Hotuba ya mwisho ya Muamar Gaddafi-aliyosema yametokea!

Hotuba ya mwisho ya Muamar Gaddafi-aliyosema yametokea!

Unachekesha kwani

Malkia alikaa miaka mingapi madarakani au mfalme wa Saudia arabia wako madarakani tokea lini na mbona analindwa na hao tena wameweka military base Saudia kuulinda ufalme ule issue ni mafuta na interest zao hio nyingine ni scape goat tu ya kupata wanachokitaka ,mfano kule Syria wameshindwa kwa kuwa wasyria wanamarafiki imara wenye nguvu la sivyo nao wangekuwa washasahaulika shida Gaddafi alikuwa hana strong and powerful friends pole yake na mwisho wake ukamkuta.
Hao unaowaita marafiki,kumbuka msemo wao"They haven't permanent friend,they have permanent interest"na Gaddafi aliwabana katika Hilo ndio chanzo za chuki zote....
 
If this was the case wangebeba silaha wampambanie Gadaffi!! Sasa unasema alikua na wafuasi wakati numbers zilimzidia kwenye uwanja wa vita.
Kwamba wananchi wa kawaida wabebe silaha are you serious? Moja ya kitu cha kishujaa Alichofanya Gaddaffi ni vita kupiganwa majangwani tu, Wakati wake Tripoli haikuguswa,

Angeamua kama Syria vita ipiganwe kwenye majiji ingechukua muda mrefu na Casualties zingekua kubwa ila akaamua kuachia miji na kulinda raia wake.
Waandamanaji walianza kuuwawa na baadae Gadaffi akaanza kutumia ndege kupambana na waasi. Akawa analipua Ile miji ya kipinzani na hapo ndio NATO ikaingilia tena ilishapita miezi zaidi ya 6 Toka vita vingurume. So Gadaffi ndio aliyeanza kulipua nchi yake mwenyewe na kuua maelfu ya raia.
Unaweza leta ushahidi Ghadafi alilipua Nchi? As far as I understand vita ilipiganwa Jangwani na Jamaa wakawa wanakuja mjini walivyo karibia mjini akaachia mji na kwenda mji wa kwao alipo toka, Libya imekuja kuharibiwa baada ya Ghadafi kuondoka.
Lakini Morsi aliondolewa na raia baada ya kuanza kuleta siasa kali za Islamic Brotherhood. Kama hao US wanataka vibaraka wao mbona hawakumtetea Mubarak alipopinduliwa na wananchi?
Morsi kaondolewaje na Raia? Si kapinduliwa na jeshi? Morsi alishinda uchaguzi tena kakitoa madarakani Chama tawala, na raia walimchagua Hali ya kuwa ni kutoka muslim brotherhood, Aligombea kama muslim brotherhood, na mpaka Leo hakuna uchaguzi sababu Wanajua uchaguzi ukiitishwa wanatolewa tena madarakani,
Sio kweli nchi yoyote baada ya vita huwa Kuna ombwe la uongozi hata Nyerere alipomtoa Amin tuliona jinsi wahuni walitawala na vikundi vya waasi vikajaa Kila kona. Hayo ni madhara ya vita yoyote Ile hata Ukraine ikimshinda Russia tarajia makundi ya waasi kuibuka na kujitawala Sasa hiyo inahusiana vipi?

Baada ya hapo rejea mapinduzi ya Gabon, Burkina Faso, Mali, Zimbabwe n.k why huko hatujaona mabomu, magofu, au vita? Sababu watawala walikubali matokeo na kukaa pembeni ila Gaddaffi tamaa ya madaraka akaona kuliko kupisha Bora apigane vita mpaka mwisho na ndio imeiharibu LIBYA.
We jamaa karudie tena vita vya libya, Ghadaffi hakuharibu miundo mbinu sana, aliweka vita isihusishe wananchi Kadri alivyoweza, alipiga tu maeneo kuliko kua na waasi, ila waasi walivyokaribia miji aliiacha na kuilinda isibomolewe, ni Nato ndio Walikua wakitupa tu mabomu hadi waasi wakawa Wanalalamika na wao wanauliwa.

Na mpaka Leo Libya Gadaffi maandamano yake yapo, mpaka serikali yake imeweka sheria hairuhusiwi kuandamana kumsupport, kama Ilivyo Misri wanafanya Zengwe mtoto wa Gadaffi asigombee uraisi wanaogopa atashinda,

Wanaopiga chapuo Demokrasia ndio unaona unafiki wao, wapo radhi udikteta uendelee badala ya kuitisha uchaguzi raia wachague wanaemtaka, sababu wanajua wa libya wengi wanamkubali Ghadaffi.
 
Malkia alikaa miaka mingapi madarakani au mfalme wa Saudia arabia wako madarakani tokea lini na mbona analindwa na hao tena wameweka military base Saudia kuulinda ufalme ule issue ni mafuta na interest zao hio nyingine ni scape goat tu ya kupata wanachokitaka
Malkia Hana nguvu za kimamlaka kiasi hicho hadi awe tishio, serikali ilikua ran na serikali za demokrasia.

Kuhusu Saudia, kwani wananchi wameandamana? Siku wakiliamsha hao hao US watakua wa kwanza kumng'oa MBH.

Kwa Gadaffi alikaa miaka 40 uliwahi ona wanavamia Libya? Ila kama ambavyo Mubarak aliondoka bila support ya US basi Saudia ni hivyo hivyo na Gadaffi yalimkuta hayo hayo.
 
Kwamba wananchi wa kawaida wabebe silaha are you serious? Moja ya kitu cha kishujaa Alichofanya Gaddaffi ni vita kupiganwa majangwani tu, Wakati wake Tripoli haikuguswa,

Angeamua kama Syria vita ipiganwe kwenye majiji ingechukua muda mrefu na Casualties zingekua kubwa ila akaamua kuachia miji na kulinda raia wake
This is not true kabisa, upinzani mkubwa ulikua miji mingi tu sio Tripoli peke yake Sasa ku bomb kwingine haimaanishi Tripoli was better ila upinzani huko kwingine ulikua mkali zaidi. Anyway huwezi shambulia raia wako alafu wakipewa support na NATO usingizie wazungu? Mbona Mugabe hakuvamiwa na NATO? mbona Haile Selassie au Nyerere hawakutolewa na NATO?
kaondolewaje na Raia? Si kapinduliwa na jeshi? Morsi alishinda uchaguzi tena kakitoa madarakani Chama tawala, na raia walimchagua Hali ya kuwa ni kutoka muslim brotherhood, Aligombea kama muslim brotherhood, na mpaka Leo hakuna uchaguzi sababu Wanajua uchaguzi ukiitishwa wanatolewa tena madarakani,
Kulikua na maandamano makubwa sana mkuu ina maana umesahau mara hii?!
 
This is not true kabisa, upinzani mkubwa ulikua miji mingi tu sio Tripoli peke yake Sasa ku bomb kwingine haimaanishi Tripoli was better ila upinzani huko kwingine ulikua mkali zaidi. Anyway huwezi shambulia raia wako alafu wakipewa support na NATO usingizie wazungu? Mbona Mugabe hakuvamiwa na NATO? mbona Haile Selassie au Nyerere hawakutolewa na NATO?
Kura zimepigwa umoja wa mataifa, Urusi, India na Nchi kibao zika abstain ku vote kutumia Nguvu libya, ila Nato waka Force kutumia Nguvu bila ruhusa ya Umoja wa Mataifa, Ingekua ni Dunia ya Usawa na Haki na Dekmokrasia kama mnavyotuaminisha Sarkozy na Mwenzake Obama walitakiwa wawe Jela sasa hivi. Ila Udikteta huu wa Nato kwenu sawa ila Udikteta wa Ghadafi unaona vizuri sana shame on you hata kufikiria hao Nato walikuja kusaidia raia mkuu.

Sasa hivi ni wizi tu unaoendelea huko Kila Nchi ina General wake inayomsupport na kila mmoja anaimba kivyake wakati wananchi wa Libya wakiwa Taabani.


Na sijasema Gadaffi hakutumia nguvu kabisa my point is alitumia minimum force, Kubomoa kitu ulichojenga inauma, Gadaffi aliview libya kama Mali yake, waliokuja kuchakaza Libya ni Nato, Mfano hapo Tripoli Ghadafi hajarusha hata jiwe ila Nato walivurumusha mabomu zaidi ya 20,000 for what Exactly?

images (27).jpeg

Sio tu walichakaza miji ya Libya, sasa hivi wanakula Tenda ya kujenga miji walioibomoa wenyewe, Analyst wa naamini Cost ya kujenga Libya ni around $100B zaidi ya Trilioni 200 za madafu na Nchi 3 zitafaidika zaidi Uturuki, Italy na Ufaransa, wale wale.
Kulikua na maandamano makubwa sana mkuu ina maana umesahau mara hii?!
Maandamano si Kigezo, Morsi kapinduliwa na Jeshi si raia, sasa hivi kuna Maandamano kibao mbona Serikali haipinduliwi? Utofauti wa Serikali ya Morsi na ya sasa ni kwamba mmoja ni puppet wa west na mwengine sio.

Morsi ndio kiongozi pekee aliechaguliwa kidemokrasia, Kwa case ya Egpty West hawataki demokrasia maana wakienda kwenye sanduku wanapata kiongozi wasiyemtaka inabidi wapachike dikteta atakayetimiza matakwa yao, Unafiki pro max.
 
Malkia Hana nguvu za kimamlaka kiasi hicho hadi awe tishio, serikali ilikua ran na serikali za demokrasia.

Kuhusu Saudia, kwani wananchi wameandamana? Siku wakiliamsha hao hao US watakua wa kwanza kumng'oa MBH.

Kwa Gadaffi alikaa miaka 40 uliwahi ona wanavamia Libya? Ila kama ambavyo Mubarak aliondoka bila support ya US basi Saudia ni hivyo hivyo na Gadaffi yalimkuta hayo hayo.
Sasa malkia na wao lao ni moja tu atawatishia vipi wakati ni mfumo wao wa utawala wanaouexport kila mahala ,
Saudia zilitokea hayo maandamano ya Qatif na viongozi walikamatwa kama akina Nimr kiliamshwa wapi ???
Hizi siasa za dunia zina double standard kwa hiyo kwenda kusupport wapinzani wa Qaddafi wa siku nyingi na kuwaweka madarakani ndio sawa , Afghan tu walisupport north alliance ila kwa kuwa Taliban wanastrong allies and friends kama basi wamekinukisha over 20years endless mpaka leo wamerudishwa wao tena in power kama ni wapenda demokrasia mbona wamewarudisha Taliban madarakani je hao Taliban ndio wanademokrasia sana ktk ulimwengu wa sasa ni strong alliance tu zinaweza kuensure survival ya regime na sio single strong entity alone inaweza kusurvive kweli mabeberu wana yao mazuri ila kwa suala la libya hili ni uonevu ambao haupaswi kutokea popote pale africa na kunyamaziwa africa imara ni ile yenye umoja.
 
Gaddafi alikua muslim propagandist na mfadhili mkubwa wa vikundi vya kigaidi,ndiye aliyemfadhili Iddi Amin katika vita vya Tz na uganda.

Wananchi wake walimchoka kwa udikteta ndio mana walimuua kafiri yule.
Alipoingiza mambo ya Arab na vita ya salah Al deen kuteka Jerusalem ameonyesha rangi yake kuwa yupo zaidi Kwenye dini yake na maslahi yake lakini alitumia Africa Kama tiketi ya kuonekana ni mpigania haki na ukombozi wa mtu mweusi
 
Alipoingiza mambo ya Arab na vita ya salah Al deen kuteka Jerusalem ameonyesha rangi yake kuwa yupo zaidi Kwenye dini yake na maslahi yake lakini alitumia Africa Kama tiketi ya kuonekana ni mpigania haki na ukombozi wa mtu mweusi
Kwamba ili aonekane ni Patriot wa Ki Africa aukane uarabu? Nyie jamaa mnapenda watu wawe wanafiki wanafiki tu mshazoea hivyo wabongo.
 
Unadhani Ghadafi hakuwa katili? Unadhani silaha alikuwa anazipataje? Alikuwa na upande wake...yeye ndiye alikuwa anafanya maamuzi mwenyewe then akapumbaza wananchi kwa kuwatishia...baadhi ya michezo kama boxing alizipiga marufuku kama Dikteta kama yule wa Iraq.
Kiongozi asie katili ni nani? Embu mtaje mmoja hapa.
 
Sasa ukristo umeuweka apo wa nini mzee wangu
Nimeweka ukristo kwa sababu watu wanamuongelea Ghadafi kwa taswira ya udini kwa kuwa alikuwa Muislam nikataka kuonyesha alikuwa anakubaliwa na wakristo pia kwa sababu ya uzalendo wake na mapenzi yake ya kujitegemea na kulipenda bara la afrika lenye shida ya umaskini wa kujitakia..Zaidi sana hata Muislam akiwa na mawazo mazuri,,na akili kubwa ni vizuri kuiga anakopita na anavyofanya sio kusikiliza chuki ya wanaomchukia unaweza kuta anemchukia na akamsema vibaya ukakuta anawachukia hadi anaowaambia...Kuongezea ukiangalia hata ndani ya boko haramu kama walikuwa wanalipa mishahara mizuri utakuta walikuwepo wakristo wengi tu...Na anaependa mambo ya kiliberali ajue kauli ya waswahili iliosema ""kilichomkuta mamba na hata boko kitampata"".
 
Ila jamaa alikuwa yuko vizuri kwenye kupambania nchi yake tuu wamepewa yote na kulipwa juu kwa wasio jiweza ijapokuwa hakuna mkamilifu ila wazo lakumuua kwa proganda za Amerika na raia wakadanganyika leo linawagharimu Libya haitotulia baada ya miaka 50 labda.
 
Mkuu una Ignore vitu vingi kwenye Comment yako.

1. Raia wa Libya wengi tu walimsupport Ghadafi, tulionao maandamano makubwa Mno ya kumuunga Mkono Ghadafi,
View attachment 2755340
View attachment 2755341

2. Sababu wengi walimsupport Ghadafi ikawa nguvu ya Wananchi haiwezi kumtoa Madarakani ikabidi itumike nguvu ya Kijeshi kutoka Nje, Ghadafi hajapinduliwa na wananchi tu bali Nato alihusika kwa kiasi kikubwa zaidi.

3. Lengo la Magharibi sio Demokrasia bali ni kumuweka Kiongozi wanaotaka wao, Chukulia huo huo mfano wa Misri, walipoitisha Uchaguzi Mosri si alishinda? Mbona west wakamtoa kiongozi aliechaguliwa na wananchi?

4. Libya aliefanya vita viendelee zaidi ni hao hao Nato, wamewaweka waasi waongoze nchi baada ya kuwasaidia waunde serikali Nato wakaanza kusupport waasi wengine, in short hawana nia ya kui stabilize Libya, kama Ilivyo China, Iran, Urusi hawataki Nchi ambayo ipo against na wao iwe na Maendeleo.

Kimsingi bora NATO iendelee kutawala dunia,na magaidi yauwawe.
 
Alilipia makosa kwa kuuliwa na wananchi wake mwenyewe aliyewajari,udikteta na ugaidi lazima hayo yangemfika tu mana aliumiza wengi.
Ukisema hivyo Muhammad Morsi naye pia ana makosa ndio maana Elsisi akamuua pia.
Hakuna nchi ilokua inaishi vizuri kama ya Libya kipindi cha Gaddafi.
Bro tazama aljazeera kipindi cha aljazeera world na witness ipo siku watarudia kipindi walichorikodi wananchi wa Libya wanavyolia na kujuta kuwa bora Gaddafi angekuwa hai.
Libya imekua nchi ya vita Libya Karne hii inasumbuliwa na kipindupindu Libya Karne hii ina mgao wa umeme masaa 72 mpk masaa 72.
 
Toa mfano wa shule, hospitali au barabara aliyoijenga Ghadafi Tanzania tofauti na misikiti kibao aliyoijenga hata porini kusipokuwepo watu
Ushasahau kama baadhi ya mikopo ya maendeleo mmekopa kwa Gaddafi??!!!
Sio tu Tanzania Ethiopia na mataifa mengine yamekula sana pesa za Gaddafi
 
Kwani mara ngapi Kagame anatajwa na Hao mabeberu kuhusika na mauaji DRC? Kagame is evil and everyone knows it and so was Gadaffi. Sasa ugomvi wake na US usigeuzwe ndio chanzo cha yeye kuondolewa wakati alichokwa na raia wake badala ya kuwaita mezani akaanza kuua waandamanaji mwishowe ikazaa vita badala ya kuadress matatizo akazidi kuua tu ulitaka afanyweje? Hata Kagame akifanya huo upuuzi atatolewa tu.

Toeni propaganda hapa, kwa hiyo Kwa mifano hii kumbe hata Idd Amin alikua Rais mzuri sana maana ndio alitimua mabeberu, alijenga viwanda vingi na uchumi wa Uganda ulikua mzuri sana kipindi chake. Kwa logic Yako ni kwamba Mtu muovu akigawa pesa basi inasafisha maovu anayofanya?

Hii logic ya wapi? Gadaffi was evil and that won't change hayo ya maendeleo wapo madikteta kama Hitler walifanya zaidi yake ila wanachukiwa kwa maovu Yao sio maendeleo Yao.
Naona unaendeshwa kwa mihemko tulia kijana.
Hitler alikuwa kiongozi katili mwanzo mpaka mwisho,Iddi Amini alikua kiongozi katili mpaka kufa kwake.
GADDAFI ALIKIRI KUKOSEA KWAKE NA AKAAPA KUBADILI MIFUMO YA UONGOZI NA AKAFANYA MAZURI.
HIVI UNAELEWA AU UNAKOMAZA FUVU???
NITAJIE KIKUNDI CHA KIGAIDI ALICHOFADHILI GADDAFI BAADA YA 1990.NASUBIRI JIBU HAPA.
Halafu mshasahau hao kina Obama na Bush mnaosifia kuwa viongozi bora duniani ndio wakandamizaji wakubwa wa haki za kibinadamu na ndio wafadhili wakubwa wa ugaidi wameshavamia na kuharibu mataifa kibao amani ya hizo nchi kwa maslahi yao binafsi.
SUCH A HYPOCRITE MAN.
Halafu pia ushasahau kama mataifa ya kiarabu huwa ni ya kunafikiana linapokuja suala la madaraka.
Ifuatilie Syria toka enzi za babaake Assad,Misri toka enzi za Gamal Nasser,Libya yenyewe na Yemeni.Embu katizama historia ya madaraka ya hizo nchi.
 
GADDAFI ALIKIRI KUKOSEA KWAKE NA AKAAPA KUBADILI MIFUMO YA UONGOZI NA AKAFANYA MAZURI.
HIVI UNAELEWA AU UNAKOMAZA FUVU???
NITAJIE KIKUNDI CHA KIGAIDI ALICHOFADHILI GADDAFI BAADA YA 1990.NASUBIRI JIBU HAPA
Alifadhili sana Qassam Brigade ya Palestina pia alikua anadhamini waasi wa Chad ikawa kama koloni lake.
Halafu mshasahau hao kina Obama na Bush mnaosifia kuwa viongozi bora duniani ndio wakandamizaji wakubwa wa haki za kibinadamu na ndio wafadhili wakubwa wa ugaidi wameshavamia na kuharibu mataifa kibao amani ya hizo nchi kwa maslahi yao binafsi.
Kwahiyo US kudhamini magaidi ndio kunamfanya Gaddafi alikua mtu poa? Sawa Obama ni mbaya and so was Gadaffi wala hakuna haja ya revisionism.

Tukisema maendeleo kule sauzi kipindi cha Makaburu Kulikua mpaka Kuna mitambo ya nyuklia kufua umeme!! je weusi walikosea kuondoa utawala wa mtu mweupe maana Hawa weusi sahivi hakuna Maji, hakuna umeme hakuna ajira n.k. so nao tuwalaumu sio?
 
Back
Top Bottom