Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwa Taifa Desemba 8, 2021 kuelekea miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika

Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwa Taifa Desemba 8, 2021 kuelekea miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika

Nilikuwa zangu kwenye mishe za maisha, nilipoona wito wa watu kutakiwa kumsikiliza nikaharakisha sana shughuli zangu ili niwahi nijue Jambo.

Nimesikiliza na nimeangalia Ila mbona sijaelewa? Hii ndio kuhutubia taifa? Mbona hotuba ipo shallow sana?

Au saa 4 Kuna nyingine tusubiri?

Hadi sasa najuta kupoteza muda wangu
 
Unapenda sauti au ujumbe

USSR
ukipenda sauti hata akiongea mashudu utapenda tu wewe huoni sauti ya mondi hata aimbe nyegezi Watu Wana vibe?
Haya hiyo hiyo nyegezi aimbe best nasso uone kama atauza!

Nimependa sauti mpaka hotuba saaaaaaafiiiiiii kabisa this is Tanzania mlidhani atatoa hotuba kama Ile ya Elon musk kurusha maroket ya Falcon X?

C'mon guys Bado tunadeal na matundu ya vyoo Ile ndio hotuba ya kutufaa nyumbu wa Tanganyika.

Uwiiiiiiiiiiiiiiiii

Tumepigwaaaaaaaaa!
 
Kama kuna Mtu alitegemea la maana basi shida iko kwake.
Kwa kweli sikutarajia kuisikiliza ila redio yangu pendwa ndio imeniponza...nilikuwa nasubiria kipindi cha sports xtra wakaunganisha juu kwa juu nikajikuta inaingia masikioni ...Aisee nimeumia saana aisee kwa niliyokuwa nasikiliza...bora wasingeifanyia promo vile
 
Marais watakaohudhuria kesho sherehe za uhuru wa Tanganyika;
1. Kenya
2. Rwanda
3. Congo DRC
4. Shelisheli

Wengine piteni hivi.......msituletee corona
 
Haya mambo huyaongea kila mara tuseme karibu kila siku.Hakuwa na sababu ya kuita hotuba maalum.Vinginevyo asiwe anajionyesha sana kwenye TV ili siku akiwa na jambo basi tutenge muda kumsikiliza!
 
Marais watakaohudhuria kesho sherehe za uhuru wa Tanganyika;
1. Kenya
2. Rwanda
3. Congo DRC
4. Shelisheli

Wengine piteni hivi.......msituletee corona
Kuchezea pesa tu

USSR
 
Haya mambo huyaongea kila mara tuseme karibu kila siku.Hakuwa na sababu ya kuita hotuba maalum.Vinginevyo asiwe anajionyesha sana kwenye TV ili siku akiwa na jambo basi tutenge muda kumsikiliza!
Sio yeye hata mawaziri wake hayahaya ,wanaboa sana

USSR
 
Back
Top Bottom