Hotuba ya kwanza ya Albert Chalamila kama RC wa DAR mbele ya Rais Samia

Kumbe aliyeondolewa ni CPA? Hizi mbwembwe za elimu!
 
Kumbe Rais Samia pia anamtambua kuwa yule ni mtu wa wild thinking.
Kama hapo yuko calm,lakini jana alikuwa very fierce.
Atayaondoa matatizo kwa kuwa na ushirikiano na MaDAS,lakini pia ashirikiane na walio juu yake.
There is no peace for the wicked,saith The Lord.
 
Hiyo speech kasoma tu waliomuandalia ndiyo wapongezwe
 
Anaweza
 

Mkuu wangu wa mkoa yuko vizuri hajashika notes book wala nini anatoa kichwani safi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…