Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
Mama5 tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzake kina Mkapa na JK walikuwa na utaratibu wa kuhutubia mwisho wa mwezi.Tulikuwa na utaratibu wa kutenga muda na kusikiliza hizo hotuba kwa shauku kubwa.Sasa huyu mambo aliyoyaongea mara nyingi anakuja tena kuyaongea hapa!Sio yeye hata mawaziri wake hayahaya ,wanaboa sana
USSR
Hahahaha mliomba hivyoWanafundishwa na walimu 281,000 sawa na mwl mmoja wanafunzi 500 na ufaulu unapanda Kila mwaka
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]Hotuba kaiandaa kijana wa field
[emoji38][emoji38]Hotuba kaiandaa kijana wa field
Huyu wachaga walimpokea kwa pombe za kutoshaHuyu mama kapoteza credibility mapema sana, yaani hata mwaka hajafikisha
Punguza chukiWenzake kina Mkapa na JK walikuwa na utaratibu wa kuhutubia mwisho wa mwezi.Tulikuwa na utaratibu wa kutenga muda na kusikiliza hizo hotuba kwa shauku kubwa.Sasa huyu mambo aliyoyaongea mara nyingi anakuja tena kuyaongea hapa!
Sio chuki bali kwa style hii anayoenda nayo waswahili wanasema"Hana Jipya".Punguza chuki
Kila kiongozi na style yake
Kesho magazetiniKwa hotuba hii ya leo kuna mawili;
1. Rais amehujumiwa na waandaa hotuba.
2. Hatuna Rais
Kama jibu ni no.1 basi hitimisho ni no.2, na kama jibu ni no.2, basi hitimisho ni no.2.