Uchaguzi 2020 Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Juni 08, 2020

Uchaguzi 2020 Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Juni 08, 2020

Of course hayawezi kuwa ya kweli kwa mtu mwenye uelewa mdogo kama wako.

Nchi sio mali ya Rais, ni ya waTanzania. Hilo ndilo gumu kwako kulielewa na kukufanya uonekane kioja.

Watu kama wewe mpo wengi ndani ya nchi hii, na limekuwa tatizo kubwa sana kwetu sote.
Yeye akiyanadi hayo anayosema, hawezi maliza miaka 5, je yuko tayari?
 
Ukitaka kunywa sumu
Uyu aliyesema Tanzania tutashtakiwa MIGA!!Uyu aliyekua akishawiahi wananchi wa jimbo lake wasichangie ujenzi wa vyumba vya madarasa na maabara!!! Uyu aliyesema Mwalimu Nyerere ni Dikteta!! Uyu aliye lamba viatu vya Lowasa!! Una maanisha Tanzania ilikua ikimsubiri yeye ili ipae? Chadema imeamua kuwa tusi wa Tanzania, basi wananchi tunasema Asante , tukutane kwenye sanduku la kura.

Sent from my moto g(7) play using JamiiForums mobile app
 
Afadhali watoto wadogo wanatumiaga akili za kuzaliwa nazo kuliko nyinyi uvccm
Bwashee hivi hapa jukwani unafikiri pana watoto wadogo sana.?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kuhusu kuhamia Dodoma sijasikia, atarudisha makao makuu Dar?
 
Wera wera wera wera wera wera wera wera wera wera wera wera wera wera wera wera wera wera wera wera wera
Mmmmh.. yaani nyinyi wanasaccos nafikiri kwenye vichwa vyenu hamna akili kabisa kuna makamasi tu. Yaani Tundu awe Rais wa Tanzania kama ameshindwa Lowassa!! Ngoja apate pesa za wajinga!
 
"Fungo wa Kimataifa"

"Sisi tuendelee kujifanya kisiwa katika bahari pana ya mahusiano ya diplomasia ya kimataifa,? au tutajirudi na kutambue kwamb sisi ndiyo tunaihitaji dunia kuliko dunia inavyotuhitaji sisi".

Nimesikiliza hotuba yote mwanzo mwisho, nimesoma hotuba yake mwanzo mwisho inatosha kusema kuwa watanzania wanamuhitaji zaidi Lisu kuliko Lisu anavyowahitaji watanzania.

Mungu ibariki Tz, Mungu ibarika Afrika.
 
"Fungo wa Kimataifa"

"Sisi tuendelee kujifanya kisiwa katika bahari pana ya mahusiano ya diplomasia ya kimataifa,? au tutajirudi na kutambue kwamb sisi ndiyo tunaihitaji dunia kuliko dunia inavyotuhitaji sisi".

Nimesikiliza hotuba yote mwanzo mwisho, nimesoma hotuba yake mwanzo mwisho inatosha kusema kuwa watanzania wanamuhitaji zaidi Lisu kuliko Lisu anavyowahitaji watanzania.

Mungu ibariki Tz, Mungu ibarika Afrika.
Hopeless labda unamhitaji wewe lakini siyo watz!
 
Back
Top Bottom