Hotuba ya Rais Magufuli kufungua Bunge la 12: Utumbuaji majipu utaendelea ili kuhakikisha Watumishi wanatenda kazi kwa mujibu wa Sheria na Kanuni

Anasema ataboresha Demokrasia, Uhuru wa vyombo vya habari, na atafanya kazi bega kwa bega wa Jumuia ya kimataifa -

anaaminika??
 
JITU LINAIBA KURA, HATA AIBU LINAHUTUBIA, LOL
 
Lissu asinyeweza kutoa hotuba Kama hiyo hana uwezo huo hotuba imekaa vizuri kila Kona
Hatuwezi pata maendeleo makubwa ya uchumi bila viwanda; hakuna viwanda bila rail, barabara, ndege, na nishati

Mungu ibariki Tanzania
 
Hotuba yake inatia matumaini mazuri. Mambo mengi aliyoyasema ni mazuri Ila ili kujenga nchi yenye watu wamoja ningetamani sana kama angekutana na wapinzani wake ili kuwe na maridhiano ya kitaifa. Tuache chuki ambazo hazijengi kisha tuchape kazi tukiwa wamoja.

Ampe cheo Lisu kama alivyomuhaidi kwenye kampeni. Tukiwa wamoja hii nchi itapiga hatua kubwa sana kimaendeleo na sio kufanya ubabe kwenye kila kitu.
 
Lissu alikataa cheo ,
 
Mtanzania wa kwanza na ni muafrika wa Tatu baada ya Mandela na Kofi Annan kuhutubia bunge la ulaya lenye wajumbe 790 huwezi kulinganisha na mtu anaehutubia Halmashauri kuu ya CCM yenye wageni wawili waalikwa
Lissu Ni mwanasiasa wa kwanza kutoka Afrika kwenda kuchongea nchi yake kwa wazungu.

Mandela, Museveni , Kagame ,Laila Odinga nk hawajawahi kwenda ulaya au bunge la ulaya kuchongea nchi zao katika harakati zao za kisiasa wakiwa wapinzani.

Lisu Ni mwanasiasa mwafrika wa kwanza kwenda kuchongea nchi kwenye mabunge ya wazungu.

Hivi hajisikii aibu kuwa msaliti nba moja wa kiafrika kusimama kazungungukwa na wazungu watupu bungeni kusalitinchi yake?
 
Hamna mtu anataka cheo cha kupewa kama zawadi.
ngoja tuone maendeleo watayoleta wakiwa wenyewe bila wapinzani maana amesikika kila mara akisema wapinzani wanamchelewesha sana kuleta maendeleo.
 
Mh. Askofu Gwajima kapewa nafasi ya kushukuru hotuba ya Rais kwa niaba ya wabunge,,,,
Mdee kazima tv yake hahahahah!
"...hakuna beberu atakayekupenda kwa projection ya hii hotuba yako...." Mh. Gwajima (MB)
 

Ni kweli hii hotuba imegusa nyanja zote.
Rais alishaahidi kumpa Tundu kazi, ila Tundu ameshaondoka ameenda kuanza kazi ya kuhutubia mabunge ya wazungu huko alikoenda
 
Mtanzania wa kwanza na ni muafrika wa Tatu baada ya Mandela na Kofi Annan kuhutubia bunge la ulaya lenye wajumbe 790 huwezi kulinganisha na mtu anaehutubia Halmashauri kuu ya CCM yenye wageni wawili waalikwa
Dah....akili za kitumwa hizi... Afrika bado sana kujitawala...[emoji2960]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…