Hotuba ya mwisho ya Muamar Gaddafi-aliyosema yametokea!

Hotuba ya mwisho ya Muamar Gaddafi-aliyosema yametokea!

Watakuja kukaa sawa tu, hivi alidhani kuongoza binadamu kwa miaka 40 watakupenda? Au alijuwa kuwa yeye ni jiwe au nini? Alitakiwa amwandae kiongozi mwingine wa kumrithisha kazi baada ya yeye kukaa miaka 30.
Mbona wafalme, familia na koo zao zinatawala muda mrefu kama vile nchi ni mali yao binafsi
 
Unadhani Ghadafi hakuwa katili? Unadhani silaha alikuwa anazipataje? Alikuwa na upande wake...yeye ndiye alikuwa anafanya maamuzi mwenyewe then akapumbaza wananchi kwa kuwatishia...baadhi ya michezo kama boxing alizipiga marufuku kama Dikteta kama yule wa Iraq.
Boxing hata Zanzibar ilipigwa marufuku
 
Nani anamkumbuka Gadaffi Kama siyo watu wachache wa mji wa Sirte in ambao wa Tripolitani familia yake. Nenda Benghazi kule magharibi karibu na Mediterranean katamke maneno hayo kuhusu Gadaffi. Watakukata kiungo kimoja kimoja mpaka ufe.

Je unajuwa kuna raia wa Libya ambao ni weusi kama sisi Watanzania? Je umewahi kuawasikia popote kwenye fursa za uchumi na utawala? Hao aliwabagua kama raia daraja la 2
Wewe na lichama lako CCM hambagui Watanzania ?!.
 
Unachekesha kwani
Amevuruga nchi kwa utawala wake mbovu wa kidikteta haikuwa na mifumo ya kiutawala yeye akiondoka lazma vurugu zitokre kumrithi. Kakaa madarakani miaka almost 40 kaingia kwa mtutu kaondoka kwa mtutu
Malkia alikaa miaka mingapi madarakani au mfalme wa Saudia arabia wako madarakani tokea lini na mbona analindwa na hao tena wameweka military base Saudia kuulinda ufalme ule issue ni mafuta na interest zao hio nyingine ni scape goat tu ya kupata wanachokitaka ,mfano kule Syria wameshindwa kwa kuwa wasyria wanamarafiki imara wenye nguvu la sivyo nao wangekuwa washasahaulika shida Gaddafi alikuwa hana strong and powerful friends pole yake na mwisho wake ukamkuta.
 
Ni kweli pesa ya mafuta ilikuwa inamtia uchizi!
Tanzania tulimfundisha kuwa andazi si kitumbua na alikoma, "akawanunua" askari wake waliotekwa.
Ila sasa kwa wananchi wake aliwatendea mambo ya ajabu kimaendeleo ambayo leo hawawezi kuyapata tena.
Waarabu wana roho mbaya sana licha ya kushinda misikitini.
Nchi zao wameziharibu kwa upumbafu wao wakisingizia nchi za magharibi na sasa wanakufa baharini wakienda ulaya.
Waarabu ni kama mbwa, wakiwa wanatembea pamoja na kucheza unaweza fikiri wanapendana sana, rusha kipande cha nyama, wanaanza kupigana na kuuana wenyewe. Angalia Libya, Syria, Sudan, Somalia na Pakistan. Ni kuuana tu
 
Kama mlifikiri Mungu anakuwa fundi kwa kundi moja tu la watu Ulimwenguni, mmefilisika.

Mwenyezi atufikishie mbali majangwa, walakini yanayotokea huko Morroco na Libya ni hasira za mwenyezi mungu kwa mateso yaliyowapata watu wake, Waafrika.

Ilikuwa hukosi kusikia unyanyasaji na mauji ya Waafrika waliokuwa wakipita nchi hizo kuelekea Ulaya na kwingineko kujitafutia ridhiki, Waarabu hao kwenye nchi hizo wakatumia unyonge wa watu hao kujitajirisha haraka haraka huku wakiwaachia maumivu makali ya kiroho Waafrika waliokuwa wakipita huko-mungu fundi-hawezi kuwaachia watu wake wateseke tu bila ya kuwaadhibu madhulumat-kawapiga na tetemeko na mafuriko, yote haya yakiwa ni "wrath of god" kuwaambia hao Waarabu, Komeni! Komeni kunyanyasa watu wangu, komeni unyanyapaa wenu.

Hatahivyo ni janga, na poleni wafiwa wote huko.

Mungu ni mkubwa siku zote, wacheni kumpangia ufundi wake.
 
Unachekesha kwani

Malkia alikaa miaka mingapi madarakani au mfalme wa Saudia arabia wako madarakani tokea lini na mbona analindwa na hao tena wameweka military base Saudia kuulinda ufalme ule issue ni mafuta na interest zao hio nyingine ni scape goat tu ya kupata wanachokitaka ,mfano kule Syria wameshindwa kwa kuwa wasyria wanamarafiki imara wenye nguvu la sivyo nao wangekuwa washasahaulika shida Gaddafi alikuwa hana strong and powerful friends pole yake na mwisho wake ukamkuta.
Siyo kama hawana marafiki. Waarabu hawana umoja halafu hawapendani (wanaroho mbaya sana, mwaarabu kukuua ni km anachinja kuku)
Wewe mtu mmoja kutoka nje, unaweza kwenda kwenye nchi za waarabu ukawachonganisha na wakauana. Mwaarabu ni mjinga sana
 
Siyo kama hawana marafiki. Waarabu hawana umoja halafu hawapendani (wanaroho mbaya sana, mwaarabu kukuua ni km anachinja kuku)
Wewe mtu mmoja kutoka nje, unaweza kwenda kwenye nchi za waarabu ukawachonganisha na wakauana. Mwaarabu ni mjinga sana
Gaddafi hakuwa na marafiki wenye nguvu hio ndio sababu maana kilichotokea Libya ndio kilichotokeq Syria kwa nini Asad yupo hadi leo ni marafiki wenye nguvu ndio wamemsaidia pale msaada amepata toka afghan,lebanon ,iran akiwa kinara mkuu na pia Russia kwa kuwa Russia ana naval base pale tartus syria sasa Gaddafi alikuwa peke yake akashindwa yeye alijisogeza zaidi huku umoja wa africa nao wapi wakampotezea baada ya kutaka kumpelekea msaada wakachimbwa mkwara na mabeberu wakanyamaza tuli Mugabe tu ndio alipeleka mamluki kwa uchache ila wapi Gaddafi alijua akisaidia kuujenga umoja wa africa siku moja utamfaa lakini kaambulia patupu ECOWAS wenyewe kule hola wameahindwa kumtetea mwenzao wa Niger hio ndio Africa divided we stand , itakuwa mwishoni Gaddafi alijilaumu kuwa na uadui na watu kama wairan maana ndio waliomsaidia mwenzie pale syria.
 
Ila Africa iungane na isimame isikubali tena kilichotokea Libya kutokea popote pale ndani ya Africa maana ni aibu nchi za wazungu mabeberu kuja kuivamia nchi ya kiafrica na kuitoa serikali madarakani iwe nchi moja ikivamiwa africa yote imevamiwa.
 
Wazungu wanawapenda sana wafrica mazuzu kama wewe Wanatamani bara lote la Africa liwe linaongozwa na maraisi mazuzu kama wewe

Na hata siku Moja zuzu kama wewe hauwezi kuwakubali maraisi kama

JIWE
GADDAFI
PUTIN
KIDUKU WA COREA

Muondoe JPM kwenye hilo list ya vichaa na madicteta.

Halafu zuzu na mpuuzi ni wewe na ukoo wako.
 
MUAMMAR GADDAFI'S, LIBYA 'S FORMER PRESIDENT, LAST FORMAL SPEECH.

"In the name of Allah, the beneficent, the merciful... For 40 years, or was it longer, I can't remember, I did all I could to give people houses, hospitals, schools, and when they were hungry, I gave them food. I even made Benghazi into farmland from the desert, I stood up to attacks from that cowboy Ronald Reagan, when he killed my adopted orphaned daughter, he was trying to kill me, instead he killed that poor innocent child. Then I helped my brothers and sisters from Africa with money for the African Union.

I did all I could to help people Understand the concept of real democracy, where people's committees ran our country. But that was never enough, as some told me, even people who had 10 room homes, new suits and furniture, were never satisfied, as selfish as they were they wanted more. They told Americans and other visitors, that they needed "democracy" and "freedom" never realizing it was a cut throat system, where the biggest dog eats the rest, but they were enchanted with those words, never realizing that in America, there was no free medicine, no free hospitals, no free housing, no free education and no free food, except when people had to beg or go to long lines to get soup.

No, no matter what I did, it was never enough for some, but for others, they knew I was the son of Gamal Abdel Nasser, the only true Arab and Muslim leader we've had since Salah-al-Deen, when he claimed the Suez Canal for his people, as I claimed Libya, for my people, it was his footsteps I tried to follow, to keep my people free from colonial domination - from thieves who would steal from us.

Now, I am under attack by the biggest force in military history, my little African son, Obama wants to kill me, to take away the freedom of our country, to take away our free housing, our free medicine, our free education, our free food, and replace it with American style thievery, called "capitalism" ,but all of us in the Third World know what that means, it means corporations run the countries, run the world, and the people suffer.

So, there is no alternative for me, I must make my stand, and if Allah wishes, I shall die by following His path, the path that has made our country rich with farmland, with food and health, and even allowed us to help our African and Arab brothers and sisters.

I do not wish to die, but if it comes to that, to save this land, my people, all the thousands who are all my children, then so be it.

Let this testament be my voice to the world, that I stood up to crusader attacks of NATO, stood up to cruelty, stoop up to betrayal, stood up to the West and its colonialist ambitions, and that I stood with my African brothers, my true Arab and Muslim brothers, as a beacon of light.

When others were building castles, I lived in a modest house, and in a tent. I never forgot my youth in Sirte, I did not spend our national treasury foolishly, and like Salah-al-Deen, our great Muslim leader, who rescued Jerusalem for Islam, I took little for myself...

In the West, some have called me "mad", "crazy", but they know the truth yet continue to lie, they know that our land is independent and free, not in the colonial grip, that my vision, my path, is, and has been clear and for my people and that I will fight to my last breath to keep us free, may Allah almighty help us to remain faithful and free."

- Muammar Gaddafi.
Source: X,(Twitter)
Tujihadhari na wauaji toka US, NATO na Ufaransa.
Wanajidai kuleta demokrasia, sasa walicho kileta Libya hawawezi kuwasaidia katika matatizo makubwa ya mafuriko na umasikini waliouleta.
Hawana nia njema kwa Afrika.
Watanzania walivyo... watakupinga tu....
 
Gaddafi hakuwa na marafiki wenye nguvu hio ndio sababu maana kilichotokea Libya ndio kilichotokeq Syria kwa nini Asad yupo hadi leo ni marafiki wenye nguvu ndio wamemsaidia pale msaada amepata toka afghan,lebanon ,iran akiwa kinara mkuu na pia Russia kwa kuwa Russia ana naval base pale tartus syria sasa Gaddafi alikuwa peke yake akashindwa yeye alijisogeza zaidi huku umoja wa africa nao wapi wakampotezea baada ya kutaka kumpelekea msaada wakachimbwa mkwara na mabeberu wakanyamaza tuli Mugabe tu ndio alipeleka mamluki kwa uchache ila wapi Gaddafi alijua akisaidia kuujenga umoja wa africa siku moja utamfaa lakini kaambulia patupu ECOWAS wenyewe kule hola wameahindwa kumtetea mwenzao wa Niger hio ndio Africa divided we stand , itakuwa mwishoni Gaddafi alijilaumu kuwa na uadui na watu kama wairan maana ndio waliomsaidia mwenzie pale syria.
Waarabu wanamatatizo ya akili na pia hawapendani. Siyo kigezo cha kutokuwa na marafiki.
Ghadafi ameuwawa na wanalibya wenzake. Ile vita wanalibya walikuwa mstari wa mbele wakiongoza vita.
Mfano. Hapo kwenu nikampa bunduki mdogo wako akuue, naye akabeba akakuua. Utasema hukuwa na marafiki?
 
Waarabu wanamatatizo ya akili na pia hawapendani. Siyo kigezo cha kutokuwa na marafiki.
Ghadafi ameuwawa na wanalibya wenzake. Ile vita wanalibya walikuwa mstari wa mbele wakiongoza vita.
Mfano. Hapo kwenu nikampa bunduki mdogo wako akuue, naye akabeba akakuua. Utasema hukuwa na marafiki?
Hujaelewa hata syria ni hao hao wasyria wakiongozwa na wageni wasiolitakia mema syria ila kwa kuwa anamarafiki wakumsaidia ndio maana kashinda siku zote mabeberu wanawatumia watu wa hapo hapo Gaddafi angekuwa na strong allie kama syria angesurvive.
 
Back
Top Bottom