Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Oooh pole mywangu😅Stress laziz u mbali na upeo wa macho yangu😍
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooh pole mywangu😅Stress laziz u mbali na upeo wa macho yangu😍
Pole hailiwi mynyau.Oooh pole mywangu😅
Sasa kama waziri anakimbiza muswada bungeni wakati bado yupo kwenye meza ya mashauriano hiyo maana yake nini? Waziri ndiye anapeleka miswada ya kanuni kamdamizi za forodha, store nk.Mwigulu mnamuonea, mwigulu hatungi sheria za nchi, mwigulu hatungi yeye miswaada ya bungeni, mwigulu hapitishi yeye miswada kuwa sheria, bali Rais ndie anaepaswa kupokea lawama maana ndie FINAL say wa hizo sheria kandamiz zinazotungwa bungeni nayeye kuzibariki na ninyi msiojua mambo yanakwendaje mnaanza kumuattack mwigulu badala ya Bosi wa mwigulu ambeye ndie tatizo ktk nchi.
Mwigulu ni kama chawa tu, tatizo lenyewe ni huyo rais wenu mnaemuonea aibu kumuchallenge kwa madhaifu yake nchini.