Hotel ya nyota 5 yenye ghorofa 40 ujenzi wake wakamilika karibu na uwanja wa Kiligolf maji ya chai Arusha

Hotel ya nyota 5 yenye ghorofa 40 ujenzi wake wakamilika karibu na uwanja wa Kiligolf maji ya chai Arusha

Barabara Za kuingia kwenye hotel hiyo zina lami balaa ila mradi umefichwa porini mradi wa matrilioni ya fedha.
Na kapicha ka mradi huo hakawezi kupatikana kwa sababu mradi umefichwa, usifahamike ni wa nani?

Au tuseme JF nao wameshiriki kutoruhusu picha za aina hiyo?

Au pengine wewe umetishwa, usithubutu kupiga picha na kusambaza?
Yaani huna njia yoyote ya kuweza kuonyesha picha za ulichokiona wewe nasi tushiriki katika mjadala huu tukiwa na uhakika wa kinachozungumziwa?

Lakini usinielewe kwamba natetea haya yanayofanyika siku hizi. Hii ni serikali ya kipigaji kwelikweli.
Hapo usishangae ukiambiwa huyo ni mradi wa Shikh mmoja toka arabuni. Huko ndiko tunakoegemea kwa uchafu wote sasa hivi.
 
Na kapicha ka mradi huo hakawezi kupatikana kwa sababu mradi umefichwa, usifahamike ni wa nani?

Au tuseme JF nao wameshiriki kutoruhusu picha za aina hiyo?

Au pengine wewe umetishwa, usithubutu kupiga picha na kusambaza?
Yaani huna njia yoyote ya kuweza kuonyesha picha za ulichokiona wewe nasi tushiriki katika mjadala huu tukiwa na uhakika wa kinachozungumziwa?
Picha zote zinaandaliwa na zitumwa Jf.
Ulinzi Eneo hilo ni mkubwa ila kwa hatua tuliyofikia tutazituma
 
Picha zote zinaandaliwa na zitumwa Jf.
Ulinzi Eneo hilo ni mkubwa ila kwa hatua tuliyofikia tutazituma
Ninaweza kukwambia kwa kukisia kiasi kadhaa cha ukweli, kwamba huo haukosi kuwa mradi wa wajomba zetu toka Ghuba.
Hao ndio watawala wapya.
 
Mkuu nimefuatilia hili jambo lina ukweli kuna hotel nyota 5 inajengwa..
Na wamiliki ni mashombe flani ya Tanga.

Huenda wao ni bosheni tu.

Zinajengwa hotel 2 tofauti kws mujibu wa mtoa habari wangu
Mkuu 'Glenn', sijawahi kukusoma ukisema uongo, labda uanze leo, ila sijui iwe ni kwa sababu zipi nawe ushiriki kutetea uongo.
Kwa hiyo "hotel" ipo inajengwa kisirisiri sana isijulikane mmiliki wake ni nani.

Hiyo inatosha kujuwa kwamba ni mradi wa watu wasiopenda wajulikane kwa sababu maalum.
 
kiufupi mleta mada huna jipya hapo unachotaka kuleta ni kulinganisha kati ya arusha na dar es salaam ila kamwe usije ukafananisha mbingu na ardhi kwa nijuavyo mimi dar kuna majengo yenye floor 35 sjajua kama yapo yenye zaidi ya hapo ila mleta mada chonde chonde kifo sio usingizi dar itabaki kua dar na sio dareda[emoji41]
 
Wewe unajua nini? Ulishawahi kuona gorofa 40 karibu na airport? Au unatatizo la afya ya akili.?
Kwanza umewahi panda ndege tuanzie hapo

Gorofa 40 ni meter ngap juu na approaching attitude ya ndege za Kia ni ngapi


Tulia dada ako atoke kazini umebaki na mumewe hapo kakushika Hadi akili imeruka
 
Kwanza umewahi panda ndege tuanzie hapo

Gorofa 40 ni meter ngap juu na approaching attitude ya ndege za Kia ni ngapi


Tulia dada ako atoke kazini umebaki na mumewe hapo kakushika Hadi akili imeruka
[emoji23][emoji23][emoji23] dah kwahyo anasaidia kazi za dada ake
 
Ila Sasa hivi matajiri wanapumua .Kuna gorofa pale africana lilianza kujengwa kipindi cha kikwete mwishoni,alipoingia magufuli likasimama mazimaaa kujengwa .ila alipoingia Samia naona ujenzi unakaribia kuisha
Pale opposite na kituo cha mafuta cha Puma?
 
Mkuu 'Glenn', sijawahi kukusoma ukisema uongo, labda uanze leo, ila sijui iwe ni kwa sababu zipi nawe ushiriki kutetea uongo.
Kwa hiyo "hotel" ipo inajengwa kisirisiri sana isijulikane mmiliki wake ni nani.

Hiyo inatosha kujuwa kwamba ni mradi wa watu wasiopenda wajulikane kwa sababu maalum.
Mkuu naomba niweke viziri.
1. Kuhusu umiliki siujui ukweli bali
Nimeongea na mtu aliyeshoriki kujenga kwa muda kuwa wamiliki kimuinekano ni wa kiarabu toka Tanga.

2. Wakandarasi ni Wahindi.

3. Hivyo hotel ni kqeli inajengwa.

4. Kuhusu kutokuwa na kibali au kutofuata taratibu hilo silijui bali ujenzi ni kweli unaendelea lakini sio ghorofa 40.

Nb: maeneo hayo ni makazi ya Wazungu panaitwa Dolly
 
Mkuu naomba niweke viziri.
1. Kuhusu umiliki siujui ukweli bali
Nimeongea na mtu aliyeshoriki kujenga kwa muda kuwa wamiliki kimuinekano ni wa kiarabu toka Tanga.

2. Wakandarasi ni Wahindi.

3. Hivyo hotel ni kqeli inajengwa.

4. Kuhusu kutokuwa na kibali au kutofuata taratibu hilo silijui bali ujenzi ni kweli unaendelea lakini sio ghorofa 40.

Nb: maeneo hayo ni makazi ya Wazungu panaitwa Dolly
Ni ngap
 
Kwanza umewahi panda ndege tuanzie hapo

Gorofa 40 ni meter ngap juu na approaching attitude ya ndege za Kia ni ngapi


Tulia dada ako atoke kazini umebaki na mumewe hapo kakushika Hadi akili imeruka
Hivi unajua usalama wa airport yoyote na urefu wa majengo kwa kilomita mraba 15?
Au umezoea kuliwa kimasihara?
Njoo PM nitakupa number yangu
 
Back
Top Bottom