Huyu mtu angalau ana akili kichwaniSafi.Anaonesha ana kitu chema.Apewe muda.
Labda kama zinauzwa
Hauamini?Mwanzo yawezekana alikuwa na wenge.Pia mkuu wake wa awali alipenda vibweka vyake na walielewana.Kwa sasa naamini anajua acheze ngoma akianza na mguu upi na vigelegele vifike umbali upi!Labda kama zinauzwa
Kweli kila mtu na kazi yake!😜dah, kuna watoto wazuri sana shombeshombe nawaona hapo
Hao sio mashombe wamejichubua waonekane weupe!dah, kuna watoto wazuri sana shombeshombe nawaona hapo
Currently sijamfatilia ngoja nimweke kwenye category ya check engineHauamini?Mwanzo yawezekana alikuwa na wenge.Pia mkuu wake wa awali alipenda vibweka vyake na walielewana.Kwa sasa naamini anajua acheze ngoma akianza na mguu upi na vigelegele vifike umbali upi!