Hotuba ya Rais Samia yalituliza Taifa na Kukata kiu ya Watanzania juu ya changamoto ya umeme

Hotuba ya Rais Samia yalituliza Taifa na Kukata kiu ya Watanzania juu ya changamoto ya umeme

Nikosoe kwa hoja na ujumbe niliyoandika na siyo ukabila,maana hapa siandiki kwa niaba ya kabila au ukoo. Na wala situmwi na kabila au ukoo kuja kuandika hapa. Pia acha mawazo ya kikabila yatakayokupofusha akili yako.Tazama mambo kwa uhalisia na siyo kwa jicho la ukabila.
Umejikagua ukaona unaona Mambo kwa jicho gani au huoni Mzee Luca ?
 
Mh. January alipokuwa Waziri alitangaza Siku kadhaa za kufanyia Matengenezo mitambo na Umeme tukawa tunapata kwa shida.

Kwahiyo tangu wakati huo hadi Sasa Matengenezo bado yanaendelea?

Sababu ya Pili ya katizo la Umeme nakubaliana na Mh. Raisi ila ya Kwanza ametupiga na kitu kizito.


Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Ndugu yangu magari tu ya abiria kila linapofika mwisho wa safari lazima lifanyiwe matengenezo.sasa unafikiri inawezekanaje kwa mitambo inayofanya kazi kila siku kwa mwaka mzima isifanyiwe matengenezo walau mara moja kwa mwaka? Kumbuka ni bora ifanyiwe marekebisho kuliko ikaachwa hivyo hivyo na tatizo kijana kuwa kubwa na la gharama kubwa huko siku za mbele na hivyo kuleta athari katika upatikanaji wa umeme.
 
Ukame hauletwi na serikali yetu bali ni mabadiliko ya hali ya hewa .ndio maana serikali nayo inabadilika kulingana na wakati kama unavyoona sasa serikali inaamua kuanza kutumia vyanzo vingine kama vile gas na jua ili umeme uwepo.
Khaaa...

Kwahiyo Miaka yote hamkuwa na Maarifa ya kubadilika?.


Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo Rais samia Amekata kiu ya watanzania na kulituliza Taifa ambapo muda mwingi walikuwa wanataka kusikia kauli yake juu ya changamoto ya kukatika kwa umeme. Kwa utulivu ,upole,uthabiti na uimara wa hali ya juu sana amelieleza Taifa
Unajipendekeza hadi aibu? Hotuba imeleta umeme?
 
Kenya wana Wind farming huko Kajiado na kule Turkana lakini sisi tumekalia hydropower wakati huu wa mabadiliko ya tabia nchi
Mwakani mgao wa umeme unakwenda kubaki katika vitabu vya kumbukumbu na hata hao Kenya tutawauzia Umeme kwa bei nzuri tu.
 
Yaani watanzania tupo gizani na hapa tulipo hatuna umeme, halafu mama anasema shida ya umeme iendelee hivi hivi mpaka baada ya miezi sita ndio atakuja kufanya tathmini kuona imepungua, kuongeza au amekwisha! Hapa hapana kabisa. Mama ameteleza kwa 100%.

Watanzania tunataka umeme wa uhakika sasa.
Nadhani haelewi umuhimu wa Umeme.

Kwa Miezi 6 ya Upungufu wa Umeme uchumi utakuwa Chali.... kifo cha Mende.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Unajipendekeza hadi aibu? Hotuba imeleta umeme?
Hotuba imewapa matumaini watanzania kwa kuwaeleza mikakati na mipango ya serikali katika kumaliza changamoto ya umeme.lakini pia hotuba ya mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania imeelezea ni kwa muda gani tatizo hilo litakuwa historia hapa nchini.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo Rais samia Amekata kiu ya watanzania na kulituliza Taifa ambapo muda mwingi walikuwa wanataka kusikia kauli yake juu ya changamoto ya kukatika kwa umeme. Kwa utulivu ,upole,uthabiti na uimara wa hali ya juu sana amelieleza Taifa
Nikidhabi wewe ni chawa lakini nimeona sasa pasina shaka yeyote unaratibu anguko zuri kwa Hangaya.

Wanakuona mwenzao kumbe loh, unawskaanga kitaalam sana
 
Nadhani haelewi umuhimu wa Umeme.

Kwa Miezi 6 ya Upungufu wa Umeme uchumi utakuwa Chali.... kifo cha Mende.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Hiyo miezi sita siyo kwamba umeme utakuwa haupatikani bali ndio mwisho wa changamoto za umeme hapa nchini.kumbuka ndani ya hiyo miezi sita Tayari mvua zitakuwa zimeanza kunyesha na hivyo Kina cha maji kitakuwa kimeongezeka katika mabwawa yetu na kuongeza uzalishaji wa umeme. Lakini pia wakati huu ambao mvua bado hazijaanza kunyesha serikali yetu itaendelea kutumia vyanzo vingine vya kuzalisha umeme, kama vile gas na jua.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo Rais samia Amekata kiu ya watanzania na kulituliza Taifa ambapo muda mwingi walikuwa wanataka kusikia kauli yake juu ya changamoto ya kukatika kwa umeme. Kwa utulivu ,upole,uthabiti na uimara wa hali ya juu sana amelieleza Taifa sababu ya chagamoto hiyo na mikakati ya serikali yake kuimaliza. Ameliambia Taifa kuwa hali hiyo imetokana na serikali kufanya ukarabati na matengenezo ya mitambo ambayo ilikuwa haijafanyiwa matengenezo kwa muda mrefu. Hivyo serikali inalazimika kuzima mingine na kuwasha mingine ambayo inakuwa haitoshelezi umeme unaohitajika.

Lakini pia Amelieleza Taifa kuwa mabadiliko ya hali ya hewa yameathiri uzalishaji wa umeme kutokana na nchi kukumbwa na ukame kwa baadhi ya maeneo na hivyo maji yanayohitajika katika mabwawa yetu kuwa pungufu.Hata hivyo ameelezea jitihada za serikali yake kumaliza changamoto hiyo ambayo itabakia historia katika Taifa letu baada ya miezi sita tu. Ambapo kwa sasa serikali inajitahidi kuongeza na kutumia vyanzo vingine vya umeme kama vile umeme wa gas na jua.

Naamini watanzania wenzangu sote ni mashahidi wa namna jua linavyowaka kwa kipindi hiki na namna maeneo mengi yanavyoendelea kuwa kame na kukauka maji .sote tunakubaliana na ukweli kuwa hata shughuli za uchumi zinazotegemea umeme zimeongezeka kwa kiasi kikubwa sana kutokana na kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi wetu, unaotokana mazingira mazuri na sera nzuri za serikali yetu katika kuchochea ukuaji wa uchumi na Biashara.

Tuendelee kuwa wavumilivu katika miezi hiyo sita ambayo mh Rais na serikali yake wanaendelea kupambana kuimarisha hali ya upatikanaji wa umeme nchini ,lakini pia Tuendelee kumuomba Mungu atuletee mapema mvua zenye baraka zisizo na madhara zitakazo jaza mabwawa yetu.lakini pia tukumbuke pia mwakani bwawa la mwalimu Nyerere litaanza nalo uzalishaji wa umeme na hivyo kufanya Taifa kuwa na umeme wa kutosha na mwingine kuuza nje ya nchi kama vile kenya na nchi nyingine zenye uhitaji wa umeme.

Rais samia ni kiongozi mkweli sana ,Ni kiongozi ambaye anaendana na Baba wa Taifa Hayati mwalimu Nyerere ambaye alikuwa haoni haya kuusema ukweli kutwambia watanzania,kama ambavyo amewahi kutuambia kuwa Tufunge Mikanda. Huo ndio uongozi na huo ndio uungwana .Rais samia Hataki kuendesha serikali kwa udanganyifu na ulaghai wakati anajuwa mwisho wa siku ukweli hujitenga na uongo.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Ume

Ndugu zangu Watanzania,

Leo Rais samia Amekata kiu ya watanzania na kulituliza Taifa ambapo muda mwingi walikuwa wanataka kusikia kauli yake juu ya changamoto ya kukatika kwa umeme. Kwa utulivu ,upole,uthabiti na uimara wa hali ya juu sana amelieleza Taifa sababu ya chagamoto hiyo na mikakati ya serikali yake kuimaliza. Ameliambia Taifa kuwa hali hiyo imetokana na serikali kufanya ukarabati na matengenezo ya mitambo ambayo ilikuwa haijafanyiwa matengenezo kwa muda mrefu. Hivyo serikali inalazimika kuzima mingine na kuwasha mingine ambayo inakuwa haitoshelezi umeme unaohitajika.

Lakini pia Amelieleza Taifa kuwa mabadiliko ya hali ya hewa yameathiri uzalishaji wa umeme kutokana na nchi kukumbwa na ukame kwa baadhi ya maeneo na hivyo maji yanayohitajika katika mabwawa yetu kuwa pungufu.Hata hivyo ameelezea jitihada za serikali yake kumaliza changamoto hiyo ambayo itabakia historia katika Taifa letu baada ya miezi sita tu. Ambapo kwa sasa serikali inajitahidi kuongeza na kutumia vyanzo vingine vya umeme kama vile umeme wa gas na jua.

Naamini watanzania wenzangu sote ni mashahidi wa namna jua linavyowaka kwa kipindi hiki na namna maeneo mengi yanavyoendelea kuwa kame na kukauka maji .sote tunakubaliana na ukweli kuwa hata shughuli za uchumi zinazotegemea umeme zimeongezeka kwa kiasi kikubwa sana kutokana na kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi wetu, unaotokana mazingira mazuri na sera nzuri za serikali yetu katika kuchochea ukuaji wa uchumi na Biashara.

Tuendelee kuwa wavumilivu katika miezi hiyo sita ambayo mh Rais na serikali yake wanaendelea kupambana kuimarisha hali ya upatikanaji wa umeme nchini ,lakini pia Tuendelee kumuomba Mungu atuletee mapema mvua zenye baraka zisizo na madhara zitakazo jaza mabwawa yetu.lakini pia tukumbuke pia mwakani bwawa la mwalimu Nyerere litaanza nalo uzalishaji wa umeme na hivyo kufanya Taifa kuwa na umeme wa kutosha na mwingine kuuza nje ya nchi kama vile kenya na nchi nyingine zenye uhitaji wa umeme.

Rais samia ni kiongozi mkweli sana ,Ni kiongozi ambaye anaendana na Baba wa Taifa Hayati mwalimu Nyerere ambaye alikuwa haoni haya kuusema ukweli kutwambia watanzania,kama ambavyo amewahi kutuambia kuwa Tufunge Mikanda. Huo ndio uongozi na huo ndio uungwana .Rais samia Hataki kuendesha serikali kwa udanganyifu na ulaghai wakati anajuwa mwisho wa siku ukweli hujitenga na uongo.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Shetani ameandika ushetani kwa Watanzania. Joka la kijani. Mungu chukua shetani huyu haraka. Shetani kaleta ujinga kwa Watanzania. Kama ni mvua na ukarabati wa mitambo kwanini kamtoa waziri na mkurugenzi? Yamefilisi shirika na kuhujumu leo yanakuja na maneno mepesi. Aibu yako shetani wewe uliyelaaniwa na mwenyezi mungu.
 
Mwakani mgao wa umeme unakwenda kubaki katika vitabu vya kumbukumbu na hata hao Kenya tutawauzia Umeme kwa bei nzuri tu.
Haya endeleeni tu kutudanganya, sijui kama anaikumbuka / unaikumbuka hii kauli.
JamiiForums-599143275.jpg


Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom