residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Hata mwaka 2014 tuliambiwa kuwa gesi ya Mtwara ndiyo mwarobaini wa matatizo ya umeme.Mwakani mgao wa umeme unakwenda kubaki katika vitabu vya kumbukumbu na hata hao Kenya tutawauzia Umeme kwa bei nzuri tu.
Blah blah tuHata mwaka 2014 tuliambiwa kuwa gesi ya Mtwara ndiyo mwarobaini wa matatizo ya umeme.
Leo imepita takribani miaka 9,lakini wimbo wa matatizo ya umeme ni ule ule!
Mimi nikiona mtu anachanganya mambo ya msingi na Dini huwa namdharau sana.You people must be able to address issues without being dragged into religion.Hivi mnajua what religion is afterall.It is what itKwa "uzanzibari" unamaanisha Uislam? Maana mimi ni Mtanganyika zaidi yako, nilizaliwa kbala ya uhuru, wakati bado tunaitwa Tanganyika. Kwetu nilipozaliwa nilipoanza kuijuwa dunia ni Dar.
Hata Nyerere alipokelewa na wazee wetu wa Dar, hatukkuwahi kubaguwana kabisa. Jina la Dar Es Salaam lisingekuwepo kama wenyeji wa Mzizima wasingewakaribisha Wazanzibari na kuwapa ardhi ya kujengea chuo ambacho ndicho kiliitwa Dar Es Salaam ikimaanisha nyumba ya salama.
Wacha ubaguzi wa kijinga, au imani yako inakufundisha ubaguzi?
Na Kweli Ni mnyiha mjinga Sana huyu anatokea ivuna bila shakaBanza Stone alisemaga ukweli .
Bora ukose Mali upate Akili.
Mnyiha wewe unaonekana umekosa vyote.
Hivi bado mnaami watanzania ni wajinga?Ndugu zangu Watanzania,
Leo Rais samia Amekata kiu ya watanzania na kulituliza Taifa ambapo muda mwingi walikuwa wanataka kusikia kauli yake juu ya changamoto ya kukatika kwa umeme. Kwa utulivu ,upole,uthabiti na uimara wa hali ya juu sana amelieleza Taifa sababu ya chagamoto hiyo na mikakati ya serikali yake kuimaliza. Ameliambia Taifa kuwa hali hiyo imetokana na serikali kufanya ukarabati na matengenezo ya mitambo ambayo ilikuwa haijafanyiwa matengenezo kwa muda mrefu. Hivyo serikali inalazimika kuzima mingine na kuwasha mingine ambayo inakuwa haitoshelezi umeme unaohitajika.
Lakini pia Amelieleza Taifa kuwa mabadiliko ya hali ya hewa yameathiri uzalishaji wa umeme kutokana na nchi kukumbwa na ukame kwa baadhi ya maeneo na hivyo maji yanayohitajika katika mabwawa yetu kuwa pungufu.Hata hivyo ameelezea jitihada za serikali yake kumaliza changamoto hiyo ambayo itabakia historia katika Taifa letu baada ya miezi sita tu. Ambapo kwa sasa serikali inajitahidi kuongeza na kutumia vyanzo vingine vya umeme kama vile umeme wa gas na jua.
Naamini watanzania wenzangu sote ni mashahidi wa namna jua linavyowaka kwa kipindi hiki na namna maeneo mengi yanavyoendelea kuwa kame na kukauka maji .sote tunakubaliana na ukweli kuwa hata shughuli za uchumi zinazotegemea umeme zimeongezeka kwa kiasi kikubwa sana kutokana na kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi wetu, unaotokana mazingira mazuri na sera nzuri za serikali yetu katika kuchochea ukuaji wa uchumi na Biashara.
Tuendelee kuwa wavumilivu katika miezi hiyo sita ambayo mh Rais na serikali yake wanaendelea kupambana kuimarisha hali ya upatikanaji wa umeme nchini ,lakini pia Tuendelee kumuomba Mungu atuletee mapema mvua zenye baraka zisizo na madhara zitakazo jaza mabwawa yetu.lakini pia tukumbuke pia mwakani bwawa la mwalimu Nyerere litaanza nalo uzalishaji wa umeme na hivyo kufanya Taifa kuwa na umeme wa kutosha na mwingine kuuza nje ya nchi kama vile kenya na nchi nyingine zenye uhitaji wa umeme.
Rais samia ni kiongozi mkweli sana ,Ni kiongozi ambaye anaendana na Baba wa Taifa Hayati mwalimu Nyerere ambaye alikuwa haoni haya kuusema ukweli kutwambia watanzania,kama ambavyo amewahi kutuambia kuwa Tufunge Mikanda. Huo ndio uongozi na huo ndio uungwana .Rais samia Hataki kuendesha serikali kwa udanganyifu na ulaghai wakati anajuwa mwisho wa siku ukweli hujitenga na uongo.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Kiufupi tu hata ingekuwa mimi ndiye Rais halafu unajipendekeza kiasi hiki hakika usingepata chochote kwangu iwe uteuzi au kazi maana unanipamba hadi ya uongo. Unaweza hata kuniambia MIMI NI MALAIKI JAPO SINA MBAWA. Hukatazwi kumsifia mtu ila WEWE UNACHOFANYA KINAONYESHA DHAHIRI UPO KIMKAKATI KUSHAWISHI MAMLAKA ZIKUFIKIRIEHapana sijipendekezi bali naandika ukweli kuwa Rais samia anapendwa sana na mamilioni ya watanzania,ndio maana Anaendelea kuungwa mkono na watanzania wa kila rika na kila kundi
Wewe mama wengine tunakuheshimu humu ndani punguza shobo kwenye malalamiko ya wengi,Kwani nani aliwakataza kujipatia umeme?
Umeme wa Tanesco ndio kama mlivyosikia leo.
Mimi nashangaa, mnaolalamika hamna matumizi zaidi ya kuchaji visimu vyenu na usiku kuwasha taa moja au mbili. Sijawasikia wenye viwanda kulalamika.
Ndugu zangu Watanzania,
Leo Rais samia Amekata kiu ya watanzania na kulituliza Taifa ambapo muda mwingi walikuwa wanataka kusikia kauli yake juu ya changamoto ya kukatika kwa umeme. Kwa utulivu ,upole,uthabiti na uimara wa hali ya juu sana amelieleza Taifa sababu ya chagamoto hiyo na mikakati ya serikali yake kuimaliza. Ameliambia Taifa kuwa hali hiyo imetokana na serikali kufanya ukarabati na matengenezo ya mitambo ambayo ilikuwa haijafanyiwa matengenezo kwa muda mrefu. Hivyo serikali inalazimika kuzima mingine na kuwasha mingine ambayo inakuwa haitoshelezi umeme unaohitajika.
Lakini pia Amelieleza Taifa kuwa mabadiliko ya hali ya hewa yameathiri uzalishaji wa umeme kutokana na nchi kukumbwa na ukame kwa baadhi ya maeneo na hivyo maji yanayohitajika katika mabwawa yetu kuwa pungufu.Hata hivyo ameelezea jitihada za serikali yake kumaliza changamoto hiyo ambayo itabakia historia katika Taifa letu baada ya miezi sita tu. Ambapo kwa sasa serikali inajitahidi kuongeza na kutumia vyanzo vingine vya umeme kama vile umeme wa gas na jua.
Naamini watanzania wenzangu sote ni mashahidi wa namna jua linavyowaka kwa kipindi hiki na namna maeneo mengi yanavyoendelea kuwa kame na kukauka maji .sote tunakubaliana na ukweli kuwa hata shughuli za uchumi zinazotegemea umeme zimeongezeka kwa kiasi kikubwa sana kutokana na kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi wetu, unaotokana mazingira mazuri na sera nzuri za serikali yetu katika kuchochea ukuaji wa uchumi na Biashara.
Tuendelee kuwa wavumilivu katika miezi hiyo sita ambayo mh Rais na serikali yake wanaendelea kupambana kuimarisha hali ya upatikanaji wa umeme nchini ,lakini pia Tuendelee kumuomba Mungu atuletee mapema mvua zenye baraka zisizo na madhara zitakazo jaza mabwawa yetu.lakini pia tukumbuke pia mwakani bwawa la mwalimu Nyerere litaanza nalo uzalishaji wa umeme na hivyo kufanya Taifa kuwa na umeme wa kutosha na mwingine kuuza nje ya nchi kama vile kenya na nchi nyingine zenye uhitaji wa umeme.
Rais samia ni kiongozi mkweli sana ,Ni kiongozi ambaye anaendana na Baba wa Taifa Hayati mwalimu Nyerere ambaye alikuwa haoni haya kuusema ukweli kutwambia watanzania,kama ambavyo amewahi kutuambia kuwa Tufunge Mikanda. Huo ndio uongozi na huo ndio uungwana .Rais samia Hataki kuendesha serikali kwa udanganyifu na ulaghai wakati anajuwa mwisho wa siku ukweli hujitenga na uongo.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
mwendazake alikuwa hafahamu maana ya "maintanance" ni nini.
Ndugu yangu magari tu ya abiria kila linapofika mwisho wa safari lazima lifanyiwe matengenezo.sasa unafikiri inawezekanaje kwa mitambo inayofanya kazi kila siku kwa mwaka mzima isifanyiwe matengenezo walau mara moja kwa mwaka? Kumbuka ni bora ifanyiwe marekebisho kuliko ikaachwa hivyo hivyo na tatizo kijana kuwa kubwa na la gharama kubwa huko siku za mbele na hivyo kuleta athari katika upatikanaji wa umeme.
Nchi haijamshinda ndio maana unaona mambo yanakwenda vizuri na tunaendelea kupata mafanikio katika kila eneo.uchumi wetu unaendelea kufanya vizuri na maisha ya watanzania yanaendelea kuboreka kwa kila mwenye kufanya kazi kwa bidii juhudi na maarifa.
Kwani hiyo miezi mingine umeme so ilikuwepo vizuri tuu? Sasa kama ulikuwepo utasemaje miezi miaka mitatu?Miaka 3 na miez sita? Hata ww inakuingia akilini?
Jaman mambo mengine Sisi kama vijana wasomi basi tuwe tunawaza nje ya box
Na ww unaamini kabisa ni maintenance?
Miaka 3 maintenance gani?
Hakuna atakayebaki salama akibainika kugusa pesa za umma.Ndio maana serikali kupitia kwa waziri mkuu imeahidi kuunda timu ya kufanya uchunguzi .Umesikia wizi wa manispaa ya kigoma?
Hakuna atakayebaki salama akibainika kugusa pesa za umma.Ndio maana serikali kupitia kwa waziri mkuu imeahidi kuunda timu ya kufanya uchunguzi .
Kwani hiyo miezi mingine umeme so ilikuwepo vizuri tuu? Sasa kama ulikuwepo utasemaje miezi miaka mitatu?
Kwa hiyo unatuaminisha kuwa mama SSH ni mhandisi mbobevu? Hivi kwa akili ya kawaida unaweza kutumia miundombinu ya umeme bila maintenance na umeme ukapatikana? Hii laana ya ukame imekuja baada ya mama kuwateua wateule wapya Tanesco na Wizara ya Nishati?[emoji22]mwendazake alikuwa hafahamu maana ya "maintanance" ni nini.