Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hii ndo hali halisi ya wapumbavu tulionao.... hao wamekimbilia kujadili kiingereza na naamini hyo hotuba hawajaisikiliza hata!!

Hivi waziri wa Afya unaweza kutoa presentation mbovu hivi? Achilia mbali lugha mbovu hiyo content yake sasa!!

Huyo UCD ndo miongoni mwa kima walioko kwenye corridors of power... amekazania sana ooh English sio lugha yetu utafikiri mkataba wa DP world umeandikwa kiswahili. 🀣
 
Tukiacha kingereza.... hiyo hotuba kwa mpangilio na content ni ya daraja la waziri kweli?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Huu ni ukatili unaoufanyaπŸ˜‚ nimerudi kuangalia avator yako naona kama unamuuliza Should I call you minister of healthπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nimeshindwa kumalizia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nyie hivi hapo katafuniwa kashindwa kumeza, vipi ndio angetakiwa ajieleze bila kuangalizia??
 
Inaelekea,unampata vizuri

Ova
 
🀣🀣🀣 halafu sijui kwann wanasiasa wanapenda uchawi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…