Hotuba ya kwanza ya Albert Chalamila kama RC wa DAR mbele ya Rais Samia

Hotuba ya kwanza ya Albert Chalamila kama RC wa DAR mbele ya Rais Samia

Huyu akitulia huwa yuko vizuri, tatizo lake kujizima dataa na hulka ya hasira plus kukurupuka

Apewe muda
Hata wwe ukitulia unakua uko vizuri sana hadi watu wanasema huyu si ndiyo Mke! ngoja Sasa ujizime Data,mbona watashaa!!!
 
Wa kufukuzwa ni Mwigulu Nchemba, huyo ndio tatizo, hashauriki!
Mwigulu mnamuonea, mwigulu hatungi sheria za nchi, mwigulu hatungi yeye miswaada ya bungeni, mwigulu hapitishi yeye miswada kuwa sheria, bali Rais ndie anaepaswa kupokea lawama maana ndie FINAL say wa hizo sheria kandamiz zinazotungwa bungeni nayeye kuzibariki na ninyi msiojua mambo yanakwendaje mnaanza kumuattack mwigulu badala ya Bosi wa mwigulu ambeye ndie tatizo ktk nchi.

Mwigulu ni kama chawa tu, tatizo lenyewe ni huyo rais wenu mnaemuonea aibu kumuchallenge kwa madhaifu yake nchini.
 
JAMAA. NILIMPENDEA TUU SIKU ILE ALIPO ONDOLEWA U-RC kule IRINGA , MZEE BAADAE KIDOGO AKAONEKANA ANA SAKATA RHUMBA KWENYE BAR HVI MWENDO MDUNDO ( YOU GOT THAT VIDEO) TARAAAAAAAATIBUUUUUUUUUU






HAHHAHA WAYU WENGI WAKIMWONA WANA ZANI NI MAGU
 
Hata wwe ukitulia unakua uko vizuri sana hadi watu wanasema huyu si ndiyo Mke! ngoja Sasa ujizime Data,mbona watashaa!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani hebu sema kweliii
 
JAMAA. NILIMPENDEA TUU SIKU ILE ALIPO ONDOLEWA U-RC kule IRINGA , MZEE BAADAE KIDOGO AKAONEKANA ANA SAKATA RHUMBA KWENYE BAR HVI MWENDO MDUNDO ( YOU GOT THAT VIDEO) TARAAAAAAAATIBUUUUUUUUUU






HAHHAHA WAYU WENGI WAKIMWONA WANA ZANI NI MAGU
Jamaa pia Aliimba gospel sana🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom