Umasikini unao wewe usitujumuishe wote. Sisi wengine siyo masikini, tunaardhi yakutosha, nyumba na kunapata milo mitatu kwa siku unawezaje kutuita masikini. Tena ukome kabisa kama umasikini ni wako.Kwa hiyo mkuu, uwajibikaji wa viongozi sio tatizo, wizi na rushwa sio tatizo, elimu na kodi sio tatizo, ukosefu wa ajira umesababishwa na kutumia Kiingereza? Umaskini na mengine yote ni kwa sababu ya Kiingereza? Je, tukitumia Kirusi au Kichina ndio tutaendelea?
Ukiwa na watoto wawili, wangapi wanatambulika, ni yupi unayepaswa kujivunia? Kama zote ni lugha rasmi, na Kiingereza ni "official language", shida iko wapi?Unamaanisha nini "Lugha Rasmi"? Kwa Tanzania lugha Rasmi ya kwanza ni Kiswahili. Ya pili ni Kiingereza. Kwa akili yako "kubwa" unatakiwa kujivunia lugha Gani hapo?
Sawa, jibu hoja zingine.Umasikini unao wewe usitujumuishe wote. Sisi wengine siyo masikini, tunaardhi yakutosha, nyumba na kunapata milo mitatu kwa siku unawezaje kutuita masikini. Tena ukome kabisa kama umasikini ni wako.
Mtu anayesema "kwa niaba yangu" anakosea sana.Kwa niaba yangu
Watanzania ndio maana mnabaki kuwa masikini mNafocus na upuuzi. What is English by the way ? Wachina wanakuja Tanzania kuwaibia mahela yenu, Hawajui English wala swahili. Nyie pride yenu ni English . Tanzania ni taifa la laana na kwa hakika JAHANAM inaanzia Tanzania. Sijawah ona taifa la hovyo na masikini wa akili hadi hela kama TZHii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville
Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.
Jionee..
View attachment 3081554
...mulugoTukumbushie na ile ya South Africa ya kwamba "Tanzania is union of Zimbabwe and Mafia" oh!! No, sorry!! It is Zambia and Pemba
Tatizo lenu ni slavery mentality imewakaa vichwani mwenu. Mnafikiri mtu akiongea kiingereza ndio msomi.
Nimeona aibu sana niliposikiliza, niligeuka kila upande nione kama kuna mtu ananionaHii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville
Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.
Jionee..
View attachment 3081554
Tunaongozwa na villazza sanaNi upuuzi tu kuhalalisha huu ujinga, hawa ndio wanaosign mikataba ya kutuuza! Acha tuwe na slavery mentality kwa akili yako lkn huyu mama hana uwezo wa kusoma document ya page 600 ya mkataba toka Ulaya akawakilisha maslahi ya nchi. Hafai hata kuwa headmaster ya sekondari ya kutwa! Hata debate ya form 2 hawezi kuchangia huyu
Nimesikia ukakasi kuendelea kumsikiliza, kwani hawaruhusu kiswahili kwenye hiyo mikutano?Waziri anasema the “plesident” unaleta uchowa hapa?
Akiyekwambia hivyo ni nani?Tatizo lenu ni slavery mentality imewakaa vichwani mwenu. Mnafikiri mtu akiongea kiingereza ndio msomi.
Wewe mteuzi yuko vizuri nisijue liveHilo guluguja haliwezi kitu. Mind you, karibu mawaziri wote wako hivyo. Na anayewateua pia.
Mama ameidharaulisha hiyo wizara, wizara ya elimu, afya, sheria, fedha huko kumeja maprofesa watupu unampaje mtu wizara ambaye ana vielimu vya hapa na pale, angeenda huko habari na michezo, mazingira nkSiku naangalia TBC asubuhi, nakuta baraza jipya LA mawaziri, Eti Jenister kapelekwa Afyaa, nilizima TV kwa muda nikaona haya mazingaombwe.
Kufungua tena eti ni kweli, pale pale nikajisemeaa, Ndumbaa za Parangu za motooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zimeweza hadi kumpumbaza mama wa kizimkaziii, nkasemaa hizi za sasa kibokoo kabisaaa, woiiiiiiiiih
Hili Li jenister, nchii isipokaa vizuri utasikia Waziri mkuu,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mama Samia Amkaa, huyu Jenister anakuchotaaa akilii, usiposhtukaa utajikutaa unampaa vyeo, hata wee mwenyewe hujui unampajee. Lol.
Nani kakudanganya kuwa china haitumii kingereza? Kama wasingekuwa wanatumia kiingereza ingekuwa ngumu sana kuona bidhaa zao madukani, uliwahi kuona bidhaa ya ureno dukani, au bidhaa ya Brazil dukani? Sababu mojawapo ya kutoonekana ni lugha. Mchina kwa kiingereza yuko vizuri asikudanganye mtu na ndio maana dunia nzima inakimbilia huko kufanya biashara.Hiyo ni slavery mentality tu mkuu. Tembea uone. China, Urusi, Japan, Korea Kaskazini nk. Wanamaendeleo makubwa sana wakati hawatumii Kiingereza. Na kwa taarifa yako nchi ambazo zimejitenga na kiingereza ndio zilizoendelea sana tu lakini nchi zenye kuendekeza utumwa wa akili ndio nchi zilizonyuma kimaendeleo. Mpaka tutakapojitambua ndio tutapata maendeleo ya kweli.
Mnajua uchawi na uchawa tuuHapo anasoma je, angekuwa anatoa kichwani si angejinyea?
watanzania ngeli hatujui.
Wacha iwe hivyo lakini huyu waziri ni mbulula hata cv yake inaonyesha ni kiwakiTatizo lenu ni slavery mentality imewakaa vichwani mwenu. Mnafikiri mtu akiongea kiingereza ndio msomi.
Jamani kiongozi wa yanga unailinganisha na kiongozi wa wizara ya afya?? angekuwa ni wizara kama michezo au mazingira wala nisingemindkiufupi ni nongwa tu za waja,
Lakini kiujumla waziri amezungumza vizuri sana kiingereza na mpaka delegates wote waliokuwamo ndani ya ukumbi wa uchaguzi wakapiga makofi kumaanisha wamelewa vizuri alichokua akizungumza waziri,
actually,
alipaswa kutumia kiswahili, jambo ambalo bilashaka angelikua shujaa zaidi hivi sasa kitu ambacho binafsi naona ndicho muhimu Zaidi angefanya..
hata hivyo,
amezungumza kiingereza kizuri zaidi ya Miguel Gamondi wa yanga ambae anachapia mbaya sana na hakuna mtu anashangaa wala kucheka 🐒
Kwa vile kimakonde kinaeleweka kwa wote sio?Hivi sisi kama taifa, tuchague KIMAKONDE kiwe lugha ya taifa maana kiswahili hatujui na kingereza hatujui.
Mtu anasema "Alusha, arisema atakuja, etc" tupige kura tujifunze kimakonde.