Hotuba ya Waziri wa Ulinzi wa Israel Yoav Gallant. Dalili za kwanza za kukubali kushindwa vita

Hotuba ya Waziri wa Ulinzi wa Israel Yoav Gallant. Dalili za kwanza za kukubali kushindwa vita

Kwenye habari wenye akili mara zote wanaangalia vitu vitatu..

1. CREDIBBLE SOURCE

2. RELIABLE SOURCE

3.AUTHOURITATIVE

Hivi vingine ni taka taka tu maana habari kama hii haina kichwa wala miguu hata mimi naweza kuandika tu na kamwe haiwezi kuitwa habari hii ndiyo inayoitwa PROPAGANDA au MATANGO PORI!!!. Ukitaka kujua vizuri utaona kwenye mitandao Hezbollah wanashinda vita lakini On the Ground Hezbollah wanachapoka ile mbaya. Haya ni maneno tu ya kujifariji ambayo hayapunguzi chochote kwenye uwanja wa Mapambano.
Mbona unaiga maneno yetu ? Maana nyie ndio kila siku propaganda
Wataka tuiamin CNN ambayo hata huyo Trump anaita fake news
Hatuezi tegemea vyombo vya adui akupe habar zilizo sawa hata cku moja
 
Wa Israel mpaa leo wanaitafuta
Solomon's Temple wao wanammuita King Solomon. Wameisha mulika kwa tochi mpaa chini ya Masjid Al Aqsa hawajapata hio Salomon's Temple. Sababu hakuwahi kujenga Temple ali rudia ku ujenga Masjid Al Aqsa. Hawa Wayahudi vichaa kweli kama hawa tulionao hapa wayahudi weusi. Wanatulazimisha watupe bikra 72 za kutoka kanisani 😄
Hahahahahahaha aisee mkuu umeshtuka hutak vitu toka kwa mwamposa
 
Ndio Bikira 72 ni wachache sana, tuliona hapa Dunian mfalme Selemani alikuwa na wanawake 700, na aliishi nao , sasa iweje 72 iwe uongo? ebu acha wivu wewe muimba kwaya
😂😂😂😂😂
Hivi kumbe ni kweli kuna watu wanaamini story za mudi za mabikra 72 na mito ya pombe? Binafsi nilikuwa najua ni utani tu, jamaa umetisha, eti mbona ni wachache, ama kweli mudi bingwa
 
shetani ndiye mnywa damu za watu. Vita zote duniani kote huratibiwa na Ibilisi. Majeshi yote duniani yako chini ya shetani katika kutimiza azma yake
 
😂😂😂😂😂
Hivi kumbe ni kweli kuna watu wanaamini story za mudi za mabikra 72 na mito ya pombe? Binafsi nilikuwa najua ni utani tu, jamaa umetisha, eti mbona ni wachache, ama kweli mudi bingwa
Sasa kwanini tusiamini bikra 72 wakati kuna mtu alikuwa na wanawake 700 hapa hapa Duniani!!!kama mtu anaamin Mungu anaweza kushuka duniani kuja kutundikwa kama KORODANI na binadamu alio waumba mwenyewe, sasa bikra 72 zina shida gani?😂😂😂
 
Sasa kwanini tusiamini bikra 72 wakati kuna mtu alikuwa na wanawake 700 hapa hapa Duniani!!!kama mtu anaamin Mungu anaweza kushuka duniani kuja kutundikwa kama KORODANI na binadamu alio waumba mwenyewe, sasa bikra 72 zina shida gani?😂😂😂
Sawa mkuu, so huko mbinguni mnaenda na miili yenu kwa ajili ya kuwashughulikia hao mabikra au mnaendaje endaje? Pia vp kuhusu undugu wenu na majini?
 
Sawa mkuu, so huko mbinguni mnaenda na miili yenu kwa ajili ya kuwashughulikia hao mabikra au mnaendaje endaje? Pia vp kuhusu undugu wenu na majini?
Hapana itaboreshwa zaidi kwasababu kule ni jambo la milele, ni kula rahaaa kufa hakuna wala uchovu wala maradhi, kuhusu majini ni viumbe tu kama viumbe wengine wala hakuna undugu wowote, kwani mkuu na wewe una amini Mungu wako alikuja duniani kutundikwa na binadamu alio waumba mwenyewe?
 
Screenshot_2024-10-26-18-45-46-676_com.twitter.android.jpg
Screenshot_2024-10-24-21-30-27-414_org.mozilla.firefox~2.jpg
Screenshot_2024-10-23-14-48-25-101_com.google.android.googlequicksearchbox~2.jpg
Screenshot_2024-10-18-08-28-31-140_com.google.android.googlequicksearchbox~2.jpg
 
Hapana itaboreshwa zaidi kwasababu kule ni jambo la milele, ni kula rahaaa kufa hakuna wala uchovu wala maradhi, kuhusu majini ni viumbe tu kama viumbe wengine wala hakuna undugu wowote, kwani mkuu na wewe una amini Mungu wako alikuja duniani kutundikwa na binadamu alio waumba mwenyewe?
Hilo ni jambo la kiimani mkuu, sasa kama duniani mnaambiwa msinywe pombe inakuwaje mnaambiwa mkifa mtapewa pombe
 
Wanaukumbi.

Mambo yamekuwa magumu kwa Israel, sasa wanataka makubaliano hamna tena habari za malengo ya Netanyahu.

Nguvu sio kiini cha kila kitu
Kutambua wajibu wetu wa kimaadili na kimaadili kuwaleta mateka wetu nyumbani
itabidi kufanya makubaliano yenye uchungu
"Sio malengo yote
inaweza kupatikana kupitia operesheni za kijeshi peke yake.
=========================
Power is not the essence of everything
To realise our moral and ethical duty to bring our hostages home
will have to make painful concessions
"Not all objectives
can be achieved through military operations alone.


View: https://x.com/kahlissee/status/1850682346976018580?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


View: https://youtu.be/CC6e6W5j1jU?si=MwAxv_VZ0hWS22wB


View: https://twitter.com/AvichayAdraee/status/1851322470361383055?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1851322470361383055%7Ctwgr%5E0b31deb0dc190e89d9458fbe0f2f366f098e9ddd%7Ctwcon%5Es1_&ref_url=https%3A%2F%2Fwww.lbcgroup.tv%2Fnews%2Flebanon-news%2F810854%2Fisraels-army-claims-capture-of-hezbollah-commander-in-aita-al-shaab-ha%2Fen
 
Back
Top Bottom