Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu

Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu

Isn't it plausible? therefore that the White man is created to rule the Black man? Come to think of what would happen one day if you woke up and on the throne sat a Kaff*ir! Can you imagine what would happen to our women? Does anyone of you believe that the Blacks can rule this country?
Mkuu, thanks for sharing with us, hi hotuba niliisoma kwa mara ya kwanza mwaka 2005, mchango wangu ni hapo kwenye hilo neon Kaff*ir, hilo sio neon la Kingereza, ni neon la Kiafricaner (lugha mama ya makaburu) halina maana ya kafiri linalotumiwa na watu wa dini, hilo neon lina maana hi, "Kaff*ir is somebody with a head but NO brain inside; so ndio wanavyo tuona watu weusi, wanasema kwamba sie tuna vichwa lakini hatuna ubongo kichwani, au ule unaonekana upo tu kwa kujaza kichwa but haufanyi kazi ile ile unao fanya kwa watu wa rangi zao, wanasema pia, sie watu weusi kwa mwenye akili sana, anaweza aka plan jambo au kitu kwa muda wa miezi 12 tu, wana justfy pia kwamba, kwenye nchi zote zinazo tawaliwa na watu weusi hazina maendelea regarding umri zilizo nazo. Just sharing what I know from these people
 
Hapana. Si maneno ya Botha. Rais, hata Mbaguzi huyo, hawezi kutoa mhadhara mrefu ambao si hotuba ya kisiasa au namna ya kuendesha nchi, na badala yake alete 'a silly philosophical treatise to justify apartheid'. Ni watu wanayatunga na kusingizia wabaya wetu. Tumeshayasoma yanayodaiwa kuwa ya Hitler, Trump, n.k. Yana uzuri wa maonyo, lakini pia yana matusi kwa Waafrika na kutudhalilisha. Yanajitokeza mara kwa mara mitandaoni, nadhani kwa makusudi.
Mkuu, hiyo ni hotuba ya P. W Botha, alikua akilihutubia baraza la mawaziri baada ya uchaguzi wa mwaka 1985.
 
The average Black does not plan his life beyond a year: that stance, for example, should be exploited.
 
Ni kweli mkuu kama tutaweza kujieltea maendeleo yetu sisi wenyewe naamini tutahheshimika. sibishi kabisa waafrika wengi huwa hawapendi kuwaibika na wanapenda starehe kuliko kazi. Tujenge uchumi wetu na tuachane na tabia ya kuomba omba. Tujenge tabia ya uzalendo na kuheshimiana wenyewe kwa wenyewe.

Nilikuwa nasoma kitabu kimoja cha Economics of law, kinasema magereza ya US yamejaa black ambao kwa population ni wadogo. wengi wenye kesi za mauji ni weusi walioua weusi wenzao! Sasa kwa nini tusianzekupendana sisi kwa sisi?

Hii kwa TZ ni laana ya uvamizi kwa Zanzibar. CCM wanaiangamiza nchi kwa kuendeleza uvamizi , huo upendo utakuja wapi hapo na ndugu yako kauliwa , mzee wako kanajisiwa , huku ndugu na jamaa zako wanasota gerezani kwa kesi za kubambikiziwa??
 
Kinachoendelea afrika ya kusini kwa wageni weusi kinatuaibisha na kusupport maneno ya huyo mzungu botha aliyazungumza kwamba hatuwezi kujitawala na tunapenda kuuana
 
Mkuu, hiyo ni hotuba ya P. W Botha, alikua akilihutubia baraza la mawaziri baada ya uchaguzi wa mwaka 1985.
Jamani naona aibu. Thread hii ni feki, si hotuba ya Botha. Nashangaa ni wachache tu wameitambua (Hongereeni!) na wengi ambao ama walisema "Uhuuu kweli kweli..." au kulia "mbaya huyu!!" (aibu yenu ya kutowasha ubongo na kutafakari wala kutafuta ukwelii!). Hakusema hata neno moja tunayoona hapa juu.

Tumepelekwa maneno ya mshairi Mkenya David Maillu. Sijui alilenga nini
kwa kutunga hotuba ya feki hii, basai nisiseme juu yake, kama alilenga kichekesho au nini...

Hali halisi Raisi Botha alitoa hotuba iliyoangaliwa sana wakati ule tarehe 15 Agosti 1985. Hotuba hii iliandaliwa na mawaziri wake kwa lengo la kutangaza kuachishwa kwa Nelson Mandela na kuanzisha mchakato wa kutafuta maelewano na harakati zilizopinga siasa ya Apartheid (ubaguzi wa kisheria Afrika Kusini). Siku chache kabla ya siku ya hotuba Botha aliwaambia mawaziri kwamba hatatumia matini iliyoandaliwa ataleta hotuba yake mwenyewe. Alitunga hotuba ya kinyume ya kutetea hali ya Afrika Kusini kuwa mafanikio na njia ya pekee inayowezekana.
Matini ya hotuba yake inapatikana kwenye tovuti ya Taasisi ya Nelson Mandela
ADDRESS BY STATE PRESIDENT P. W. BOTHA AT THE OPENING OF THE NATIONAL PARTY NATAL CONGRESS DURBAN, 15 AUGUST 1985 ["Rubicon" Speech]
Matokeo yake yalikuwa mabaya kwa sisa ya ubaguzi wa rangi. Maana nchi za magharibi waliacha matumaini kubadilisha hali ya afrika Kusini kwa kushirikiana na raisi huyu. Marekani na Ulaya waliongeza vizuizi vya biashara kw Afrika Kusini na uchumi ulishuka. Wanasiasa wa ndani ya chama chake Botha waisema "Hii ilikuwa siku ambako Apartheid ilianza kuporomoka". Soma hapa https://mg.co.za/article/2012-10-26-00-the-day-apartheid-started-dying

Hata hivyo Botha aliweza luendelea bado miaka hadi alipolaziishwa 1989 kuondoka madarakani na kumwachia nafasi F. W. de Klerk aliyeanza mara moja kutafuta maelewano na Mandela.

Angalia pia kuhusu hotuba halisi; https://en.wikipedia.org/wiki/Rubicon_speech
 
Jamani naona aibu. Thread hii ni feki, si hotuba ya Botha. Nashangaa ni wachache tu wameitambua (Hongereeni!) na wengi ambao ama walisema "Uhuuu kweli kweli..." au kulia "mbaya huyu!!" (aibu yenu ya kutowasha ubongo na kutafakari wala kutafuta ukwelii!). Hakusema hata neno moja tunayoona hapa juu.

Tumepelekwa maneno ya mshairi Mkenya David Maillu. Sijui alilenga nini
kwa kutunga hotuba ya feki hii, basai nisiseme juu yake, kama alilenga kichekesho au nini...

Hali halisi Raisi Botha alitoa hotuba iliyoangaliwa sana wakati ule tarehe 15 Agosti 1985. Hotuba hii iliandaliwa na mawaziri wake kwa lengo la kutangaza kuachishwa kwa Nelson Mandela na kuanzisha mchakato wa kutafuta maelewano na harakati zilizopinga siasa ya Apartheid (ubaguzi wa kisheria Afrika Kusini). Siku chache kabla ya siku ya hotuba Botha aliwaambia mawaziri kwamba hatatumia matini iliyoandaliwa ataleta hotuba yake mwenyewe. Alitunga hotuba ya kinyume ya kutetea hali ya Afrika Kusini kuwa mafanikio na njia ya pekee inayowezekana.
Matini ya hotuba yake inapatikana kwenye tovuti ya Taasisi ya Nelson Mandela
ADDRESS BY STATE PRESIDENT P. W. BOTHA AT THE OPENING OF THE NATIONAL PARTY NATAL CONGRESS DURBAN, 15 AUGUST 1985 ["Rubicon" Speech]
Matokeo yake yalikuwa mabaya kwa sisa ya ubaguzi wa rangi. Maana nchi za magharibi waliacha matumaini kubadilisha hali ya afrika Kusini kwa kushirikiana na raisi huyu. Marekani na Ulaya waliongeza vizuizi vya biashara kw Afrika Kusini na uchumi ulishuka. Wanasiasa wa ndani ya chama chake Botha waisema "Hii ilikuwa siku ambako Apartheid ilianza kuporomoka". Soma hapa https://mg.co.za/article/2012-10-26-00-the-day-apartheid-started-dying

Hata hivyo Botha aliweza luendelea bado miaka hadi alipolaziishwa 1989 kuondoka madarakani na kumwachia nafasi F. W. de Klerk aliyeanza mara moja kutafuta maelewano na Mandela.

Angalia pia kuhusu hotuba halisi; https://en.wikipedia.org/wiki/Rubicon_speech
NImefanya kazi na makaburu, hiyo hotuba wanaijua na hata hilo neon KAFFAR hata wao hua wanalitumia, nilipoona mleta UZI hajalitafsiri sawa sawa ndio nikaweka records vizuri, ninajua ninacho kisema. wale wenye umri kuanzi 45 and above na kama walikua wanafatilia sana habari za RTD Enzi hizo chini ya bwana David Wakati (the former CEO wa RTD )watakua wanamkumbuka huyu Peter W. Botha. Anyway, twendage hivyo hivyo
 
NImefanya kazi na makaburu, hiyo hotuba wanaijua na hata hilo neon KAFFAR hata wao hua wanalitumia, nilipoona mleta UZI hajalitafsiri sawa sawa ndio nikaweka records vizuri, ninajua ninacho kisema. wale wenye umri kuanzi 45 and above na kama walikua wanafatilia sana habari za RTD Enzi hizo chini ya bwana David Wakati (the former CEO wa RTD )watakua wanamkumbuka huyu Peter W. Botha. Anyway, twendage hivyo hivyo
Rafiki, bila shaka watu wa Taasisi ya Nelson Mandela wanawajua makaburu kushinda wewe na mimi. Hao wametunza maneno halisi ya Botha (ambayo si maneno ya kufurahia). Tazama juu, unaweza kusoma link. Kama hujui Taasisi ya Mandela, basi waangalie hapa: https://www.nelsonmandela.org/content/page/the-team

Hakuna faida kujadili mizaha na hii thread ni feki 100%. Mwandishi SI raisi wa makaburu PW Botha bali ilitungwa na Mkenya David Maillu ambaye, ninavyoamini, alitaka kumpinga Botha kwa kumtafsiri kwa njia ya "hotuba" feki.


Basi, hotuba halisi hapa: https://omalley.nelsonmandela.org/o...q/03lv01538/04lv01600/05lv01638/06lv01639.htm
 
Ukisoma waraka/ hotuba wa aliyepata kuwa Rais wa makaburu S.A ndugu BOTHA waweza kulia na kubaki na hasira machungu mengi dhidi ya wazungu, ule waraka kaburu Botha ametuchafua na ametutukana sana wa Africa kuwa ni watu wachawi, tukipewa silaha tuna uana wenyew kwa wenyewe, tunapenda sana ngono hasa na malaya wa kizungu hatuwezi kujitawala labda baada ya miaka 100, hakuna tunachokijua zaid ya kucheza NGOMA, na matusi mengine mengi ya kiwango cha rami.

Miaka mingi imepita tangu atoe hiyo hotuba na yeye mwenywe kutangulia mbele za haki ila maneno yako bado machungu yanachoma sana kwa sisi waafrica.

Natazama, naona, nasikiliza na kufwatilia siasa za Africa now days zile hasira na machungu niliyonayo yamepungua na kwisha kabisa kwa baadhi tu ya matukio na michezo michafu ya viongozi wa Africa walio madarakani na wale wanaopigana kuingia madarakan wote hakuna mwenye afadhari.

Tazama waafrica wanavyo uana wenyew kwa wenyew huko south sudan, Nigeria, ethiopia, libya na kwingineko, yanayoendelea Uganda na Rwanda kila mtu anafaham viongoz hawatak kutoka madarakan na kupisha wengine wenye uwezo kungoza, kule zimbabwe nasikia kuna kiongozi mkuu anabadilisha majina ya barabara yaitwe kwa jina lake, South Africa wanawaita waafrica wenzao ni wageni na wakimbiz wanawapiga na kuwaua wamesahau walivyotetewa na hao waafrica wenzao kipindi wananyanyasika na wazungu ama kweli masikin akipata....... hulia mbwata.

Ona huko kwingineko eti nasikia kuna vijana wamejitolea kumchukulia fomu mwenyekit wao ili agombee tena muhula mwingine sijui katiba yao inasemaje mwisho kuongoza chakusikitisha vijana wa chama kingine nao wakijitokeza na kutaka mwenyekit wao aendelee kuongoza hata miaka 30 mbele wale vijana wakwanza wanawaita wenzao mambumbu na kiongoz wao ni dikteta yaan vurugu tu huko Africa.

Mwisho yale maneno ya Botha ni machungu kwelikweli lakini ndo ukweli huo waafrica bado sana, kama hatutakubali kuamka kifikra basi waafrica tutabaki hivi hivi kuamini ushirikina na kurogana. hapo sijazungumzia matusi ya TRUMP na shit hole za kwa waafrica.

 
Natamani huu uzi jiwe liuone maana limejaa na ukabila na uchama bahati mbaya hii lugha inalipiga chenga
 
Before colonial invasion who was governing these black people? What a foolish argument, and you are such an idiot to bring it here.
 
Maneno maguu sana haya, sijui tunakwama wapi?.
 
ndio maana mungu alimuumba adamu na eva niweupe. na ndio maana mitume na manabii kuanzia adamu nuhu ebrahimu ayoob elyas issa mohamad walikuwa weupe mungu akuchagua nabii au mtume mweusi ingekuwa balaa mtume huyo angeruhusu kufirana kuibiana kuuwa kudhulumu
Hawakuwa weupe! Hamna nabii mweupe
 
BCC223AC-08E2-4F38-9BD2-535E9B4D8E50.jpeg
 
Back
Top Bottom