Hotuba ya Rais Samia yalituliza Taifa na Kukata kiu ya Watanzania juu ya changamoto ya umeme

Hotuba ya Rais Samia yalituliza Taifa na Kukata kiu ya Watanzania juu ya changamoto ya umeme

Ikiwa tatizo ni
1. Ukame. Miezi sita mvua inaagizwa toka nchi gani kutoa garantii?
2. Ikiwa ni service. Makamba alipoingia alidai anaizima kwa ajili ya service. Je service ina cycle ya muda gani? Na hii imefanyika mara ngapi toka tupate uhuru?
Bro tumia akili zote sisi wengine si wanaharakati wala siasa lkn tunaona ubabaishaji.
Hivi inaingia akilini? Kwa maelezo hayo umeme tutakuwa tunapata wakati wa masika tu
Mpango wa serikali ni kuhakikisha tunapata umeme kwa kutumia vyanzo mbalimbali yaani kuanzia umeme unaotokana na maji,gas na jua.tunataka tuondokane na utamaduni wa kutegemea chanzo kimoja pekee cha maji ambapo inatutesa nyakati hizi ambazo mvua zimekuwa za shida na ukame umetawala sana maeneo mengi.

Suala la ukarabati wa mitambo ni jambo la muhimu sana kwa kuwa ubapo ikarabati mitambo unaifanya kuwa imara zaidi na yenye kudumu kwa muda mrefu.ni sawa na vyombo vya moto usipovifanyia service kwa muda mrefu unakuwa unaviua na kusababisha hasara kubwa sana na hatari kubwa mbeleni
 
Mpango wa serikali ni kuhakikisha tunapata umeme kwa kutumia vyanzo mbalimbali yaani kuanzia umeme unaotokana na maji,gas na jua.tunataka tuondokane na utamaduni wa kutegemea chanzo kimoja pekee cha maji ambapo inatutesa nyakati hizi ambazo mvua zimekuwa za shida na ukame umetawala sana maeneo mengi.

Suala la ukarabati wa mitambo ni jambo la muhimu sana kwa kuwa ubapo ikarabati mitambo unaifanya kuwa imara zaidi na yenye kudumu kwa muda mrefu.ni sawa na vyombo vya moto usipovifanyia service kwa muda mrefu unakuwa unaviua na kusababisha hasara kubwa sana na hatari kubwa mbeleni
[emoji107]
 
Kila siku naona barua za kuomba teuzi, na usinizoee sina ndugu mpumbavu, mzandiki, na Mjinga Kama wewe.
Watanzania wote sisi ni ndugu.ndio maana unaweza kusafiri na kufika ugenini na ukapokelewa vizuri kabisa wana wenyeji bila kujalisha umetokea wapi ndani ya Tanzania.sisi Ni wakalimu sana na huo ni msingi wetu unaoendelea kujenga umoja wetu watanzania.labda kama wewe ni mkimbizi au mhamiaji haramu ndio huwezi ukaelewa haya .
 
AlhamduliLlah, Mwenyezi Mungu awarehemu wazee wetu waliona mbali. Karikoo wala usiwe na shaka tuna majumba ya urithi tunakula ubia tu, tartiiib.

Wewe utakuja kufata mahitaji tu Kariakoo.

Usicheze na wazee wa Kariakoo, walimpokea mpaka nyerere na kaptura zake.

Mwenye akili ni aliyepokelewa na kaptura zake na akaja kuwa mtawala wao hao wazee wa K.koo na wao wakabakia kijisifia kumpokea
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo Rais samia Amekata kiu ya watanzania na kulituliza Taifa ambapo muda mwingi walikuwa wanataka kusikia kauli yake juu ya changamoto ya kukatika kwa umeme. Kwa utulivu ,upole,uthabiti na uimara wa hali ya juu sana amelieleza Taifa sababu ya chagamoto hiyo na mikakati ya serikali yake kuimaliza. Ameliambia Taifa kuwa hali hiyo imetokana na serikali kufanya ukarabati na matengenezo ya mitambo ambayo ilikuwa haijafanyiwa matengenezo kwa muda mrefu. Hivyo serikali inalazimika kuzima mingine na kuwasha mingine ambayo inakuwa haitoshelezi umeme unaohitajika.

Lakini pia Amelieleza Taifa kuwa mabadiliko ya hali ya hewa yameathiri uzalishaji wa umeme kutokana na nchi kukumbwa na ukame kwa baadhi ya maeneo na hivyo maji yanayohitajika katika mabwawa yetu kuwa pungufu.Hata hivyo ameelezea jitihada za serikali yake kumaliza changamoto hiyo ambayo itabakia historia katika Taifa letu baada ya miezi sita tu. Ambapo kwa sasa serikali inajitahidi kuongeza na kutumia vyanzo vingine vya umeme kama vile umeme wa gas na jua.

Naamini watanzania wenzangu sote ni mashahidi wa namna jua linavyowaka kwa kipindi hiki na namna maeneo mengi yanavyoendelea kuwa kame na kukauka maji .sote tunakubaliana na ukweli kuwa hata shughuli za uchumi zinazotegemea umeme zimeongezeka kwa kiasi kikubwa sana kutokana na kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi wetu, unaotokana mazingira mazuri na sera nzuri za serikali yetu katika kuchochea ukuaji wa uchumi na Biashara.

Tuendelee kuwa wavumilivu katika miezi hiyo sita ambayo mh Rais na serikali yake wanaendelea kupambana kuimarisha hali ya upatikanaji wa umeme nchini ,lakini pia Tuendelee kumuomba Mungu atuletee mapema mvua zenye baraka zisizo na madhara zitakazo jaza mabwawa yetu.lakini pia tukumbuke pia mwakani bwawa la mwalimu Nyerere litaanza nalo uzalishaji wa umeme na hivyo kufanya Taifa kuwa na umeme wa kutosha na mwingine kuuza nje ya nchi kama vile kenya na nchi nyingine zenye uhitaji wa umeme.

Rais samia ni kiongozi mkweli sana ,Ni kiongozi ambaye anaendana na Baba wa Taifa Hayati mwalimu Nyerere ambaye alikuwa haoni haya kuusema ukweli kutwambia watanzania,kama ambavyo amewahi kutuambia kuwa Tufunge Mikanda. Huo ndio uongozi na huo ndio uungwana .Rais samia Hataki kuendesha serikali kwa udanganyifu na ulaghai wakati anajuwa mwisho wa siku ukweli hujitenga na uongo.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Ndugu zangu wana Buhigwe naomba kuuliza unawezaje kublock shudu na makapi ili usiwe unayaona kabisa yanapo postiwa na mtu humu ndani? Masada tafadhali.
 
AlhamduliLlah, Mwenyezi Mungu awarehemu wazee wetu waliona mbali. Karikoo wala usiwe na shaka tuna majumba ya urithi tunakula ubia tu, tartiiib.

Wewe utakuja kufata mahitaji tu Kariakoo.

Usicheze na wazee wa Kariakoo, walimpokea mpaka nyerere na kaptura zake.
biashara za hapo kariakoo nyingi ni za makafir, kwahiyo makafir wa kichagga na kikinga wamekuja kujenga majumba hayo kwa mkataba muwe mnakula ubia? si ndio? kumbe makafir ni watu wazuri na wa muhimu sana kwako.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo Rais samia Amekata kiu ya watanzania na kulituliza Taifa ambapo muda mwingi walikuwa wanataka kusikia kauli yake juu ya changamoto ya kukatika kwa umeme. Kwa utulivu ,upole,uthabiti na uimara wa hali ya juu sana amelieleza Taifa sababu ya chagamoto hiyo na mikakati ya serikali yake kuimaliza. Ameliambia Taifa kuwa hali hiyo imetokana na serikali kufanya ukarabati na matengenezo ya mitambo ambayo ilikuwa haijafanyiwa matengenezo kwa muda mrefu. Hivyo serikali inalazimika kuzima mingine na kuwasha mingine ambayo inakuwa haitoshelezi umeme unaohitajika.

Lakini pia Amelieleza Taifa kuwa mabadiliko ya hali ya hewa yameathiri uzalishaji wa umeme kutokana na nchi kukumbwa na ukame kwa baadhi ya maeneo na hivyo maji yanayohitajika katika mabwawa yetu kuwa pungufu.Hata hivyo ameelezea jitihada za serikali yake kumaliza changamoto hiyo ambayo itabakia historia katika Taifa letu baada ya miezi sita tu. Ambapo kwa sasa serikali inajitahidi kuongeza na kutumia vyanzo vingine vya umeme kama vile umeme wa gas na jua.

Naamini watanzania wenzangu sote ni mashahidi wa namna jua linavyowaka kwa kipindi hiki na namna maeneo mengi yanavyoendelea kuwa kame na kukauka maji .sote tunakubaliana na ukweli kuwa hata shughuli za uchumi zinazotegemea umeme zimeongezeka kwa kiasi kikubwa sana kutokana na kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi wetu, unaotokana mazingira mazuri na sera nzuri za serikali yetu katika kuchochea ukuaji wa uchumi na Biashara.

Tuendelee kuwa wavumilivu katika miezi hiyo sita ambayo mh Rais na serikali yake wanaendelea kupambana kuimarisha hali ya upatikanaji wa umeme nchini ,lakini pia Tuendelee kumuomba Mungu atuletee mapema mvua zenye baraka zisizo na madhara zitakazo jaza mabwawa yetu.lakini pia tukumbuke pia mwakani bwawa la mwalimu Nyerere litaanza nalo uzalishaji wa umeme na hivyo kufanya Taifa kuwa na umeme wa kutosha na mwingine kuuza nje ya nchi kama vile kenya na nchi nyingine zenye uhitaji wa umeme.

Rais samia ni kiongozi mkweli sana ,Ni kiongozi ambaye anaendana na Baba wa Taifa Hayati mwalimu Nyerere ambaye alikuwa haoni haya kuusema ukweli kutwambia watanzania,kama ambavyo amewahi kutuambia kuwa Tufunge Mikanda. Huo ndio uongozi na huo ndio uungwana .Rais samia Hataki kuendesha serikali kwa udanganyifu na ulaghai wakati anajuwa mwisho wa siku ukweli hujitenga na uongo.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Chawa! Rubbish
 
Sijuwi umeandika Madudu gani ndugu yangu. Habari za shule ningependa kukujibu kuwa serikali yetu imefanya uwekezaji mkubwa sana.ndio maana unaona shule za serikali zikifanya vizuri sana katika mitihani ya Taifa.hata katika vyuo vikuu nako uwekezaji ni mkubwa sana na Taifa letu limeendelea kutoa wataalamu wazuri na wabobevu katika nyanja mbalimbali.Ndio maana katika afya unaona kwa kiasi kikubwa wagonjwa wamepungua kupelekwa nje ya nchi kupata matibabu kwa kuwa matibabu yanapatikana hapa hapa nchini kwakutumia wataalamu wetu wa ndani waliopita katika shule na vyuo vyetu.
Una akili na upeo finyu sana, itoshe tu kusema wewe ni wale sifia sifia na waimba mapambio ya watawala
 
Watanzania wote sisi ni ndugu.ndio maana unaweza kusafiri na kufika ugenini na ukapokelewa vizuri kabisa wana wenyeji bila kujalisha umetokea wapi ndani ya Tanzania.sisi Ni wakalimu sana na huo ni msingi wetu unaoendelea kujenga umoja wetu watanzania.labda kama wewe ni mkimbizi au mhamiaji haramu ndio huwezi ukaelewa haya .

Sina undugu na wewe, na ma ccm yote
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo Rais samia Amekata kiu ya watanzania na kulituliza Taifa ambapo muda mwingi walikuwa wanataka kusikia kauli yake juu ya changamoto ya kukatika kwa umeme. Kwa utulivu ,upole,uthabiti na uimara wa hali ya juu sana amelieleza Taifa sababu ya chagamoto hiyo na mikakati ya serikali yake kuimaliza. Ameliambia Taifa kuwa hali hiyo imetokana na serikali kufanya ukarabati na matengenezo ya mitambo ambayo ilikuwa haijafanyiwa matengenezo kwa muda mrefu. Hivyo serikali inalazimika kuzima mingine na kuwasha mingine ambayo inakuwa haitoshelezi umeme unaohitajika.

Lakini pia Amelieleza Taifa kuwa mabadiliko ya hali ya hewa yameathiri uzalishaji wa umeme kutokana na nchi kukumbwa na ukame kwa baadhi ya maeneo na hivyo maji yanayohitajika katika mabwawa yetu kuwa pungufu.Hata hivyo ameelezea jitihada za serikali yake kumaliza changamoto hiyo ambayo itabakia historia katika Taifa letu baada ya miezi sita tu. Ambapo kwa sasa serikali inajitahidi kuongeza na kutumia vyanzo vingine vya umeme kama vile umeme wa gas na jua.

Naamini watanzania wenzangu sote ni mashahidi wa namna jua linavyowaka kwa kipindi hiki na namna maeneo mengi yanavyoendelea kuwa kame na kukauka maji .sote tunakubaliana na ukweli kuwa hata shughuli za uchumi zinazotegemea umeme zimeongezeka kwa kiasi kikubwa sana kutokana na kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi wetu, unaotokana mazingira mazuri na sera nzuri za serikali yetu katika kuchochea ukuaji wa uchumi na Biashara.

Tuendelee kuwa wavumilivu katika miezi hiyo sita ambayo mh Rais na serikali yake wanaendelea kupambana kuimarisha hali ya upatikanaji wa umeme nchini ,lakini pia Tuendelee kumuomba Mungu atuletee mapema mvua zenye baraka zisizo na madhara zitakazo jaza mabwawa yetu.lakini pia tukumbuke pia mwakani bwawa la mwalimu Nyerere litaanza nalo uzalishaji wa umeme na hivyo kufanya Taifa kuwa na umeme wa kutosha na mwingine kuuza nje ya nchi kama vile kenya na nchi nyingine zenye uhitaji wa umeme.

Rais samia ni kiongozi mkweli sana ,Ni kiongozi ambaye anaendana na Baba wa Taifa Hayati mwalimu Nyerere ambaye alikuwa haoni haya kuusema ukweli kutwambia watanzania,kama ambavyo amewahi kutuambia kuwa Tufunge Mikanda. Huo ndio uongozi na huo ndio uungwana .Rais samia Hataki kuendesha serikali kwa udanganyifu na ulaghai wakati anajuwa mwisho wa siku ukweli hujitenga na uongo.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Amekueleza na sababu za kukaa muda mrefu bila kufanya matengenezo? Amekueleza sababu ya CCM kuwa na sera ya kuweka vyanzo vya Umeme upande mmoja? Unajua kusambaza gride ya umeme kutoka mtera hadi kanda ya ziwa gharama yake ni kubwa kuliko kujenga min power plant kanda ya ziwa?
 
Tokea nipo darasa la kwanza hii nchi inapambana na ukame
Mpaka leo unakaribia kustaafu bado inapambana na maadui umasikini,ujinga,maradhi,ukame,ufisadi.

Yaani miaka zaidi ya 60!!??
Halafu mtu aseme eti CCM ina dhamira ya dhati kututoa hapa tulipo!!??
 
Shida ya watanzania ni umeme, watanzania wanahitaji umeme ndio maana kwa kulitambua hilo serikali ya Rais samia ina mikakati na mipango mbalimbali kuhakikisha kuwa huduma ya umeme inaendelea kupatikana kwa watanzania,ndio maana imeamua kuongeza vyanzo vingine vya nishati hii ikiwepo umeme wa gas na jua. Pamoja na kuendelea kukamilisha miradi mikubwa kama ule wa bwawa la mwalimu Nyerere
Wewe ni mtu wa ajabu sana. Japokuwa kulikuwa na matatizo ya umeme kipindi cha jpm lakini yaliongezeka mara tu Makamba na Maharage wslipoishiks hii wizara. Madai yao ya mwanzo kabisa juu ya makatizo ya umeme mara kwa mara yalikuwa ni urekibishaji wa miundombinu ambayo haikufanyiwa service muda mrefu. Kwenye hiyo unayoiita hotuba ya Samia antuambia sababu ileile tulioambiwa na Makamba miaka mitatu iliyopita.

Tangu serikali ya Kikwete kulikuwa na msisitizo wa matumizi ya gas na hatua kadhaa zilifanyika, hivyo serikali ya Samia hakuna jipya walilolifanya. Kawalea sana Makamba na Mwenzie walioonyesha wazi uwezo mdogo ktk kuendesha ile wizara, hivyo hawezi kukwepa lawama.

Hakuna mtanzania aliyesuuhuziika moyo na hotuba ya Samia kuhusu umeme hisipokuwa chawa kama wewe.

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom