Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu

Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu

Nchi yenye watu weusi wengi duniani ni Brazil. Nchi yenye watu weupe wengi duniani ni Russia.
Moldova, a european country has the per capita GDP of 1800$, Botswana an African country has per capita GDP of 5500$.
Need I say more?

Acha ulogo, nchi karibu zote za kusini mwa jangwa la sahara zina watu weusi kwa asilimia zaidi ya 95-99.9%, Brazil wamechanganya na wazungu zaidi. Katika takwimu zako hapo juu tuwekee na GDP ya Tanzania, weka tu usione aibu kwa miaka yetu 50 ya uhuru!
 
"By now every one of us has seen it practically that the Blacks cannot rule themselves. Give them guns and they will kill each other. They are good in nothing else but making noise, dancing, marrying many wives and indulging in sex. Let us all accept that the Black man is the symbol of poverty, mental inferiority, laziness and emotional incompetence
And here is a creature that lacks foresight. There is a need for us to combat him in long term projections that he cannot suspect. The average Black does not plan his life beyond a year."

Pamoja kwamba alitumia lugha kali, lakini uzoefu wake wa kuishi kuzaliwa na kuishi kando ya waafrika, aliona na kushuhudia alichokisema, kwetu tutamwona tu kama walivyo makaburu wengine, ila ukweli unauma na mazoea yatu kinachouma ni kukidharau na kutofanyia kazi namna ya kuboresha fikra na utendaji wetu.
 
Deceived , cheated and blind.

Deceived to believe that you can't

Cheated to believe someone else will do it better (white)

Blind for you choose to look only on one eye (external)

Wakuu kinachotokea kimepangwa long ****en years walipo tu-colonize
 
Africa tuna utajiri wa mali asili kuliko nchi nyingi sana duniani na kati ya hizo nchi za Kiafrika kuna zilizo na kila aina ya utajiri. Mwenyeezi Mungu hakupi kila kitu, mali katupa akili katunyima. Kwa hili naungana na Botha. Hatuna akili hata za kuvalia nguo wacha za ku-plan miaka ijayo. Naona kidogo JMK amekuja na plan ya muda mrefu, jee watendaji wataielewa maana yake? Jee, wataifatisha? Jee, plan ya magwanda ya mwaka ujao ni ipi? Kama ipo.
 
kwanza to start with, hakuwahi kusema hivo, hii ni hoax. na kama hakusema hivo, despite his strong racist feelings, ni sababu hakuna ukweli wowote. tofauti ya maendeleo kati ya nchi za kiafrica na nchi za kizungu au za asia (sisemi waafrika na wazungu au watu wa asia) ni namna serkali na vikundi vingine vyenye maamuzi (decision making actors) wana apply theories to practice, namna wanaunda policies na namna wanamiliki ressources.
Huku afrika serkali zinakosa accountability na raia hawapewi nafasi ya kuwaomba wahusika wawajibike au wajiuzulu. maybe sababu tunaogopa, maybe sababu hatujali, kila mtu ajiulize.
Ila hakuna kabisa tofauti ya akili iliyo kua based on the color of the skin. that is what THEY want you to believe ili uendelee kuogopa, uendelee kutojali.
kama hakuna tofauti ya intelligence kwanini hatupo accountable je hivo si ndo viashiria vya udhaifu wa ubongo wetu? tena botha angeijua tanzani angerekebisha planning span ya mweusi kama watu wana enjoy wali wa siku moja af wanachagua mbunge bom anawatesa kwa miaka mitano huoni botha yoko sahihi?
 
"By now every one of us has seen it practically that the Blacks cannot rule themselves. Give them guns and they will kill each other. They are good in nothing else but making noise, dancing, marrying many wives and indulging in sex. Let us all accept that the Black man is the symbol of poverty, mental inferiority, laziness and emotional incompetence
And here is a creature that lacks foresight. There is a need for us to combat him in long term projections that he cannot suspect. The average Black does not plan his life beyond a year."

Crap!!!
He was just trying to legitimize their rasist reign. Bolivia, Nicaragua, Afghanistan, Central European Countries, are they africans. But they are killing each other. What about USA, is Obama white? Is he polygamist?....
Hatuko kama alivyofikiri huyo mpuuzi, ila walichoweza wao (the whites) ni kuwarubuni baadhi ya viongozi wetu kwa kuwaambia kwamba nchi walizikuta na wataziacha lakini mustakabali wa maisha yao unategemea watakavyoitumia opportunity ya madaraka waliyonayo kabla hawajang'atuka. Hivyo kwa kushirikiana nao wanatuibia na kuficha fedha hizo za wizi kwa haohao warubuni wao. Mbona Mwl. walimshindwa na tulienda vizuri kama si ile vita ya nduli Amin wa Uganda.
 
Ukweli unauma botha yuko sahihib saaaana.Ukiondoa upuuzi wa ubaguzi ambao ki msingi ni kichaka cha waafrika kukimbilia tukiambiwa ukweli utaona wazi kabisa jamaa yuko sahihi. Anatetewa na mifano mingi mno tu. Mfano nmwafirika atachagua kufanya kazi kwa bidii bila malipo ili badae apate heshima au kazi ya malipo manono kwa manufaa ya sasa? je, mwafrika yuko tayari kuudhuria semina muhimu ambapo halipwi au semina isiyo na umuhimu lakini ina malipo? Je. mambo tunayo yafanya tunaongozwa zaidi na umuhimu wake kwetu au tunafanya ili kujipatia ujiko toka kwa wenzetu?(angalia pesa inayo tumiwa na mwafrika kununua nguo,viatu,dhahabu michango ya birthday, kitchen party, send off kipaimara, etc then linganisha na mzungu then linganisha nguvu za kiuchumi kati yao).

Wengi wanalaumu viongozi kwa matatizo ya Africa hilo sio kweli. kama viongozi wanachaguliwa na waafrika afu viongozi hao wanaonekana hawafai ni kigezo tosha kuwa alochagua ana matatizo ya kichwa.Viongozi ni zao la jamii. Viongozi bora wanatokana na jamii bora. Jamii ikiamua kuchagua mpiga tunguli kuwa kiongozi wao watategemeaje huyo jamaa awaletee maendeleo kinyume na fani yake? Sisi ni wavivu sana na kila tatizo tunajua alolileta ama wakoloni au viongozi. Je. huwa tunajiuliza mchango wetu katika matatizo yetu wenyewe?

Tutakapogundua kuwa mchawi ni sisi wenyewe ndo tutaendelea. Hivi kweli kutupa takataka barabarani na kublock mifereji ya maji kunasababishwa na ukoloni? Kutupa takataka ovyo kunasababishwa na World Bank na IMF? Kununua simu tano kwa mtu mmoja inayoleteleza kuchangia kila kampuni ya simu kunasababishwa na ubaguzi wa rangi? Kukusanya michango kama miliono mbili hivi ili ufanye sherehe ya graduation afu kesho yake unaomba nauli ya kwenda mjini kutafuta kazi inasababishwa na ubabe wa marekani kwa mataifa madogo? Kumsomesha mtoto chekechea (ambako anafundishwa colours, loh, A apple, B for book na upuuzi kibao) kwa milioni moja au laki saba afu hauko tayari kupeleka mtoto chuo kikuu kwa karo ya million ina sababishwa na ubaguzi wa rangi.

Tuache kulalama. mataifa yalioendelea ni matokeo ya maaamuzi na kufanya kazi kwa bidii katika ngazi ya mtu mmmoja mmoja. rejea wagunduzi , matajiri nk. Kauli kama za bothja ndo tunapaswa kusikia ili tuone udhaifu wetu tuufanyie kazi kubishana eti tuko sawa na mzungu kisa tu wote tuna miguu na damu ni upofu usioona ukweli wa dunia. THE CAPTAIN OF YOUR SHIP IS YOU. FOR EVERY THING THAT GOES WRONG THE FIRST SUSPECT IS YOU. BE RESPONSIBLE AND DON'T BLAME OTHER FOR YOUR FAILURE
 
Ni hivi juzi umenikandia sana kuwa mimi sifai kuwa mbunge na ukajaribu kutoa sababu zako,ambayo kimsingi ni haki yako, kinacho nishangaza leo kwa nini hutaki kuwa mkweli na muwazi kwani HOJA YA KABURU BOTHA NIMEANZISHA MIMI KATIKA KONGAMANO LA MWL NYERERE PALE RUCO IRINGA MJINI, NILICHANGIA NA KUTOA MTAZAMO HUO,NA KWENYE blog yangu utaykuta hayo maneno ambayo umecopy kweny blog yangu. kwa nini unataka kuonyesha kuwa ulikuwa na mtazamo huo wakati umecopy naku paste toka kwangu, kama wewe ni mwungwana kwa nini usiseme mtazamo huu alianza nao Msigwa, nina wasiwasi na uamnifu wako?kwani hata katika hotuba ya botha maneno hayakupangiliwa hivyo, mimi nilichagua sehemu tofauti........

kama unabisha nina video ya mchango wangu huo ,najua hata blog yangu unaijua. waombe radhi wanajamii kwa udanganyifu huu.
 
user-online.png
peter msigwa

Today 19:33
#35
Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 24th November 2007
Posts : 5
Rep Power : 0


Mtwa, ndauli. Mbona post chache hivyoo wakati mambo mengi yanahitaji msukumo mkubwa mkuu?
 
Tatizo letu baadhi ya watu hatukubalian na ukweli hata kama umeushika, tuliadhiliwa sana na ubaguz ndo maana hata km mbaguz akisema ukweli tunakataa... sasa angalia alichokisema na mazingira yalivyo afrika, mapigano sehem nYingi za bara hili yako wazi.

Ni kweli Kaburu alikuwa anaelezea ubaguz wak e uliokidhiri lakin alisema kitu ambacho ndani yake kuna ukweli, tusiichukue meseji hii kijuu juu tu tufikiri pia nje ya meseji yenyewe
 
Sina utafiti kuhusu hilo.

LINALONIKWAZA MIMI NI VIPI BARA LENYE RASILIMARA ZOTE KULIKO BARA LOLOTE LIWE NDIO BARA MASIKINI KULIKO YOTE DUNIANI.

SHITAJI KAULI ZA BOTHA KUPATA JIBU LA HILO SWALA NYETI KWANI NINACHOAMINI NI KWAMBA ILI NCHI IENDELE INAHITAJI WATU WAKE WAFANYE KAZI, WAWE NA LONG TERM PLANNING, ELIMU, MATUMIZI YA AKILI KATIKA MAENDELEO NA MAADILI MEMA.

SASA TUJIULIZE NI KIPI TUNACHOKIKOSA; JE TUNA LONG TERM PROGRAM, JE TUKIWA MAOFISINI NI WATENDAJI WA KAZI MAKINI, JE TUNAKUSUDIA KUONDOA RUSHWA TUNAWEZA KUFANYA KAZI HIYO? NA...NA...NA....
 
Ni hivi juzi umenikandia sana kuwa mimi sifai kuwa mbunge na ukajaribu kutoa sababu zako,ambayo kimsingi ni haki yako, kinacho nishangaza leo kwa nini hutaki kuwa mkweli na muwazi kwani HOJA YA KABURU BOTHA NIMEANZISHA MIMI KATIKA KONGAMANO LA MWL NYERERE PALE RUCO IRINGA MJINI,NILICHANGIA NA KUTOA MTAZAMO HUO,NA KWENYE blog yangu utaykuta hayo maneno ambayo umecopy kweny blog yangu. kwa nini unataka kuonyesha kuwa ulikuwa na mtazamo huo wakati umecopy naku paste toka kwangu, kama wewe ni mwungwana kwa nini usiseme mtazamo huu alianza nao Msigwa, nina wasiwasi na uamnifu wako?kwani hata katika hotuba ya botha maneno hayakupangiliwa hivyo, mimi nilichagua sehemu tofauti........
kama unabisha nina video ya mchango wangu huo ,najua hata blog yangu unaijua. waombe radhi wanajamii kwa udanganyifu huu.

Mbunge Msigwa, awali nikupe pole sana kwa yaliyokupata.
Kwanza hapa JF ni kisima cha busara, na mtu ukiropoka ovyo utakuja kushtuka kwa nini hukutuliza kichwa na kujipanga vizuri namna ya kujibu maana humjua anayeandika habari na upeo wake ulivyo na yupo katika mood gani.

Wewe kama mbunge awali punguza jazba, kisha jifunze kutokana na yaongelewayo yana manufaa sana kwako. Usipokuwa tayari kukosolewa na ukajiona kama unajua zaidi ya wanaochangia mawazo hapa kuna siku utakuja tambua kasoro wakati maji yamemwagika. Nawe kama mchungaji wajua fika Bwana alivyosema "ukipigwa kofi shavu la kulia mgeuzie na la kushoto," kwa tafsiri nyepesi unatakiwa kuwa mvumilivu. Usipokuwa tayari kukosolewa ni kasoro katika uongozi bora na katika hilo unatakiwa kufanya tafakari ya kutosha. Ninyi ndio tunawategemea kushika nchi baadaye na sasa mnahitaji kuwa na saburi, hekima na busara yenye kujaa saburi na uangalifu wa hali yajuu. Si kuropoka na kupandisha ghadhabu, haitasaidia, na siku hizi ni za digital ipo siku tutakuuliza usijeshangaa.

Kuna siku nilimrudi Dr. Slaa hapa jamii forums kuhusu alivyohamaki kumsimamisha kiongozi mmoja wa wilaya huko Nzega jukwaani bila kutumia vikao, kwanza alikuja juu, kisha akajirudi na leo mambo ni mfano kwani vikao ndivyo vinavyowajibika katika majukumu mazito. Msigwa, hapa ni darasa, na mtaka cha uvunguni sharti uiname, vinginevyo ngangari inawaangusha wengi.

Tatizo moja ambalo viongozi wa Chadema wanahitaji kusahihishwa ni jazba bila kupima athari zake, matokea yake wanaoumia ni wenyewe. Pima na kutafakari kwanza kabla ya kusema kitu, na kuona mbele athari zake, kama mfalme Suleman wa taifa la Israeli alivyosifika kwa busara na hekima katika utawala wake, ingawa alizaliwa kutoka mama tata ambaye alikuwa mke wa King David kwa hila ya Kumwua vitani Uria Mhiti ili aridhi mke. Laana aliyopata King David toka kwa Mungu ni kuhenyeshwa na kukimbia Ikulu kujificha kutokana na mtoto wa tumbo lake Abusalumu kutaka kumwua babake, hadi Mungu alipomwokoa kwa Abusalumu nywele zake ndefu kunasa kwenye matawi ya miti na hivyo wafuasi wa King David kumwua kirahisi. Mambo haya yana historia ndefu, heheheeh. Tuendelee kujadili.
 
Nashukuru kwa maoni yako,ambayo nayapokea kwa mikono miwili, asante sana kukosoa na kukosalewa ni sehemu ya maisha ya mtu mstarabu INGAWA SIJUI NI WAPI NIMEONYESHA JAZBA,
HOJA YANGU HUJAIJIBU. KUHUSU MTAZAMO HUO WA BOTHA,KWAMBA HUKUANZA NAO WEWE HILO TU!
SIONI SABABU YA KUINGIZA SWALA LA DR SLAA HAPA, NONA UNAKWEPA HOJA YANGU KWA MIFANO AMBAYO HAIHUSIANI

kama wewe ni mkweli kubali tu kuwa huo sio mtazamo uluokuwa nao, na kama ulukuwa nao ulichelewa kuutoa, nadhani umenielewa brother
 
Namshukuru Mungu wangu kuwa japo mie ni mweusi wa rangi lakini hizo sifa sina. Sijui nyie wenzangu. Mwenzenu niko vitani, napigana napigania uhuru wangu, napigania haki zangu, napigania uTanzania/ uTanganika wangu, napigania asili yangu.

Vita vyangu ili vionekane matunda kwenye TV itachukua muda sana.
Vinaweza visionekane. Naomba kunukuu mama Maathai, kuhusu kazi yenye effect ndogo, lakini ni kubwa kimtazamo,

Alikuwa anasema kuwa yeye ni kama ndege mdogo sana alieona moto unawaka unachoma misitu akawa anauzima kwa kubeba maji na mdomo wake, Wanyama wote walimwona kama mjinga wakamuambia wewe unadhani hivyo vimaji vitaweza kuzima moto hio? tizama ulivyo mkubwa, hata tembo na mkonga wake amekaa hapa anautazama, na yeye akawajibu akasema 'nafanya kidogo ninachoweza'

Mwenzenu niko kwenye vita ya maisha, peke yangu, najaribu pale ninapoweza, napiga kura kuweka viongozi naodhani wanaweza KUTUONGOZA nafanya kazi kwa bidii na malengo yangu ni kufanya dunia iwe nzuri zaidi,
Sijui nyie wenzangu.

Vita yangu haitegemei watu wengi, japo itakuwa na effect kubwa zaidi kama watakuwapo wengi zaidi. Ila hata nisipopta support, nitaendelea tu.
 
Nashukuru kwa maoni yako,ambayo nayapokea kwa mikono miwili, asante sana kukosoa na kukosalewa ni sehemu ya maisha ya mtu mstarabu INGAWA SIJUI NI WAPI NIMEONYESHA JAZBA,
HOJA YANGU HUJAIJIBU. KUHUSU MTAZAMO HUO WA BOTHA,KWAMBA HUKUANZA NAO WEWE HILO TU!
SIONI SABABU YA KUINGIZA SWALA LA DR SLAA HAPA, NONA UNAKWEPA HOJA YANGU KWA MIFANO AMBAYO HAIHUSIANI

kama wewe ni mkweli kubali tu kuwa huo sio mtazamo uluokuwa nao, na kama ulukuwa nao ulichelewa kuutoa, nadhani umenielewa brother

Kwa ushauri wa kukufaa zaidi ni huu hapa.
Ukiwa kama mwakilishi wa wananchi, jitahidi kuingia jamii forums kupata mengi yanayozidi kumiminika kila kukicha, na utajifunza mazuri, tahadhari na mbinu za jitihada za kuwatumikiwa wananchi. Muhimu soma paragarph ifuatayo.

CCM inafanya jitihada kubwa ya kufa na kupona kurejesha jimbo la ubunge Iringa mjini kwa gharama yo yote, na bahati ya wewe kuukwaa ubunge Iringa mjini ujue ni hasira za WanaCCM kumtupa nje Mwakalebela waliyemtaka. Hivyo jitihada za pekee sana unahitaji kufanya kuendelea kulishika jimbo hilo vinginevyo Uchaguzi ujao litarudi mikononi mwa CCM tena, na hii siyo siri, tunakutahadharisha tu Mheshimiwa Mchungaji Mbunge Msigwa.

Eneo unalotoka juhudi zako za utendaji jimboni huwezi kuzilinganisha na mbunge wa viti maalum wa Chadema Chiku Abwao, unatakiwa ufuate nyayo zake. Pamoja na jinsia yake, anafanya makubwa si ya kutetea nafasi ya ubunge, ila kutoa elimu ya uraia kwa wananchi hasa vijijini na ndilo tunalotaka ambalo Chadema wanatakiwa kufanya kwa sasa ili kujiweka sawa kuwa Chama kikubwa cha upinzani kilichojizatiti katika nyanja zote kwa wananchi wa rika zote na wa maeneo yao ambako CCM wanajivunia kwamba ndio chimbuko la ushindi wao.

Angalia pia mbunge kutoka chama cha magamba Mheshimiwa Filikunjombe wa Ludewa pamoja na kuwa kijana, anafanya kasi ya ajabu katika utendaji wake, busara, heshima na ushirikiano mzuri sana. Amewakusanya wabunge wote waliomtangulia kuanzia na mbunge wa kwanza kabisa jimbo hilo Bi Baraka, Mr. Simalenga, Profesa Mathias Kihauli ambaye aliwahi kuwa naibu speaker wa bunge, Kolimba, na Profesa Mwalyosi; kwa ajali ya kupata ushauri na uzoefu wao na papo hapo wako bega kwa bega katika kushirikiana kuleta maendeleo ya utumishi wao katika jimbo lao. You can learn something from him.

Muhimu tusitegemee kupata nafasi kwa misingi ya kuhurumiwa, bali utendaji. Tusitangulize jambo la kusifiwa au kuonekana mtu wa maana sana, bali taswira yako ya utendaji, utu, heshima, busara na ushirikiano ndivyo vinavyokujengea mtu mfumo mzuri wa uongozi na uwakilishi katika jamii yako na taifa.

Wanajamii forums wengi hapa ni watu wasio wafuasi wala wanachama wa vyama vya siasa, mimi nikiwa mmojawapo, ila tu watu wenye jicho kali la upembuzi, na tu wakereketwa wa itikadi na utendaji mzuri katika utumishi wenye kutukuka katika nchi yetu. Sifa njema huhitaji mtu kujitangaza, ila matendo yako ndiyo yanayokutangaza (action speaks louder than words). Viongozi wengi wenye busara hawakurupuki katika kujibu majadiliano hapo, ila ni mahiri katika kufuatilia nini kinaongelewa na kuchota mengi mazuri kwa manufaa ya utumishi wao katika jamii, na laiti wangejitambulisha tungestaajabia wakubwa wengi tusiotegemea.

Kumbuka nukuru za watu wa kimataifa zimehifadhiwa katika vyombo vingi vya habari, ni just bofya vitufe na kuanza kubrowsi, na wazoefu katika fani ya uandishi hawezi kukichukua kitu kilichoongelewa na fulani bila kuhakiki source yake ni sahihi au la, vinginevyo kiwe kitu umekitunga toka kichwani mwako hapo una haki ya kukilalamikia.


:smash: Lets stay stable with solidarity to stabilize real democracy :smash:
 
NI kweli aliwahi ksema hivyo, kuna audio, texts na videos zinazomuonesha akisema hivyo, jaribu ku-youtube unaweza kuzupata. Na alisema hivyo akiwa na evidence za kutosha, he was not making things up. Pamoja na kuwa alikuwa mbaguzi wa rangi, Botha was smart man, na aliyosema yanajionesha sasa huko Afrika Kusini. Alisema the end of the beggining, and that was it, angalia Afrika Kusini leo..........I agree with you kuwa hakuna tofauti ya akili based of colour of human skin, but there are certain characters which can be seen more in certain skin colours, in in areas where certain skin colours reside. Can you tell why we have more blacks with polygamous tendencies than in other races, what we have more poor blacks than there are in other races, why we have more violence in blacks than in other races, why we have less accountability in blacks than in other races???? ukijiuliza maswali haya unaweza kupataka majibu kwa kumsikiliza Botha. I took what Botha said as a challenge, not an insult. we always prove him right.

Sidhani kama kuna audio au video za hiyo speech, hiyo speech ilidaiwa kutolewa kwenye mkutano wa cabinet kisha ikaandikwa baadae na mwandishi wa habari so kuna utata kwenye authenticity yake. Anyway hilo haliharibu sana point unayojaribu kumake.
 
Mbunge Msigwa, awali nikupe pole sana kwa yaliyokupata.
Kwanza hapa JF ni kisima cha busara, na mtu ukiropoka ovyo utakuja kushtuka kwa nini hukutuliza kichwa na kujipanga vizuri namna ya kujibu maana humjua anayeandika habari na upeo wake ulivyo na yupo katika mood gani.

Wewe kama mbunge awali punguza jazba, kisha jifunze kutokana na yaongelewayo yana manufaa sana kwako. Usipokuwa tayari kukosolewa na ukajiona kama unajua zaidi ya wanaochangia mawazo hapa kuna siku utakuja tambua kasoro wakati maji yamemwagika. Nawe kama mchungaji wajua fika Bwana alivyosema "ukipigwa kofi shavu la kulia mgeuzie na la kushoto," kwa tafsiri nyepesi unatakiwa kuwa mvumilivu. Usipokuwa tayari kukosolewa ni kasoro katika uongozi bora na katika hilo unatakiwa kufanya tafakari ya kutosha. Ninyi ndio tunawategemea kushika nchi baadaye na sasa mnahitaji kuwa na saburi, hekima na busara yenye kujaa saburi na uangalifu wa hali yajuu. Si kuropoka na kupandisha ghadhabu, haitasaidia, na siku hizi ni za digital ipo siku tutakuuliza usijeshangaa.

Kuna siku nilimrudi Dr. Slaa hapa jamii forums kuhusu alivyohamaki kumsimamisha kiongozi mmoja wa wilaya huko Nzega jukwaani bila kutumia vikao, kwanza alikuja juu, kisha akajirudi na leo mambo ni mfano kwani vikao ndivyo vinavyowajibika katika majukumu mazito. Msigwa, hapa ni darasa, na mtaka cha uvunguni sharti uiname, vinginevyo ngangari inawaangusha wengi.

Tatizo moja ambalo viongozi wa Chadema wanahitaji kusahihishwa ni jazba bila kupima athari zake, matokea yake wanaoumia ni wenyewe. Pima na kutafakari kwanza kabla ya kusema kitu, na kuona mbele athari zake, kama mfalme Suleman wa taifa la Israeli alivyosifika kwa busara na hekima katika utawala wake, ingawa alizaliwa kutoka mama tata ambaye alikuwa mke wa King David kwa hila ya Kumwua vitani Uria Mhiti ili aridhi mke. Laana aliyopata King David toka kwa Mungu ni kuhenyeshwa na kukimbia Ikulu kujificha kutokana na mtoto wa tumbo lake Abusalumu kutaka kumwua babake, hadi Mungu alipomwokoa kwa Abusalumu nywele zake ndefu kunasa kwenye matawi ya miti na hivyo wafuasi wa King David kumwua kirahisi. Mambo haya yana historia ndefu, heheheeh. Tuendelee kujadili.
Mkuu wangu nakushukuru sana ktk hili na hakika binadamu huyafanya mabo kutokana na kile anachoamini..Tropical huko nyuma kaandika vizuri sana ya kwamba Haya yote yanayotokea Afrika yalipangwa na yametokana toka siku tulotawaliwa..

Dhumuni langu haswa ni elimu yetu sisi waafrika ktk kuelewa na kutafsiri vitu kwa sababu maendeleo ya mwanandamu hutokana na mahitaji yake, na elimu ya kutambua na kutafisri mahitaji ndio hupatia ufumbuzi wake lakini tofauti na wenzetu sisi tumekuwa tukinukuu majawabu kutoka kwa Wazungu. hapa mnabishana kuhusiana na Botha ambaye ndiye alosema na yakachapishwa ktk magazeti na tovitu kibao.. Kati yenu nyote mme copy na ku paste lakini umekuwa Ubishi..Kwa hiyo, sisi hatuwezi kutunga vitu vyetu isipokuwa kunukuu wayasemayo wazungu na kutafisri kama wanavyotaka sisi tuelewe.

Pili, kuna sehemu umemwambia mchungaji kuhusiana na kwamba "Ukipigwa kofi la shavu la kulia mgeuzie na la kushoto" ukaipa tafsiri ambayo umefundishwa na mzungu badala ya kufanya tafiti nini haswa Yesu alikuwa na maana ktk tukio hilo. Na wachungaji wetu wote wanaamini hivyo ya kwamba ukipigwa kofi la kulia basi mgeuzie na shavu la kushoto.. Na wanatufundisha sisi sote tuamini hivyo kwa sababu IMEANDIKWA!..

lakini sidhani kama Yesu alikuwa na maana hiyo wala haina mantiki mtu kupigwa kofi la shavu la kulia ukamgeuzia na la Kushoto ili kuonyesha Uvumilivu.

Bali ujumbe alotaka kuutoa kulingana na hadithi yenyewe ni kwamba usipende kushindana ktk violence! ukipigwa na mtu usipende kushindana kurudishiana makofi, na hakika ukifanya dharau kwa kugeuza kichwa shavu la kushoto hataweza kukupiga kofi la pili.. Hii ni hulka ya kimaumbile ya binadamu na viumbe vyake - Usipopenda ushindani patakuwa hakuna ushindani!

Lakini maadam tumefundishwa kuamini kwamba uvumilivu ndio unatakiwa, na hawa wazungu walitupiga makofi na makofi kwa imani ya kwamba tunachotakiwa ni uvumilivu hali wao wenyewe hawakuwa na uvumilivu huo ndio maana Afrika bado tunatawaliwa kiwamazo. Na kila siku tunapigwa makofi na kuvulimia kwa sababu za kiimani kuwa mzungu anazo haki zote za kutupiga makofi...Tunachotakiwa kufanya ni kuvumilia!
 
Mkuu wangu nakushukuru sana ktk hili na hakika binadamu huyafanya mabo kutokana na kile anachoamini..Tropical huko nyuma kaandika vizuri sana ya kwamba Haya yote yanayotokea Afrika yalipangwa na yametokana toka siku tulotawaliwa..

Dhumuni langu haswa ni elimu yetu sisi waafrika ktk kuelewa na kutafsiri vitu kwa sababu maendeleo ya mwanandamu hutokana na mahitaji yake, na elimu ya kutambua na kutafisri mahitaji ndio hupatia ufumbuzi wake lakini tofauti na wenzetu sisi tumekuwa tukinukuu majawabu kutoka kwa Wazungu. hapa mnabishana kuhusiana na Botha ambaye ndiye alosema na yakachapishwa ktk magazeti na tovitu kibao.. Kati yenu nyote mme copy na ku paste lakini umekuwa Ubishi..Kwa hiyo, sisi hatuwezi kutunga vitu vyetu isipokuwa kunukuu wayasemayo wazungu na kutafisri kama wanavyotaka sisi tuelewe.

Pili, kuna sehemu umemwambia mchungaji kuhusiana na kwamba "Ukipigwa kofi la shavu la kulia mgeuzie na la kushoto" ukaipa tafsiri ambayo umefundishwa na mzungu badala ya kufanya tafiti nini haswa Yesu alikuwa na maana ktk tukio hilo. Na wachungaji wetu wote wanaamini hivyo ya kwamba ukipigwa kofi la kulia basi mgeuzie na shavu la kushoto.. Na wanatufundisha sisi sote tuamini hivyo kwa sababu IMEANDIKWA!..
lakini sidhani kama Yesu alikuwa na maana hiyo wala haina mantiki mtu kupigwa kofi la shavu la kulia ukamgeuzia na la Kushoto ili kuonyesha Uvumilivu.
Bali ujumbe alotaka kuutoa kulingana na hadithi yenyewe ni kwamba usipende kushindana ktk violence! ukipigwa na mtu usipende kushindana kurudishiana makofi, na hakika ukifanya dharau kwa kugeuza kichwa shavu la kushoto hataweza kukupiga kofi la pili.. Hii ni hulka ya kimaumbile ya binadamu na viumbe vyake - Usipopenda ushindani patakuwa hakuna ushindani!

Lakini maadam tumefundishwa kuamini kwamba uvumilivu ndio unatakiwa, na hawa wazungu walitupiga makofi na makofi kwa imani ya kwamba tunachotakiwa ni uvumilivu hali wao wenyewe hawakuwa na uvumilivu huo ndio maana Afrika bado tunatawaliwa kiwamazo. Na kila siku tunapigwa makofi na kuvulimia kwa sababu za kiimani kuwa mzungu anazo haki zote za kutupiga makofi...Tunachotakiwa kufanya ni kuvumilia!
Nimependa comment yako, ingawa lengo langu ilikuwa ni juu ya mambo ya kisiasa ukiamua kufanya jino kwa jino madhara yake makubwa. Na kama kiongozi kuna mambo ya muhimu kuwa mvumilivu na msikivu, kwani ukishakuwa juu ya watu kila mmoja anakutupia jicho lenye mtazamo tofauti. Kutuliza akili na mood ni zana muhimu za kuweka mambo yatulie isawa, vinginevyo ni kuongeza mafuta kwenye utambi unaowaka moto.

Dhana muhimu ya uvumilivu nitolee mfano ufuatavyo. Unamsikia jinsi Nape alivyokuwa anahaha usiku na mchana kumchafua Dr. Slaa. Lakini kwa busara Dr. aliamua kutulia na kuendelea na shughuli zake ikiwa ni dalili za wazi za kumpuuzi, na papo hapo watu kuendelea kupuuzi kauli za Nape, na unaona kwa sasa ameshaanza kufunga break ni kwa sababu ameona nothing works on it. Hali kadhalika Rais Kikwete mangapi anaatukwanwa nk, na kama angejali hayo ni kuchukua hatua za mamlaka yake wakati mamlaka na vyombo anavyo wengi na vyombo vingi vingeshakuwa matatani.

Sina maana ya kutetea mfumo wa utawala wa imla unavyoendeshwa ndani ya demokrasia ya Tanzania, ila natolea dondoo zenye kujenga taswira ya maana ya viongozi ambao ni wawakilishi wa wananchi wanavyotakiwa kuwa tayari kukosolewa, na kwamba utulivu ni silaha muhimu katika kufanya shughuli zao na wananchi ambao wanatofautiana kiitikadi
 
Inauma lakini huo ndiyo ukweli. Naunga mkono kwa asilimia 100%.
 
Back
Top Bottom