Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwenye Baraza la Umoja wa Mataifa (UN) - Septemba 23, 2021

Yaani uongo ni profession kwa Tanzania. Mataifa yana funga ofisi kwa uvunjifu wa demokrasia. Mabango yamempokea huko ughaibuni bado ana sema kuna demokrasia. Tuna mdanganya nani?? Hakuwa n sababu ya kuongelea demokrasia maana ina julikana Tanzania ni police state.
 
..kwanini hakuhutubia kwa KISWAHILI?

..au hatuenzi tena lugha yetu na legacy ya Magufuli?
 
COVID-19 naona ndio ilikua Ajenda kuu ya mkutano. Mama kaomba chanjo "TUNACHANJWA HATUCHANJWII" Jibu kama wananchi wa Kawe....
 
Mama anaongea muda huu live anavunja yai zuri sana. Kongole mheshimiwa hata hasomi mahali.
Fool! Hujui maana ya teleprompter au autocue? Mwenzako kaandikiwa, amefanya mazoezi ya kusoma na sasa anarudia.

Ukitaka hotuba za moja kwa moja, zilikuwa za akina Qaddafi na Hugo Chavez
 
Dikteta hata kusoma kizungu alikuwa hajui,bogus
Yule alikuwa ajui kizungu, lakini Wazungu walimtambua,kila siku hotuba zake zilikuwa zikijadiliwa dunia mzima,sio huyu pompoma eti anatoa utuba ya kuomba chanjo, wakati walizompa milioni moja zimewadodea
 
Mama kawaweza leo na chuki zenu mlitaka achemke mpate la kusema. Katema yai la uhakika [emoji1787][emoji1787]
Hoja hapa ni je, alikuwa anatema yai au alikuwa anameza yai. Maana anaangalia muda wote sehemu moja.
 
Yule alikuwa ajui kizungu, lakini Wazungu walimtambua,kila siku hotuba zake zilikuwa zikijadiliwa dunia mzima,sio huyu pompoma eti anatoa utuba ya kuomba chanjo, wakati walizompa milioni moja zimewadodea
Rudi shule Kwanza, halafu ndio uje umtukane Rais we msukuma, Kwanza ushaenda kufagilia kaburi la mungu wenu wa kisukuma
 
be blessed my president of my country Tanzania
 
..kwanini hakuhutubia kwa KISWAHILI?

..au hatuenzi tena lugha yetu na legacy ya Magufuli?
Mwenye macho haambiwi tazama. Hapo hapo anataka mwaliko kwenda ''White House'' khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kule huwa hawaendi kwa kujipendekeza. Ooops my buddy told me zat ..... Ooops usiongee kijerumani chacha phew! Ukiwa wa tatu ni No ... .... Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee arudi nyumbani kutatua maswala ya Watanzania ambao wamegharamia utapanyaji wa kodi zao.
 
Kuwalimda Raia wako, unahitaji permit ya WHO/UN ? Haiwezi kuwa haijalewa.

Tunachotakiwa ni sisi kutengeneza ya kwetu wao watakuja ku prove standards tu, sio kutupa ruhusa ya kutengeneza au kutotengeneza.
 
Hotuba ya hovyo kuwahi kutokea duniani
 
She is simply aimless
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…