Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu

Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu

Japo maneno yake ni ya kibaguzi, ila yana maana kubwa.
 
Hegel pia alisema hivo wandugu. Nadhani ni statement inayopaswa kuitafakari. Na ni vizuri tukaitafakari kulinga na mazingira ya Tanzania ya leo. Swali la msingi litakalotoa majibu ya hiyo sentensi ya "kibaguzi" ni Je, watu weusi (watanzania) tunafikiri? Are we rational beings? Tunaweza kufikiri zaidi ya tunayoyaona.

Do we think outside the box? Otherwise Botha, Hegel na wengine wanaweza wakawa na point.
 
kwanza to start with, hakuwahi kusema hivo, hii ni hoax. na kama hakusema hivo, despite his strong racist feelings, ni sababu hakuna ukweli wowote. tofauti ya maendeleo kati ya nchi za kiafrica na nchi za kizungu au za asia (sisemi waafrika na wazungu au watu wa asia) ni namna serkali na vikundi vingine vyenye maamuzi (decision making actors) wana apply theories to practice, namna wanaunda policies na namna wanamiliki ressources.

Huku afrika serkali zinakosa accountability na raia hawapewi nafasi ya kuwaomba wahusika wawajibike au wajiuzulu. maybe sababu tunaogopa, maybe sababu hatujali, kila mtu ajiulize.

Ila hakuna kabisa tofauti ya akili iliyo kua based on the color of the skin. that is what THEY want you to believe ili uendelee kuogopa, uendelee kutojali.

NI kweli aliwahi ksema hivyo, kuna audio, texts na videos zinazomuonesha akisema hivyo, jaribu ku-youtube unaweza kuzupata. Na alisema hivyo akiwa na evidence za kutosha, he was not making things up. Pamoja na kuwa alikuwa mbaguzi wa rangi, Botha was smart man, na aliyosema yanajionesha sasa huko Afrika Kusini. Alisema the end of the beggining, and that was it, angalia Afrika Kusini leo..........

I agree with you kuwa hakuna tofauti ya akili based of colour of human skin, but there are certain characters which can be seen more in certain skin colours, in in areas where certain skin colours reside. Can you tell why we have more blacks with polygamous tendencies than in other races, what we have more poor blacks than there are in other races, why we have more violence in blacks than in other races, why we have less accountability in blacks than in other races???? ukijiuliza maswali haya unaweza kupataka majibu kwa kumsikiliza Botha.

I took what Botha said as a challenge, not an insult, we always prove him right.
 
Naona alisahau sifa yetu nyingine ambayo ni kubwa pia... We run our affairs using witch doctors' advise. Kuna maraisi wa nchi za afrika wanaishi kwa kuloga wakiamini ndiyo kinga dhidi ya wabaya wao badala ya kutumia akili zao kufanya kazi
 
Japo maneno yake ni ya kibaguzi, ila yana maana kubwa.

"oh! mother..mother, why?....why was i born black?"

maneno ya OKOL katika song of lawino and okol!

Mwandishi wa kitabu hiki yawezekana alikuwa na mawazo kama ya kaburu Botha.

Tuangalie mapungufu yetu kwa uhuru na bila kujipendelea,

Botha anaweza kuwa sahihi kwa zaidi ya 90%!

Swali tunalopswa kujibu ni
1. Kwa nini tumekuwa hivyo?
2. Tunatambua kama tuko hivyo na kwamba ni tatizo?
3. Wht is the way fwd?

Tuangalie tulijikwaa wapi, sisi,mababu au mababu wa babu zetu.
Naweza kusema utamaduni wa kiafrika ndio tatizo namba moja.
Pengine ndio maana wakoloni waliupiga vita utamaduni wetu kwa nguvu zote, yawezekana ilikuwa kwa maslahi ya waafrika wenyewe.

Nilikuwa napita tu hapa, kwa herini jamani ila naomba hili tulitazame ki-chanya zaidi.
 
Tuna akili sawa na binadamu wengine. Nahisi they way we build the base for proper behaviours is where we get it all wrong. Characters zetu ni weak, zisizo na nia ya kuwa na mtazamo mpana wa mambo ya ulimwengu huu.

Tunalewa na visifa vidogo, wavivu ila tunapenda hela rahisi na kula starehe. Guys, I don't think we properly put into task our brains.
 
Kwa nchi kama Tanzania tutake tusitake alichosema Botha kwa zaidi ya 80% ni kweli tazama list ya makampuni yanayolipa kodi na kuajiri idadi kubwa ya watanzania TBL, CEMENT INDUSTRY, TELECOMUNICATION COMPANIES, NA MABENKI yote yanamilikiwa na wazungu sisi watanzania tupo wapi?

The average black does not plan his life beyond a year EVEN our government can't plan anything positively beyond a year eg bodi ya mikopo kila mwaka inakuja na mfumo mpya.
 
kwanza to start with, hakuwahi kusema hivo, hii ni hoax. na kama hakusema hivo, despite his strong racist feelings, ni sababu hakuna ukweli wowote. tofauti ya maendeleo kati ya nchi za kiafrica na nchi za kizungu au za asia (sisemi waafrika na wazungu au watu wa asia) ni namna serkali na vikundi vingine vyenye maamuzi (decision making actors) wana apply theories to practice, namna wanaunda policies na namna wanamiliki ressources.
Huku afrika serkali zinakosa accountability na raia hawapewi nafasi ya kuwaomba wahusika wawajibike au wajiuzulu. maybe sababu tunaogopa, maybe sababu hatujali, kila mtu ajiulize.
Ila hakuna kabisa tofauti ya akili iliyo kua based on the color of the skin. that is what THEY want you to believe ili uendelee kuogopa, uendelee kutojali.
SASA KWANINI IWE BARA LA AFRIKA TU, THEN THAT'S THE VERY WEAKNESS. HE'S RIGHT!The average Black does not plan his life beyond a year."
 
lizards are not crocodiles simply they luk alike.kuku na mwewe wote ndege lakin mwewe anakula kuku lakin mwewe hali kwahyo its nature ndo imewachagua wao boers kuwatala waafrika na sio wao kutawaaliwa.waafrica wamezaliwa hapo hapo lakin wameshindwa kugundua dhahab hayo ni baadhi ya kejeli za botha
 
Sikubaliani na wachangiaji wengi waliotangulia. Huyu jamaa hakuwa anamaanisha vile mnavyotaka tuamini. Alikuwa anatetea ubaguzi na ukandamizaji wa watu weusi waliokuwa wakiufanya huko. Lengo la kauli zake ilikuwa kuuaminisha ulimwengu kwamba walichokuwa wanakifanya ni halali na sahihi jambo ambalo halikuwa kweli.

Tatizo letu sisi watz ni kwamba tumekuwa tukijiweka on the loser side ndio maana hata to attempt struggle tunaogopa. Watu wanamipango mizuri na malengo mazuri lakini katiba zetu na viongozi selfish ndio wanaotukwaza!
Kwa kifupi sikubaliani na Botha kwa muktadha huo!
 
Hiyo habari inauma lakini penye ukweli lazima tukubali. Hata leo pamoja na Waafrika Kusini kujitawala lakini uchumi umeshikiliwa na wazungu
 
Ni ukweli ingawa unauma,sisi waafrika ni watu wa ajabu sana na tusiende mbali tuangalie hali yetu hapa Tanzania kwa sasa, Botha na Watson hawajakosea hata kidogo. Waliyoyasema yanashabiana hasa kwa sisi waafrika wa Afrika
 
SASA KWANINI IWE BARA LA AFRIKA TU, THEN THAT'S THE VERY WEAKNESS. HE'S RIGHT!The average Black does not plan his life beyond a year."

In my opinion the average black person thinks far than that. But the problem is with african leader, ambaye mahesabu yote ni pombe na wanawake, akiingia madarakani akili yake kubwa ni kwamba ni kwamba atakamata mwanamke gani, wa rangi gani, au atakunana na star gani au atakunywa bia whisky gani. Hafikirii kuwa atafanya nini kwa nchi yake, au hata hajui kuwa anaishi kwenye nchi.
 
Kukubali maneno haya ni kukubali UTUMWA kama ndio maisha alopangiwa mtu mweusi, ni udhalilishaji unaotokana na umaskini wa roho...mtu yeyote alinyimwa utajiri wa roho hushindwa kuona sababu zinazomfunga mtu mwingine kama tunavyowasikia CCM leo wakizungumzia kuhusu wanaharakati iwe toka NCCR, Chadema au CUF..Ndivyo tunavyowaona wenye nyumba wakiwaambia wajakazi wao.. Na ndivyo tunavyowasoma watu humu JF wakiwabeza Waislaam..

Hivyo ukweli mnaouzungumzia ni matunda ya yale mabaya tunayowafanyia watu wengine. Ni matokeo ya vitendo vyetu wenyewe dhidi ya wasiokuwa na utajiri wa mali wakati sisi wenyewe maskini wa roho..Tunashindwa kupima fikra zetu dhidi yao, tunashindwa kupima mfumo wa matendo yetu lakini wepesi kutoa hukumu ktk matokeo tuloyapanga sisi kuhusu nafasi ya mtu mwingine ktk jamii..
Yes, Afrika au waafrika weusi wameshindwa kufanikiwa kwa sababu ya fikra za wazungu wenyewe. Mbwa ni mbwa kwa sababu ni sisi tulomwona mbwa kama mbwa na tukamwita mbwa! hivyo kumpa mamlaka ya kiumbwa kwa uthaminisho wa kimbwa kama tunavyofikiria sisi.

Tatizo linaanzia kwetu sisi kumtazama mbwa kama mbwa na tukamweka ktk mazingira ya kimbwa...Na tunaweza andika mengi kuhusu Mbwa lakini ukweli unabakia hatujui uwezo wa mbwa isipokuwa kwa mfumo wa kimbwa tulompangia.. Kama utamtupia mbwa mifupa atakula kwa kudaka, ukimpa katika sahani atakula toka ktk sahani ukimfundisha kuwinda atakuwa mwindaji na mengine mengi tu lakini nyuma ya fikra zako mbwa atabakia kuwa mbwa, utamjengea mazingira ya kimbwa kwa kutomthamini zaidi ya mfumo wa kimbwa ulouweka akilini mwako.

Leo hii ukiamini kwamba wanaChadema ni wakorofi ni watu wasiojiweza isipokuwa kupiga makelele tu hawana elimu wala hawawezi kujiendeleza ni kama wanyama..tayari itakuwa wewe mwenyewe ndiye ulojijaza ujinga ktk umaskini wa roho. Hii imani ulojijengea wewe mwenyewe dhidi yao ndio kitu cha kutazama kwa sababu ndio sababu ya ujenzi wa fikra za kimfumo - kujenga mazingira dhidi ya WanaChadema ambao wewe tayari umeshawaondoa ktk UTU na kuwaona kama mbwa.

Ni wewe uloshindwa kuelewa matatizo yao kama binadamu hivyo ukawatumia wao kama mbwa kwa sababu tayari akili yako imeshajenga ukuta dhidi yao kama binadamu bali ni wanyama sawa na mbwa. Ukawapa nafasi za kimbwa mbwa, ukawafunga kamba shingoni na kuwatumia kama mbwa wa ulinzi.. Hivyo, hivyo makelele yao mbwa alojengwa kuwa mlinzi yanakuwa vipi maudhi kwako?..Hivi kweli sisi binadamu tumejaribu kufikiria sana kwa nini mbwa hubweka hadi povu liinamtoka kwa hasira! isipokuwa tu kwamba mbwa ni mkali usimsogelee karibu kazi yake ni ulinzi?....

Hawa kina Botha, iwe CCM, na sasa hivi naona wigo la makundi linazidi kupanuka hadi limefika ktk dini na Ukabila ni matokeo ya fikra zetu wenyewe jinsi tunavyowafiiria wengine bila kuzitazama kwanza nafsi zetu ambazo zimejaa umaskini wa roho. Na ajabu ni kwamba tunahitajiana sote.. utawasikia CCM wakisema sisi wote ni Watanzania.. tuweke maslahi ya Taifa kwanza lakini wakati huo huo vyama vya Upinzani ni wakorofi kwa kudai maslahi ya Taifa kwanza.

Kwa hiyo kina Botha wapo wengi tu ktk rangi tofauti na ndani ya masiha yetu..Ni kundi la watun waliojaliwa Utajiri wa mali lakini wakapewa umaskini wa roho..Ni watu wasiokubali kwamba mafanikio ya mtu ni majaliwa.. Leo hii huyo Botha yuko wapi? South Afrika aloizungumzia juzi sio ile tena na mtu mweusi ndiye anamwongoza yeye na kizazi chake leo..Na kama maneno ya Botha yana ukweli ndani yake mbona hawaondoki South Afrika leo hii kama kweli mtu mweusi hafai kiasi hicho tena wanalazimisha watambuliwe kama raia wa nchi hiyo. Leo hii ndio utawasikia wakisema sisi wote sawa! Nao leo hii wanaweka madai ya uzawa na haki sawa na mtu mweusi ambaye jana tu alikuwa akithaminika kama mnyama.. Huo unyama umekwisha lini?..
 
In my opinion the average black person thinks far than that. But the problem is with african leader, ambaye mahesabu yote ni pombe na wanawake, akiingia madarakani akili yake kubwa ni kwamba ni kwamba atakamata mwanamke gani, wa rangi gani, au atakunana na star gani au atakunywa bia whisky gani. Hafikirii kuwa atafanya nini kwa nchi yake, au hata hajui kuwa anaishi kwenye nchi.
Mfano wa karibu tanzania angaria igunga, kafumo alikuwa katibu wizara ya madini ambayo imefanya vibaya kuliko wizara yoyote na tumeona watu wa igunga wamemchagua kuwa mbunge na vijana walio wengi hawajapiga kura wameuza shahada za kwa ccm ili wasipige kura so what kind of young people do we have, botha is totaly right.
 
Mimi labda niseme mambo machache tu kuhusiana na hii thread, mani nimekua nikijiuliza maswali mengi juu ya maendeleo ya Afrika na tafauti ya kimaendeleo kati yetu na wao (Wazungu au waasia).

Jambo kubwa sana linalo au lilo tumaliza waafrika kifikra ni Biashara haramu ya utumwa ya miaka 400 na Ukoloni kwa miaka 100, tunaweza tusione athari hii wazi wazi ila hivyo vitu viwili zimetuumiza sana na hata kutafasiri na kuamua maisha yetu ya baadae, na kama unataka kuamini hili la utumwa angalia karibu waafrika wote duniani kote nkimaanisha watu weusi ni kama wako sawa katika mafikirio na maamuzi. kitu cha pili na hata baada ya kupata UHURU hakuna cha maana tulicho badilisha, hapa nikiongelea mfumo wa Elimu, kwanini sisi waafrika tuna elimu? Je, hii Elimu tuliyoikupa kuna kitu inatusaidia??? Kama kabla ya ukoloni tulikua na Elimu iliyokuwa ikitolewa kulingana na mahijati ya jamii ni kwa nini tusinge iboresha ili iweze kutusaidia??

Mimi bado nina amini kama kusinge kuwa na Biashara ya Utumwa na Ukoloni tungeweza kushindana kiuwazi katika fikra na bado tungeweza kuvumbua vitu vyetu na kuvishindanisha kwa ubora na vya mabara mengine na bado tukaibuka kidedea, kuna mtu aliwahi kusema mfano kwenye mashindano ya Olympic Nchi nyingi sana za kiafrika zinafanya vibaya sana michezo mingi ukiachilia riadha na akapendekeza waweke michezo ya kiafrika kama kucheza Ngoma waone kama watu hawajaibuka na medali za kumwaga.
 
Mfumo wa ulimwewngu na nyota zake huendeshwa kwa utaratibu wa sheria pamoja na vyote vilivyomo ndani ya halaiki ya ulimwengu. Iwe physical or biological bila sheria ya jumla ambayo wote tunafuata ni vurugu na migongano kama ilivyotokea kutoelewana Mungu alipochafua lugha ya wababilonia waliotaka kujenga mnara mrefu ufike hadi mbunguni. Waafrika wakishakuna na nafasi tuna hulka ya kujisikia tuko juu ya sheria, na tuna haki ya kila kitu iwe mali au wake/waume, hii ni kutokana na mentality tangu enzi za utemi. Viongozi wengi tulio nao ni wale ambao wameonja ile supu ya machifu, watemi nk na kuwaambia wako nje ya utaratibu au sheria unaonekana umewakosea haki. Naona kizazi kipya cha sasa ndicho chenye kuonja mabadiliko.

Kwa nini Nyerere pamoja na kusoma nchi ya kibepari na kupata elimu ya mfumo wa kipebari alikuwa kinyume cha ubepari. Anatoka familia ya kichifu lakini hakuathiriwa. Leo viongozi wengi tulio nao hawajatoka familia za kichifu lakini wako mstari wa mbele kuishi na kufanya kazi nje ya mfumo wa kisheria. Wengi wetu tungependa kupata yale ya King Mswati.
 
Every where in the world, people have the same brain, but the different is how to use it......
 
Mimi labda niseme mambo machache tu kuhusiana na hii thread, mani nimekua nikijiuliza maswali mengi juu ya maendeleo ya Afrika na tafauti ya kimaendeleo kati yetu na wao (Wazungu au waasia). Jambo kubwa sana linalo au lilo tumaliza waafrika kifikra ni Biashara haramu ya utumwa ya miaka 400 na Ukoloni kwa miaka 100, tunaweza tusione athari hii wazi wazi ila hivyo vitu viwili zimetuumiza sana na hata kutafasiri na kuamua maisha yetu ya baadae, na kama unataka kuamini hili la utumwa angalia karibu waafrika wote duniani kote nkimaanisha watu weusi ni kama wako sawa katika mafikirio na maamuzi. kitu cha pili na hata baada ya kupata UHURU hakuna cha maana tulicho badilisha, hapa nikiongelea mfumo wa Elimu, kwanini sisi waafrika tuna elimu? Je, hii Elimu tuliyoikupa kuna kitu inatusaidia??? Kama kabla ya ukoloni tulikua na Elimu iliyokuwa ikitolewa kulingana na mahijati ya jamii ni kwa nini tusinge iboresha ili iweze kutusaidia??

Mimi bado nina amini kama kusinge kuwa na Biashara ya Utumwa na Ukoloni tungeweza kushindana kiuwazi katika fikra na bado tungeweza kuvumbua vitu vyetu na kuvishindanisha kwa ubora na vya mabara mengine na bado tukaibuka kidedea, kuna mtu aliwahi kusema mfano kwenye mashindano ya Olympic Nchi nyingi sana za kiafrika zinafanya vibaya sana michezo mingi ukiachilia riadha na akapendekeza waweke michezo ya kiafrika kama kucheza Ngoma waone kama watu hawajaibuka na medali za kumwaga.

Ni dhahiri kuna mengi yanayochangia, lakini cha msingi kubadilika kifikra ndio ukombozi, maana kwa miaka 50 ya uhuru tuendelee na visingizio vile vile vya wakati tunapata uhuru havina uzito stahiki kwa kizazi cha leo.
 
Back
Top Bottom