Hotuba ya Rais Samia yalituliza Taifa na Kukata kiu ya Watanzania juu ya changamoto ya umeme

Hotuba ya Rais Samia yalituliza Taifa na Kukata kiu ya Watanzania juu ya changamoto ya umeme

Kwa hiyo unatuaminisha kuwa mama SSH ni mhandisi mbobevu? Hivi kwa akili ya kawaida unaweza kutumia miundombinu ya umeme bila maintenance na umeme ukapatikana? Hii laana ya ukame imekuja baada ya mama kuwateua wateule wapya Tanesco na Wizara ya Nishati...
Kinyerezi I, II, III na IV zote zinafanya kazi? Kama kuna ambazo hazifanyi waulize TANESCO kwanini?
 
Maintenance miaka 3? Tangu January makamba ameingia Alianza na maintenance, juzi tena mtu kapewa miezi sita zaidi duh....
Wewe unaongea kijinga kama mwendazake, watu wapo kwenye solar, wind na hybrid power storage hivi sasa, siyo vi jenereta uchwara.
 
Wewe unaongea kijinga kama mwendazake, watu wapo kwenye solar, wind na hybrid power storage hivi sasa, siyo vi jenereta uchwara.

Ww ndio ujui lolote pamoja na ukongwe wako humu ndani,

Exposure yako haijakusaidia anything

Na watu wa Aina yako ndio wanafanya viongozi watuonea wanainchi wote ni wajinga tu,

Hiyo ela ya kufanya hizi project za solar winds na hybrid power mnayo?

Nyie ndio mnadanganya watu serikali itauza umeme east Africa wakati humu ndani Tu ni kimbembe
 
Ww ndio ujui lolote pamoja na ukongwe wako humu ndani,

Exposure yako haijakusaidia anything

Na watu wa Aina yako ndio wanafanya viongozi watuonea wanainchi wote ni wajinga tu...
Mbona unabwabwaja na kuhororoja bila mpango?

The Kishapu Solar Power Station is a proposed 50 MW (67,000 hp) solar power plant in Tanzania. The power station is under development by Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO), the national electricity monopoly utility company. The energy will be integrated into the national grid, also operated by TANESCO.
 
Mbona unabwabwaja na kuhororoja bila mpango?

The Kishapu Solar Power Station is a proposed 50 MW (67,000 hp) solar power plant in Tanzania. The power station is under development by Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO), the national electricity monopoly utility company. The energy will be integrated into the national grid, also operated by TANESCO.


Hata mkataba wa tanzania kuuza umeme wa gesi east Africa ulishasainiwa

Unaangaika na maandishi haya?

Africa maandishi si kawaida Tu?

Kwenye maandishi pale mwenge kuna fly over

Kwenye maandishi Tanzania ni zaidi ya dubai
 
Hata mkataba wa tanzania kuuza umeme wa gesi east Africa ulishasainiwa

Unaangaika na maandishi haya?

Africa maandishi si kawaida Tu?

Kwenye maandishi pale mwenge kuna fly over

Kwenye maandishi Tanzania ni zaidi ya dubai
Uko wapi huo mkataba?
 
Uko wapi huo mkataba?

Ngoja nikutafutie,

Achana na mambo ya maandishi Kwa hizi inchi za Africa

Kuandika ni easy Sana but ground hamna kitu

Utakaa miaka 20 ujaona hiyo ishu ya solar ikiwa inafanya kazi

Umesahau Dr mwakyembe alishasaini mkataba wa umeme wa upepo singida?

Uko wapi huo umeme leo.?
 
Hata mkataba wa tanzania kuuza umeme wa gesi east Africa ulishasainiwa

Unaangaika na maandishi haya?

Africa maandishi si kawaida Tu?

Kwenye maandishi pale mwenge kuna fly over

Kwenye maandishi Tanzania ni zaidi ya dubai
Uko wapi huo mkataba?
 
mwendazake alikuwa hafahamu maana ya "maintanance" ni nini.
Huyu sasa anajua ni kiboko kwa kutuletea mzee wa vingamuzi na mzee wa BRN

Mwisho wa siku anangaika nao mara TTCL, mara Posta masta, na yule wa BRN anampeleka wapi
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo Rais samia Amekata kiu ya watanzania na kulituliza Taifa ambapo muda mwingi walikuwa wanataka kusikia kauli yake juu ya changamoto ya kukatika kwa umeme. Kwa utulivu ,upole,uthabiti na uimara wa hali ya juu sana amelieleza Taifa sababu ya chagamoto hiyo na mikakati ya serikali yake kuimaliza. Ameliambia Taifa kuwa hali hiyo imetokana na serikali kufanya ukarabati na matengenezo ya mitambo ambayo ilikuwa haijafanyiwa matengenezo kwa muda mrefu. Hivyo serikali inalazimika kuzima mingine na kuwasha mingine ambayo inakuwa haitoshelezi umeme unaohitajika.

Lakini pia Amelieleza Taifa kuwa mabadiliko ya hali ya hewa yameathiri uzalishaji wa umeme kutokana na nchi kukumbwa na ukame kwa baadhi ya maeneo na hivyo maji yanayohitajika katika mabwawa yetu kuwa pungufu.Hata hivyo ameelezea jitihada za serikali yake kumaliza changamoto hiyo ambayo itabakia historia katika Taifa letu baada ya miezi sita tu. Ambapo kwa sasa serikali inajitahidi kuongeza na kutumia vyanzo vingine vya umeme kama vile umeme wa gas na jua.

Naamini watanzania wenzangu sote ni mashahidi wa namna jua linavyowaka kwa kipindi hiki na namna maeneo mengi yanavyoendelea kuwa kame na kukauka maji .sote tunakubaliana na ukweli kuwa hata shughuli za uchumi zinazotegemea umeme zimeongezeka kwa kiasi kikubwa sana kutokana na kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi wetu, unaotokana mazingira mazuri na sera nzuri za serikali yetu katika kuchochea ukuaji wa uchumi na Biashara.

Tuendelee kuwa wavumilivu katika miezi hiyo sita ambayo mh Rais na serikali yake wanaendelea kupambana kuimarisha hali ya upatikanaji wa umeme nchini ,lakini pia Tuendelee kumuomba Mungu atuletee mapema mvua zenye baraka zisizo na madhara zitakazo jaza mabwawa yetu.lakini pia tukumbuke pia mwakani bwawa la mwalimu Nyerere litaanza nalo uzalishaji wa umeme na hivyo kufanya Taifa kuwa na umeme wa kutosha na mwingine kuuza nje ya nchi kama vile kenya na nchi nyingine zenye uhitaji wa umeme.

Rais samia ni kiongozi mkweli sana ,Ni kiongozi ambaye anaendana na Baba wa Taifa Hayati mwalimu Nyerere ambaye alikuwa haoni haya kuusema ukweli kutwambia watanzania,kama ambavyo amewahi kutuambia kuwa Tufunge Mikanda. Huo ndio uongozi na huo ndio uungwana .Rais samia Hataki kuendesha serikali kwa udanganyifu na ulaghai wakati anajuwa mwisho wa siku ukweli hujitenga na uongo.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Hotuba imewatuliza watu wasio na akili kamili na uwezo wa kuiona kesho
 
Siyo wote hawana akili kama ilivyo wewe. Hili siyo jukwaa la wahuni au watoto wakuburuzwa kama mikokoteni ya ng'ombe ,watu wana utashi wkna akili za kuchambua mambo na siyo kuwafundisha kipi wasome na kipi wasisome. Watu wanasoma mada na siyo mtu au sura ya mtu. Ukitaka huo ujinga wako basi nenda facebook ndio utakutana na wajinga aina yako wenye akili fupi kama zako na watakuunga mkono.
Yaani hata uongee mpaka asubuhi hakuna asiyejua kwamba ww Mwashambwa ni binadamu mwanamke wa kwanza kwa kuwa na ubongo mdogo kama wa nguruwe ndio maana huna hoja zaidi kuwa chama tu wa mama yako huyo.Endelea kusifia.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo Rais samia Amekata kiu ya watanzania na kulituliza Taifa ambapo muda mwingi walikuwa wanataka kusikia kauli yake juu ya changamoto ya kukatika kwa umeme. Kwa utulivu ,upole,uthabiti na uimara wa hali ya juu sana amelieleza Taifa sababu ya chagamoto hiyo na mikakati ya serikali yake kuimaliza. Ameliambia Taifa kuwa hali hiyo imetokana na serikali kufanya ukarabati na matengenezo ya mitambo ambayo ilikuwa haijafanyiwa matengenezo kwa muda mrefu. Hivyo serikali inalazimika kuzima mingine na kuwasha mingine ambayo inakuwa haitoshelezi umeme unaohitajika.

Lakini pia Amelieleza Taifa kuwa mabadiliko ya hali ya hewa yameathiri uzalishaji wa umeme kutokana na nchi kukumbwa na ukame kwa baadhi ya maeneo na hivyo maji yanayohitajika katika mabwawa yetu kuwa pungufu.Hata hivyo ameelezea jitihada za serikali yake kumaliza changamoto hiyo ambayo itabakia historia katika Taifa letu baada ya miezi sita tu. Ambapo kwa sasa serikali inajitahidi kuongeza na kutumia vyanzo vingine vya umeme kama vile umeme wa gas na jua.

Naamini watanzania wenzangu sote ni mashahidi wa namna jua linavyowaka kwa kipindi hiki na namna maeneo mengi yanavyoendelea kuwa kame na kukauka maji .sote tunakubaliana na ukweli kuwa hata shughuli za uchumi zinazotegemea umeme zimeongezeka kwa kiasi kikubwa sana kutokana na kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi wetu, unaotokana mazingira mazuri na sera nzuri za serikali yetu katika kuchochea ukuaji wa uchumi na Biashara.

Tuendelee kuwa wavumilivu katika miezi hiyo sita ambayo mh Rais na serikali yake wanaendelea kupambana kuimarisha hali ya upatikanaji wa umeme nchini ,lakini pia Tuendelee kumuomba Mungu atuletee mapema mvua zenye baraka zisizo na madhara zitakazo jaza mabwawa yetu.lakini pia tukumbuke pia mwakani bwawa la mwalimu Nyerere litaanza nalo uzalishaji wa umeme na hivyo kufanya Taifa kuwa na umeme wa kutosha na mwingine kuuza nje ya nchi kama vile kenya na nchi nyingine zenye uhitaji wa umeme.

Rais samia ni kiongozi mkweli sana ,Ni kiongozi ambaye anaendana na Baba wa Taifa Hayati mwalimu Nyerere ambaye alikuwa haoni haya kuusema ukweli kutwambia watanzania,kama ambavyo amewahi kutuambia kuwa Tufunge Mikanda. Huo ndio uongozi na huo ndio uungwana .Rais samia Hataki kuendesha serikali kwa udanganyifu na ulaghai wakati anajuwa mwisho wa siku ukweli hujitenga na uongo.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
 

Attachments

  • Ins_-651006723.mp4
    3.6 MB
Kipindi chote cha JPM kwa miaka 5+ kulikuwa na mafuriko ya mvua na mito kujaa? Hii 'laana' ya ukame tumeipata miaka hii miwili iliyopita?

Miundo mbinu ya umeme kama ingekuwa haikarabatiwi kwa miaka mitano yote tungemaliza miaka mitano bila shida ya umeme?

Vv

Sent from my SM-A045F using JamiiForums mobile app
Mradi wa Kikwete wa Kinyerezi I, II, III IV kaukuta mpya kabisa (brand new). Hizo zikifanya kazi tatu tu, huna haja ya umeme wa maji.

Au umesahau? Kama hujasahau jiulize kwanini asifanye "maintanance" huko kwa miaka yake yote mitano?
 
Huyu sasa anajua ni kiboko kwa kutuletea mzee wa vingamuzi na mzee wa BRN

Mwisho wa siku anangaika nao mara TTCL, mara Posta masta, na yule wa BRN anampeleka wapi
Reconcile Resilience Reform and Rebuilding.


Ukiielewa falsafa hiyo hutopata shida.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo Rais samia Amekata kiu ya watanzania na kulituliza Taifa ambapo muda mwingi walikuwa wanataka kusikia kauli yake juu ya changamoto ya kukatika kwa umeme. Kwa utulivu ,upole,uthabiti na uimara wa hali ya juu sana amelieleza Taifa sababu ya chagamoto hiyo na mikakati ya serikali yake kuimaliza. Ameliambia Taifa kuwa hali hiyo imetokana na serikali kufanya ukarabati na matengenezo ya mitambo ambayo ilikuwa haijafanyiwa matengenezo kwa muda mrefu. Hivyo serikali inalazimika kuzima mingine na kuwasha mingine ambayo inakuwa haitoshelezi umeme unaohitajika.

Lakini pia Amelieleza Taifa kuwa mabadiliko ya hali ya hewa yameathiri uzalishaji wa umeme kutokana na nchi kukumbwa na ukame kwa baadhi ya maeneo na hivyo maji yanayohitajika katika mabwawa yetu kuwa pungufu.Hata hivyo ameelezea jitihada za serikali yake kumaliza changamoto hiyo ambayo itabakia historia katika Taifa letu baada ya miezi sita tu. Ambapo kwa sasa serikali inajitahidi kuongeza na kutumia vyanzo vingine vya umeme kama vile umeme wa gas na jua.

Naamini watanzania wenzangu sote ni mashahidi wa namna jua linavyowaka kwa kipindi hiki na namna maeneo mengi yanavyoendelea kuwa kame na kukauka maji .sote tunakubaliana na ukweli kuwa hata shughuli za uchumi zinazotegemea umeme zimeongezeka kwa kiasi kikubwa sana kutokana na kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi wetu, unaotokana mazingira mazuri na sera nzuri za serikali yetu katika kuchochea ukuaji wa uchumi na Biashara.

Tuendelee kuwa wavumilivu katika miezi hiyo sita ambayo mh Rais na serikali yake wanaendelea kupambana kuimarisha hali ya upatikanaji wa umeme nchini ,lakini pia Tuendelee kumuomba Mungu atuletee mapema mvua zenye baraka zisizo na madhara zitakazo jaza mabwawa yetu.lakini pia tukumbuke pia mwakani bwawa la mwalimu Nyerere litaanza nalo uzalishaji wa umeme na hivyo kufanya Taifa kuwa na umeme wa kutosha na mwingine kuuza nje ya nchi kama vile kenya na nchi nyingine zenye uhitaji wa umeme.

Rais samia ni kiongozi mkweli sana ,Ni kiongozi ambaye anaendana na Baba wa Taifa Hayati mwalimu Nyerere ambaye alikuwa haoni haya kuusema ukweli kutwambia watanzania,kama ambavyo amewahi kutuambia kuwa Tufunge Mikanda. Huo ndio uongozi na huo ndio uungwana .Rais samia Hataki kuendesha serikali kwa udanganyifu na ulaghai wakati anajuwa mwisho wa siku ukweli hujitenga na uongo.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Nonsense
 
Hapana sijipendekezi bali naandika ukweli kuwa Rais samia anapendwa sana na mamilioni ya watanzania,ndio maana Anaendelea kuungwa mkono na watanzania wa kila rika na kila kundi
Pamoja na kuonekana Poyoyo! Jifunze basi kuandika Jina lake kwa adabu ya herufi kubwa unajionyesha jinsi gani uko na akili ndogo! Kelele za chura!!
 
Back
Top Bottom