Hotuba ya mwisho ya Muamar Gaddafi-aliyosema yametokea!

Hotuba ya mwisho ya Muamar Gaddafi-aliyosema yametokea!

Wazungu wanawapenda sana wafrica mazuzu kama wewe Wanatamani bara lote la Africa liwe linaongozwa na maraisi mazuzu kama wewe

Na hata siku Moja zuzu kama wewe hauwezi kuwakubali maraisi kama

JIWE
GADDAFI
PUTIN
KIDUKU WA COREA
Kuna kitu naona wengi kwenye huu mjadala hamuelewi.

US ni kweli haikupatana na Gadaffi lakini tusipuuze kwamba wananchi nao hawakupenda udikteta wake. Ni kama tu Huko Saudia wananchi wanakula Bata ila haimaanishi yule Prince Salman anakubalika!! Wana makondo kando kama hayo ya kuua wakosoaji, kukandamiza haki za raia n.k Sasa Leo hii Saudia ikipinduliwa why tulaumu US na NATO?

Hata Mugabe alikua hapatani na West ila haimaanishi ndio waliompindua? Itakua ni mjinga tu atakayepinga kuwa Raia wa Zimbabwe walimchoka Mugabe. Na hii ni kote kuanzia Nkrumah, Haile Selassie, Mubarak, Karume n.k licha ya kufanya maendeleo kwa sehemu Yao but hawakuwa perfect na ndio maana walipinduliwa.

Point ya pili.... Kilichoiharibu Libya sio Gadaffi kupinduliwa ila VITA. Mbona Misri Mubaraka baadae Morsi walipinduliwa ila hatukuona VITA? Mbona Mugabe alitolewa na hatukuona damu ikimwagika? Nadhani ifike mahali tukubali kwamba VITA inaharibu uchumi whether kwa uzuri au ubaya na ndio maana hata uchumi wetu ulivurugika baada ya vita ya Uganda licha ya kwamba Idd Amin alitukosea.

Busara ingekua Gadaffi apishe au aite serikali ya muafaka wa kitaifa Wala NATO wasingepata pa kuingilia wala kusingemwagika damu. Gadaffi mwenyewe ndio aliharibu nchi yake kwa kung'ang'ania madaraka miaka 40 kiasi mpaka kurushia mabomu na risasi raia wake waliompinga kwa maandamano.

Tumeona Gabon, Mali, Burkina Faso Kuna mapinduzi ila mbona hamlaumu wazungu? Kwa sababu hakujatokea damu kumwagika! Sasa kigumu Kilikua kipi kwa Gadaffi kukubali yaishe mapema??
 
Kuna wapuuzi umu jamvini wanamuongelea vibaya SIMBA wa Africa Gadafi yule jamaa alitaka Africa tutumie pesa Moja ambayo backbone yake iwe ni gold NATO wakaona hooo uyu jamaa anataka uchumi wetu u collapse wakamuwai fasta Leo nyie kenge mnalia Dola imekuwa adimu alafu mnamkejeli mtu aliyetaka kuwatoa kwenye uwo mnyororo wa mateso wasauzi kamwe awatomsahau Gadafi Kwa alichoeafanyia kwenye maandalizi ya kombe la dunia 2010 ni Gadafi uyu uyu ndie alitoa fedha za nchi yake kwenda kwenye BANK YA AFRICA bila riba wala masharti Ili waafrica wenzake wakope bila riba Ili kukuza uchumi wa nchi zao ...alafu anatokea kenge kisa tu anachuki na waarabu anamtukana Gadafi..
Labda Simba wa Africa ya Waarabu
 
MUAMMAR GADDAFI'S, LIBYA 'S FORMER PRESIDENT, LAST FORMAL SPEECH.

"In the name of Allah, the beneficent, the merciful... For 40 years, or was it longer, I can't remember, I did all I could to give people houses, hospitals, schools, and when they were hungry, I gave them food. I even made Benghazi into farmland from the desert, I stood up to attacks from that cowboy Ronald Reagan, when he killed my adopted orphaned daughter, he was trying to kill me, instead he killed that poor innocent child. Then I helped my brothers and sisters from Africa with money for the African Union.

I did all I could to help people Understand the concept of real democracy, where people's committees ran our country. But that was never enough, as some told me, even people who had 10 room homes, new suits and furniture, were never satisfied, as selfish as they were they wanted more. They told Americans and other visitors, that they needed "democracy" and "freedom" never realizing it was a cut throat system, where the biggest dog eats the rest, but they were enchanted with those words, never realizing that in America, there was no free medicine, no free hospitals, no free housing, no free education and no free food, except when people had to beg or go to long lines to get soup.

No, no matter what I did, it was never enough for some, but for others, they knew I was the son of Gamal Abdel Nasser, the only true Arab and Muslim leader we've had since Salah-al-Deen, when he claimed the Suez Canal for his people, as I claimed Libya, for my people, it was his footsteps I tried to follow, to keep my people free from colonial domination - from thieves who would steal from us.

Now, I am under attack by the biggest force in military history, my little African son, Obama wants to kill me, to take away the freedom of our country, to take away our free housing, our free medicine, our free education, our free food, and replace it with American style thievery, called "capitalism" ,but all of us in the Third World know what that means, it means corporations run the countries, run the world, and the people suffer.

So, there is no alternative for me, I must make my stand, and if Allah wishes, I shall die by following His path, the path that has made our country rich with farmland, with food and health, and even allowed us to help our African and Arab brothers and sisters.

I do not wish to die, but if it comes to that, to save this land, my people, all the thousands who are all my children, then so be it.

Let this testament be my voice to the world, that I stood up to crusader attacks of NATO, stood up to cruelty, stoop up to betrayal, stood up to the West and its colonialist ambitions, and that I stood with my African brothers, my true Arab and Muslim brothers, as a beacon of light.

When others were building castles, I lived in a modest house, and in a tent. I never forgot my youth in Sirte, I did not spend our national treasury foolishly, and like Salah-al-Deen, our great Muslim leader, who rescued Jerusalem for Islam, I took little for myself...

In the West, some have called me "mad", "crazy", but they know the truth yet continue to lie, they know that our land is independent and free, not in the colonial grip, that my vision, my path, is, and has been clear and for my people and that I will fight to my last breath to keep us free, may Allah almighty help us to remain faithful and free."

- Muammar Gaddafi.
Source: X,(Twitter)
Tujihadhari na wauaji toka US, NATO na Ufaransa.
Wanajidai kuleta demokrasia, sasa walicho kileta Libya hawawezi kuwasaidia katika matatizo makubwa ya mafuriko na umasikini waliouleta.
Hawana nia njema kwa Afrika.
Katika mbwa ambao walikufa na Bora walikufa ni pamoja na Mbwa Gadaffi
 
Unamuonaje na Kagame kwa kung`ang'ania madaraka. Naona dunia wakati mwingine inataka watu kujitambua zaidi na sio kuongozwa ongozwa na maono ya mtu mmoja
Kwani mara ngapi Kagame anatajwa na Hao mabeberu kuhusika na mauaji DRC? Kagame is evil and everyone knows it and so was Gadaffi. Sasa ugomvi wake na US usigeuzwe ndio chanzo cha yeye kuondolewa wakati alichokwa na raia wake badala ya kuwaita mezani akaanza kuua waandamanaji mwishowe ikazaa vita badala ya kuadress matatizo akazidi kuua tu ulitaka afanyweje? Hata Kagame akifanya huo upuuzi atatolewa tu.
Acha KUENDESHWA na chuki ww.
Gaddafi alikiri makosa yake na aliomba msamaha na alilipa fidia kwa hayo makosa au ww mtoto wa juzi haujui!?
Tunamzungumzia Gaddafi aliyewakataa waarabu wenzake ili aiunganishe Africa, tunamzungumzia Gaddafi ambaye aliyetoa misaada ya mikopo na kujitahidi kuiinua Africa kiuchumi na tunamzungumzia Gaddafi ambaye aliwapa maisha mazuri walibya huyo ndio Gaddafi tunamzungumzia hapa.
Hata ww una dhambi au haujawahi kukosea??
Toeni propaganda hapa, kwa hiyo Kwa mifano hii kumbe hata Idd Amin alikua Rais mzuri sana maana ndio alitimua mabeberu, alijenga viwanda vingi na uchumi wa Uganda ulikua mzuri sana kipindi chake. Kwa logic Yako ni kwamba Mtu muovu akigawa pesa basi inasafisha maovu anayofanya?

Hii logic ya wapi? Gadaffi was evil and that won't change hayo ya maendeleo wapo madikteta kama Hitler walifanya zaidi yake ila wanachukiwa kwa maovu Yao sio maendeleo Yao.
 
Kama huelewei the world geopolitical na influence zake basi mabeberu watakushika kichwa kwa pale middle east iran ni regional power na yuko mstari wa mbele pale Yemen ,syria na lebanon na pia anainfluence kubwa kwenye shia community na hio ndio sababu kuu mabeberu yamefeli kumtoa Assad wa Syria madarakani , tunaposema marafiki na msaada tunaamaanisha watu wakuja kusimama na kupigana na wewe kama syria ambavyo hivyo Gaddafi alikosa , kuhusu ugaidi hio ni creation ya mabeberu ili kufikia malengo yao kama mamullah wa Afghan ni magaidi mbona wamenegotioate nao peace na kuwarudishia serikali baada ya kuwashindwa siasa za dunia zinamambo hususani pale mabeberu wakiwa wanataka interest zao zifanikiwe.
Waarabu hawapendani na wanapenda sana kuua. Kwanini matukio mengi ya vita yanatokea kwenye nchi za waarabu au zenye waislamu wengi?
Sudani, Somalia, Libya, Mali, Syria, Pakistani.
Urafiki huwezi kukusaidia ikiwa wewe mwenyewe hauna upendo na umoja na ndugu zako
 
Nani anamkumbuka Gadaffi Kama siyo watu wachache wa mji wa Sirte in ambao wa Tripolitani familia yake. Nenda Benghazi kule magharibi karibu na Mediterranean katamke maneno hayo kuhusu Gadaffi. Watakukata kiungo kimoja kimoja mpaka ufe.

Je unajuwa kuna raia wa Libya ambao ni weusi kama sisi Watanzania? Je umewahi kuawasikia popote kwenye fursa za uchumi na utawala? Hao aliwabagua kama raia daraja la 2
Si Kweli kama vitu vyengine hujui bora unyamaze tu.

Baada ya Ghadafi kumaliza Tatizo la ajira nchi kwake alichukua Migrants kibao wengi kutoka Nchi kama Niger, Chad, Nigeria etc. Jumla Libya ilihifadhi migrants kama milioni 2 na nusu wakati wa Ghadafi


Pia Libya sio weusi asilimia 97 ni waarabu na berbers, weusi unaowaona Libya wapo Njiani kwenda Ulaya.
 
Katika kiongozi wa hovyo kuwahi kutokea duniani ni GHADAFI, alichangia pakubwa katika instability ya Afrika kwa kufadhili vikundi vya kigaidi vilivyokuwa vinaeneza dini yake.Alitengeneza Taifa la mazezeta ambayo yalikuwa yanalipiwa mahari kwa kutumia sehemu mdogo ya mapato ya nchi na sehemu nyingine aliitumia kueneza propaganda za dini yake, kusapoti vikundi vya jihadi, kununua baadhi ya viongozi na kujenga misikiti Kila pande za Afrika akiamuni kuwa angeweza kuibadili Afrika iwe ya dini moja
Vikundi hivyo hivyo mnavyosema ni vya Kigaidi wame kuja Wagner wamevipiga, Ufaransa katolewa hizo Nchi na Vikundi vimepotea. Muda ni Mwalimu mzuri sana, Vision ya Ghadafi ndo hiyo hiyo Inatokea Niger sasa hivi.
 
Kuna kitu naona wengi kwenye huu mjadala hamuelewi.

US ni kweli haikupatana na Gadaffi lakini tusipuuze kwamba wananchi nao hawakupenda udikteta wake. Ni kama tu Huko Saudia wananchi wanakula Bata ila haimaanishi yule Prince Salman anakubalika!! Wana makondo kando kama hayo ya kuua wakosoaji, kukandamiza haki za raia n.k Sasa Leo hii Saudia ikipinduliwa why tulaumu US na NATO?

Hata Mugabe alikua hapatani na West ila haimaanishi ndio waliompindua? Itakua ni mjinga tu atakayepinga kuwa Raia wa Zimbabwe walimchoka Mugabe. Na hii ni kote kuanzia Nkrumah, Haile Selassie, Mubarak, Karume n.k licha ya kufanya maendeleo kwa sehemu Yao but hawakuwa perfect na ndio maana walipinduliwa.

Point ya pili.... Kilichoiharibu Libya sio Gadaffi kupinduliwa ila VITA. Mbona Misri Mubaraka baadae Morsi walipinduliwa ila hatukuona VITA? Mbona Mugabe alitolewa na hatukuona damu ikimwagika? Nadhani ifike mahali tukubali kwamba VITA inaharibu uchumi whether kwa uzuri au ubaya na ndio maana hata uchumi wetu ulivurugika baada ya vita ya Uganda licha ya kwamba Idd Amin alitukosea.

Busara ingekua Gadaffi apishe au aite serikali ya muafaka wa kitaifa Wala NATO wasingepata pa kuingilia wala kusingemwagika damu. Gadaffi mwenyewe ndio aliharibu nchi yake kwa kung'ang'ania madaraka miaka 40 kiasi mpaka kurushia mabomu na risasi raia wake waliompinga kwa maandamano.

Tumeona Gabon, Mali, Burkina Faso Kuna mapinduzi ila mbona hamlaumu wazungu? Kwa sababu hakujatokea damu kumwagika! Sasa kigumu Kilikua kipi kwa Gadaffi kukubali yaishe mapema??
Mkuu una Ignore vitu vingi kwenye Comment yako.

1. Raia wa Libya wengi tu walimsupport Ghadafi, tulionao maandamano makubwa Mno ya kumuunga Mkono Ghadafi,
images (49).jpg

images (48).jpg


2. Sababu wengi walimsupport Ghadafi ikawa nguvu ya Wananchi haiwezi kumtoa Madarakani ikabidi itumike nguvu ya Kijeshi kutoka Nje, Ghadafi hajapinduliwa na wananchi tu bali Nato alihusika kwa kiasi kikubwa zaidi.

3. Lengo la Magharibi sio Demokrasia bali ni kumuweka Kiongozi wanaotaka wao, Chukulia huo huo mfano wa Misri, walipoitisha Uchaguzi Mosri si alishinda? Mbona west wakamtoa kiongozi aliechaguliwa na wananchi?

4. Libya aliefanya vita viendelee zaidi ni hao hao Nato, wamewaweka waasi waongoze nchi baada ya kuwasaidia waunde serikali Nato wakaanza kusupport waasi wengine, in short hawana nia ya kui stabilize Libya, kama Ilivyo China, Iran, Urusi hawataki Nchi ambayo ipo against na wao iwe na Maendeleo.
 
Kuna kitu naona wengi kwenye huu mjadala hamuelewi.

US ni kweli haikupatana na Gadaffi lakini tusipuuze kwamba wananchi nao hawakupenda udikteta wake. Ni kama tu Huko Saudia wananchi wanakula Bata ila haimaanishi yule Prince Salman anakubalika!! Wana makondo kando kama hayo ya kuua wakosoaji, kukandamiza haki za raia n.k Sasa Leo hii Saudia ikipinduliwa why tulaumu US na NATO?

Hata Mugabe alikua hapatani na West ila haimaanishi ndio waliompindua? Itakua ni mjinga tu atakayepinga kuwa Raia wa Zimbabwe walimchoka Mugabe. Na hii ni kote kuanzia Nkrumah, Haile Selassie, Mubarak, Karume n.k licha ya kufanya maendeleo kwa sehemu Yao but hawakuwa perfect na ndio maana walipinduliwa.

Point ya pili.... Kilichoiharibu Libya sio Gadaffi kupinduliwa ila VITA. Mbona Misri Mubaraka baadae Morsi walipinduliwa ila hatukuona VITA? Mbona Mugabe alitolewa na hatukuona damu ikimwagika? Nadhani ifike mahali tukubali kwamba VITA inaharibu uchumi whether kwa uzuri au ubaya na ndio maana hata uchumi wetu ulivurugika baada ya vita ya Uganda licha ya kwamba Idd Amin alitukosea.

Busara ingekua Gadaffi apishe au aite serikali ya muafaka wa kitaifa Wala NATO wasingepata pa kuingilia wala kusingemwagika damu. Gadaffi mwenyewe ndio aliharibu nchi yake kwa kung'ang'ania madaraka miaka 40 kiasi mpaka kurushia mabomu na risasi raia wake waliompinga kwa maandamano.

Tumeona Gabon, Mali, Burkina Faso Kuna mapinduzi ila mbona hamlaumu wazungu? Kwa sababu hakujatokea damu kumwagika! Sasa kigumu Kilikua kipi kwa Gadaffi kukubali yaishe mapema??
Dohhh pole sana .. umetolea mfano wa misri ivi unajua Abdulfatah Al sis ni kibaraka wao na ndio walimtumia kumpindua Mohamed mursi Rais aliyependwa na Raia kwakuwa alkuwa threat Kwa Israel na USA ndio mahana wakamtoa Kuna madikteta kibao tu apa Africa kwakuwa ni vibaraka wa west hutosikia wanawasema vibaya
 
Kuna madikteta kibao tu apa Africa kwakuwa ni vibaraka wa west hutosikia wanawasema vibaya
Issue ni kuwasema au mnasubiri wapinduliwe ndio mseme wamehusika?

Kwani Gadaffi hawakumsema miaka yote mbona hawakuwahi muua? Ila wananchi walipoamua kukianzisha ndio lawama kwa wazungu.

Tuache inferiority complex
 
Unadhani Ghadafi hakuwa katili? Unadhani silaha alikuwa anazipataje? Alikuwa na upande wake...yeye ndiye alikuwa anafanya maamuzi mwenyewe then akapumbaza wananchi kwa kuwatishia...baadhi ya michezo kama boxing alizipiga marufuku kama Dikteta kama yule wa Iraq.
Kupiga marufuku boxing ungetoa mfano wa hapa karibu, AA Karume.
 
Raia wa Libya wengi tu walimsupport Ghadafi, tulionao maandamano makubwa Mno ya kumuunga Mkono Ghadafi,
If this was the case wangebeba silaha wampambanie Gadaffi!! Sasa unasema alikua na wafuasi wakati numbers zilimzidia kwenye uwanja wa vita.
2. Sababu wengi walimsupport Ghadafi ikawa nguvu ya Wananchi haiwezi kumtoa Madarakani ikabidi itumike nguvu ya Kijeshi kutoka Nje, Ghadafi hajapinduliwa na wananchi tu bali Nato alihusika kwa kiasi kikubwa zaidi
Waandamanaji walianza kuuwawa na baadae Gadaffi akaanza kutumia ndege kupambana na waasi. Akawa analipua Ile miji ya kipinzani na hapo ndio NATO ikaingilia tena ilishapita miezi zaidi ya 6 Toka vita vingurume. So Gadaffi ndio aliyeanza kulipua nchi yake mwenyewe na kuua maelfu ya raia.

3. Lengo la Magharibi sio Demokrasia bali ni kumuweka Kiongozi wanaotaka wao, Chukulia huo huo mfano wa Misri, walipoitisha Uchaguzi Mosri si alishinda? Mbona west wakamtoa kiongozi aliechaguliwa na wananchi?
Lakini Morsi aliondolewa na raia baada ya kuanza kuleta siasa kali za Islamic Brotherhood. Kama hao US wanataka vibaraka wao mbona hawakumtetea Mubarak alipopinduliwa na wananchi?
4. Libya aliefanya vita viendelee zaidi ni hao hao Nato, wamewaweka waasi waongoze nchi baada ya kuwasaidia waunde serikali Nato wakaanza kusupport waasi wengine, in short hawana nia ya kui stabilize Libya, kama Ilivyo China, Iran, Urusi hawataki Nchi ambayo ipo against na wao iwe na Maendeleo.
Sio kweli nchi yoyote baada ya vita huwa Kuna ombwe la uongozi hata Nyerere alipomtoa Amin tuliona jinsi wahuni walitawala na vikundi vya waasi vikajaa Kila kona. Hayo ni madhara ya vita yoyote Ile hata Ukraine ikimshinda Russia tarajia makundi ya waasi kuibuka na kujitawala Sasa hiyo inahusiana vipi?

Baada ya hapo rejea mapinduzi ya Gabon, Burkina Faso, Mali, Zimbabwe n.k why huko hatujaona mabomu, magofu, au vita? Sababu watawala walikubali matokeo na kukaa pembeni ila Gaddaffi tamaa ya madaraka akaona kuliko kupisha Bora apigane vita mpaka mwisho na ndio imeiharibu LIBYA.
 
Vikundi hivyo hivyo mnavyosema ni vya Kigaidi wame kuja Wagner wamevipiga, Ufaransa katolewa hizo Nchi na Vikundi vimepotea. Muda ni Mwalimu mzuri sana, Vision ya Ghadafi ndo hiyo hiyo Inatokea Niger sasa hivi.
Hii nayo huwa hoja nyepesi sana, mara zote humu mnasema vikundi vya kigaidi vinapandikizwa na wazungu Sasa Cha kujiuliza kwani hao wazungu huwa hawana mikataba halali ya kuchimba madini katika hizo nchi??

Mfano kule Msumbiji kwenye gesi wakasema ooh wazungu ndio wameleta magaidi Ili waibe gesi. Cha ajabu wafaransa ndio walikua na kampuni zao za kuchimba gesi Sasa why ulete vita au magaidi ilihali gesi umeshapewa?

Hii hoja sijawahi ielewa, huwa mnaitumia DRC pia ilihali hao hao mabeberu Wana mikataba halali why Tena waingie gharama ya kufund waasi wakati Mali tayari wamekabidhiwa? Yaani what are they fighting for?
 
Gaddafi alikua muslim propagandist na mfadhili mkubwa wa vikundi vya kigaidi,ndiye aliyemfadhili Iddi Amin katika vita vya Tz na uganda.

Wananchi wake walimchoka kwa udikteta ndio mana walimuua kafiri yule.
Kama alikuwa mfadhili wa Vikundi vy kigaidi Mbona Amefariki na Hivyo vikundi bado vinaendelea kuwepo na Kufadhiliwa,

Je nani anyeendelea kuvifadhili vikundi hivyo au ni Mizimu ya Gaddafi inavifadhili ?
 
Hii nayo huwa hoja nyepesi sana, mara zote humu mnasema vikundi vya kigaidi vinapandikizwa na wazungu Sasa Cha kujiuliza kwani hao wazungu huwa hawana mikataba halali ya kuchimba madini katika hizo nchi??

Mfano kule Msumbiji kwenye gesi wakasema ooh wazungu ndio wameleta magaidi Ili waibe gesi. Cha ajabu wafaransa ndio walikua na kampuni zao za kuchimba gesi Sasa why ulete vita au magaidi ilihali gesi umeshapewa?

Hii hoja sijawahi ielewa, huwa mnaitumia DRC pia ilihali hao hao mabeberu Wana mikataba halali why Tena waingie gharama ya kufund waasi wakati Mali tayari wamekabidhiwa? Yaani what are they fighting for?
1. Si maeneo yote wana mikataba halali
2. Wanachukua zaidi Ya kilichoandikwa kwenye mikataba.

Mfano sasa hivi Syria Usa wanachimba mafuta, Hawajaingia mkataba wowote na serikali ya Syria na issue ipo UN ila inafunikwa funikwa.

Na hii issue ya West kufund hivi vikundi mbona sio siri tena? Nakupa mifano ya uhakika Kampuni za west zikikiri kutoa hela.

1. Lafarge Kampuni ya Cement Ufaransa ilitoa mabilioni na kuwapa Isis

2. Ericsson wameshtakiwa na investors wao wenyewe baada ya internal document kuleak walikua wanafund IS na scandal nyengine za Corruption Iraq

3. Mwandishi wa habari wa Bulgaria Dilyana alileak silaha za zaidi ya Dola za kimarekani Bilioni 2 ambazo Usa wamezinunua na kusupply kwenye Conflicts zone na kuwapa vikundi vya magaidi, Ana ushahidi wa serial no, vilipotengenezwa silaha, zilipokua supplied etc.

Ushahidi upo mwingi mno, kama lengo ni kujua naweza kuendelea na huu ushahidi.

Ingekua source of fund ni Ghadaffi alipokufa hivi vikundi navyo vingepotea, ila viliendelea strong hadi Wagner alipoingilia.
 
How comes he said he lived in modest house and tents?what about his palace?am getting confused 🤔🤔🤔🤔

NB:He was among my favorite African leaders.
 

Attachments

  • Screenshot_20230920-115048.jpg
    Screenshot_20230920-115048.jpg
    55.6 KB · Views: 2
Back
Top Bottom