Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Unamaanisha nini "Lugha Rasmi"? Kwa Tanzania lugha Rasmi ya kwanza ni Kiswahili. Ya pili ni Kiingereza. Kwa akili yako "kubwa" unatakiwa kujivunia lugha Gani hapo?Unaiita lugha ya watu ilhali kikatiba inatambulika kama lugha rasmi katika nchi yako.
π
Huenda muda ulikua mchache hivyo mwandishi hakuedit ,.Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville
Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.
Jionee..
View attachment 3081554
Aibu sana!Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville
Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.
Jionee..
View attachment 3081554
Kwani hata angeongea Kiswahili unafikiri angejieleza vizuri zaidi ya hivyo?Kwani hupendi amtaje ''pilesindent Samia''? On serious note: Hii hotuba inaonyesha viongozi wetu walivyo na vichwa hewa. Ni translation ya kutoka kwenye maudhui ya kiswahi-CCM pamoja na vimelea vya ucahwa kwenda lugha ya english. Tanzania tupo nyuma sana kwa kiingereza na mbaya zaidi siyo ufasihi wa lugha tu bali ni quality ya mtu anachozungumza.
Ndugulile anamwangalia halafu anajisemea hiiiii πHii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville
Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.
Jionee..
View attachment 3081554
Aibu gani hizi jamani? Kiongozi mkubwa kama Jenista anashindwa hadi na sisi form four failure?Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville
Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.
Jionee..
View attachment 3081554
Mkuu, Gamondi anaongea English nzuri sana, labda unaleta utani kwenye bandiko lakokiufupi ni nongwa tu za waja,
Lakini kiujumla waziri amezungumza vizuri sana kiingereza na mpaka delegates wote waliokuwamo ndani ya ukumbi wa uchaguzi wakapiga makofi kumaanisha wamelewa vizuri alichokua akizungumza waziri,
actually,
alipaswa kutumia kiswahili, jambo ambalo bilashaka angelikua shujaa zaidi hivi sasa kitu ambacho binafsi naona ndicho muhimu Zaidi angefanya..
hata hivyo,
amezungumza kiingereza kizuri zaidi ya Miguel Gamondi wa yanga ambae anachapia mbaya sana na hakuna mtu anashangaa wala kucheka π
Uwezo... Mfuatilie hata akiwa bungeni... Ni aibu tupu!Aibu gani hizi jamani? Kiongozi mkubwa kama Jenista anashindwa hadi na sisi form four failure?
Hiyo hotuba kwanini asingeomba tu aandikiwe? Kutamka kumshinde na hata vya kusoma asome utopolo?
Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville
Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.
Jionee..
View attachment 3081554
π€£π€£π€£Kwani hata angeongea Kiswahili unafikiri angejieleza vizuri zaidi ya hivyo?
Aibu tupu. Bora angeongea kwa Kisw kama enzi zile za Jiwe.Mwal wa Kingereza ! Jenista Mhagama wampe wizara ya machawa. Elimu ya kukariri basi tunataka watu watendaji
Hakika Tz tumepigwa kwa hii lugha ya malkia.Ndiyo maana JPM alikuwa anakipiga vita hicho Kiingereza
Hivi hakukuwa na option ya kuongea Kiswahili na hizo device zikatafsiri?
Nimeona Wachina wanawasilisha taarifa zao Kwa kutumia Kichainizi