Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Watanzania ndio maana mnabaki kuwa masikini mNafocus na upuuzi. What is English by the way ? Wachina wanakuja Tanzania kuwaibia mahela yenu, Hawajui English wala swahili. Nyie pride yenu ni English . Tanzania ni taifa la laana na kwa hakika JAHANAM inaanzia Tanzania. Sijawah ona taifa la hovyo na masikini wa akili hadi hela kama TZ

Na nyie mawqziri acheni ujinga, kwani ni lazima kusoma kwa English, dunia ya technology kama sasa Tumia lugha yako , wao watasikia kwa lugha zao

.China anaenda ulaya na anaongea kichina tu and they deliver , Mimi kwanza sielewi why tutumie English kwenye meeting kama hizo ? Tukuze swahili

Makamba anajua snaa English but ni mtendaji wa hovyo na mla rushwa, fisadi. Lugha sio ishara YA utendaji bora, ndio mana wachina wanakuja kuwaibia TZ maana hamna akili. Hata Faustine , Hana communication skills nzuri , hawezi kuongea kwa utulivu na ku relax , kwenye speech yake ya kujinadi, unaona kabisa anafokea watu badala ya kuongea and make listening enjoyable, hakuwa na tone nzuri sema kampeni zimembeba , na wala kuongea kwake sio ishara utendaji wake .

Waziri anaejua kuongea and very relaxing ni makamba

All in all tuache ushamba wa lugha, mbona mzungu akiongea broken swahili hatucheki?

Cha msingi kila mtu aongee lugha mama , swahili is strong language , huNA haja na kujichosha na ngeli…. Inasaidia nini ?

Rest easy JPM

Black is a symbol of mental slavery , shame

Being black is a curse
Acha kupanick, waziri kaharibu.
 
Wanatukia lugha gani ya kujifunzia hao uliowataja? Hakuna mwenye tatizo na lafudh, ufasaha wa hiyo lugha tena ikiwa imeandikwa. Hizo L ni za nini? Kwani akitaja neno Rais hapa nchini kwa kiswahili, huwa anatamka Lais?
Tuna matatio makubwa ya kujadili kuliko hicho kiingereza Cha Jenista Mhagama!
 
Waziri anasema the “plesident” unaleta uchowa hapa?
Hiyo ni accent from Mother’s tongue !
Hata huko UK vipo viingereza ukivisikiliza unaweza ukafikiri jamaa sio wazawa wa huko 😂 !

Lakini nadhani whats important ujumbe wake ulifika na hata sisi huku tumemuelewa alichokuwa akikisema kwa Kimombo 😅👍🙌
Regardless of Mother’s tongue pronouncements zake !

Jiingereza ni jigumu bandugu !
Hata Wahindi wanaongea Kiingereza cha kihindi hindi na Waarabu na wanaongea kiingereza cha kiarabu arabu, Wachina nao yale yale excepting for the few wenye accents nzuri ya hiyo lugha ya jizungu 🙏🙌
 
Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.

Jionee..

Binafsi niliona alifanya vizuri sana. After all, mimi huwa naangalia zaidi ujumbe kuliko kukosea kutamka neno au maneno. Kwenye debate moja hivi miaka ya huko nyuma, Mkenya mmoja aliyekuwa mshiriki alisema maneno haya: "I admire Tanzanians. Most of them don't use English in their daily undertakings, yet when they express themselves in English they are good." Na tungekuwa tunatumia Kiingereza kila siku, si tungekuwa "extremely good". Kwangu mimi hii inaonyesha tunajitahidi sana. Kabla ya mwaka 2003, nilikuwa Malawi na nililitumia Kiingereza (Cha kuongea) kila siku. Baada ya kurudi Tanzania, nilishatumia Kiingereza cha kuongea (na mtu au watu wasiotumia Kiswahili si zaidi ya mara 20) tangu 2003 hadi sasa. Hivyo, nikiongea sasa natafuta maneno (sina fluency), wakati ule nilikuwa sitafuti maneno (nilikuwa na fluency) kwa sababu nilikuwa naitumia Kiingereza kila siku. Nilikuwa naishi na kufanya kazi na watu wa mataifa mbalimbali na tulikuwa tukitumia Chichewa (tukiongea na wenyeji) au Kiingereza/Kifaransa kama ni sisi kwa sisi. Hata fluency yangu ya Chichewa imepungua maana tangu 2003 to date sijatumia Chichewa kwa zaidi ya mara 20 pia.
 
Ndiyo maana JPM alikuwa anakipiga vita hicho Kiingereza

Hivi hakukuwa na option ya kuongea Kiswahili na hizo device zikatafsiri?

Nimeona Wachina wanawasilisha taarifa zao Kwa kutumia Kichainizi

Duniani kuna wahuni waliobobea na hawakutaka hizo devices kwa makusudi Tu, wao wakaona nafasi ya kwanza Ni hii wakandaa speech wakijua kwake itakuwa Cambridge exam na kweli dunia mzima imeshuhudia near miss za ulimi mara kadhaa, nafikiria hii ingetokea pale Muhimbili lazima wanafunzi na maboss wao wangemwaga chips bila kupepesa, kama ndugu tumshauri awe mwepesi wakugundua mitego kama hii toka kwa wabaya wake na kuikwepa e.g

(1) kila Safari ya nje awe mgonjwa
(2)Wafadhili weupe wakifika kwa ofisi yeye aage kuwa kuna dharula
(3) Interview yoyote inayohusu kutema mayai yaliyochanganywa na Greek, latin terms Iwe mwiko kwake,
Tujaribu kuwa karibu na uhalisia wa mazingira yetu ili tufikie malengo kwa wakati muafaka,
Hebu angalieni lile jicho ambalo Dr Ndungulile alokuwa "anakata" kumwangalia boss wake Ni kama lile la Mama wakati anamstopisha jamaa kumwaga mchele kule Arusha
 
Back
Top Bottom