USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
HahahahaKamalizaaaaa nazani mmemuelewa kazii iendelee ila tumepigwaaaaaaaa hatuna raisiView attachment 2037562
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaKamalizaaaaa nazani mmemuelewa kazii iendelee ila tumepigwaaaaaaaa hatuna raisiView attachment 2037562
Afadhali sijaangaliaSamia amemaliza hotuba.
Hivi kuna jipya na jambo lolote la maana ameongea?...
ukipenda sauti hata akiongea mashudu utapenda tu wewe huoni sauti ya mondi hata aimbe nyegezi Watu Wana vibe?Unapenda sauti au ujumbe
USSR
Hii itakuwa ya makambaKuna sehemu kuna jambo haliko sawa!! Huwezi ukatuwekea attention kuwa Rais anahutubia Taifa afu ukahutubia vitu vya kukopi na kupest toka enzi na enzi[emoji706]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hangaya Bora angelala
Kwa kweli sikutarajia kuisikiliza ila redio yangu pendwa ndio imeniponza...nilikuwa nasubiria kipindi cha sports xtra wakaunganisha juu kwa juu nikajikuta inaingia masikioni ...Aisee nimeumia saana aisee kwa niliyokuwa nasikiliza...bora wasingeifanyia promo vileKama kuna Mtu alitegemea la maana basi shida iko kwake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani huyu Bibi hajui hata anafanya nini ikulu
Kabisa.......'not to that extent' 😏Hangaya Bora angelala
Ametutia aibu sisi watalaam[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah umenivunja mbavu
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Kuchezea pesa tuMarais watakaohudhuria kesho sherehe za uhuru wa Tanganyika;
1. Kenya
2. Rwanda
3. Congo DRC
4. Shelisheli
Wengine piteni hivi.......msituletee corona
Tutaokoa gharama kubwa ya kuleta meli ya madaktari wa kichina nchiniHiii ni taarifa nzuri Kwa bwana yule Toka kolomije maana ndio ishu anayoitegemea kujaza Dunia
😂😂😂😂
Sio yeye hata mawaziri wake hayahaya ,wanaboa sanaHaya mambo huyaongea kila mara tuseme karibu kila siku.Hakuwa na sababu ya kuita hotuba maalum.Vinginevyo asiwe anajionyesha sana kwenye TV ili siku akiwa na jambo basi tutenge muda kumsikiliza!