioutaja hapo juu aje inbox tafadhali.
Hali ya uchumi tunasema ni mbaya ila kuna mradi wa maajabu ulikamilika eneo la Kiligolf Maji ya chai huko Arusha Tanzania.
Je ni Lini Mh. Rais wetu mama Samia atakwenda kufungua mradi huo ambao tayari umeshakamilika?
Mradi umekamilika ila Hakuna kibao cha CRB kuonyesha jina la mradi wala mmiliki wa mradi?
Barabara Za kuingia kwenye hotel hiyo zina lami balaa ila mradi umefichwa porini mradi wa matrilioni ya fedha.
Je Dar kuna jengo lenye ghorofa 40? Karibu maji ya chai arusha Tanzania mjionee maajabu ya baada ya kifo cha JPM.