Hotuba za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Hotuba za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Ukiona mtu kabla hajaongea analotaka kuongea akajikuna kichwa, ujuwe hizo ni porojo.

Wewe unachuki kali sn kwa Nyerere, na chuki yako ni ya kurithi, haitakuja kwisha. Jaribu/jifunze kusamehe na kusahau, yeye kesha kufa hata ukimchukia haitasaidia wala haitabadirisha yaliyoshatokea zaidi unajipa maumivu ya moyo, achana nayo hayo.
 
Wewe unachuki kali sn kwa Nyerere, na chuki yako ni ya kurithi, haitakuja kwisha. Jaribu/jifunze kusamehe na kusahau, yeye kesha kufa hata ukimchukia haitasaidia wala haitabadirisha yaliyoshatokea zaidi unajipa maumivu ya moyo, achana nayo hayo.

Kwanza wewe jifunze kuienzi lugha yako ya Taifa, anzia kwa kuandika Kiswahili ipasavyo.
 
Naona kama unazaidi ya uongozi wake huyu mzee, sababu hao waliopigwa detention hata wewe huna uhakika nao. Kuhusu kucheka katika hotuba zake ni kwamba hadi leo hii watu wakisikiliza hizi hotuba utakuta wanacheka, inamaana bado wanamuogopa?

Wngi tu, hilo wala usiwe na shaka, mmoja wao ni Kassim Hanga, kapigwa detention akapotezewa hukohuko. Haina haja ya kuwataja wengine ni kujiongezea maumivu tu. Nakutajia huyo mmoja kwa kuwa alikuwa ni waziri huyo.

Si wanafatilisha wanaocheka? (Laughter is contagious).
 
Kikwete si dikteta kawaachia muamue Watanzania million 45.

Ametuachia vp tuamue na amekataa Maoni ya tume aliyoiteua kwa kigezo cha Takwimu Zina Makengeza??
Hapa ndipo nashindwa kukuelewa Msimamo wako...
Ccm hawaitaki Tanganyika kama ambavyo Nyerere unavyoidai aliiiua..
Sasa si useme UPO UPANDE WA UKAWA TU..?
 
Ametuachia vp tuamue na amekataa Maoni ya tume aliyoiteua kwa kigezo cha Takwimu Zina Makengeza??
Hapa ndipo nashindwa kukuelewa Msimamo wako...
Ccm hawaitaki Tanganyika kama ambavyo Nyerere unavyoidai aliiiua..
Sasa si useme UPO UPANDE WA UKAWA TU..?

Mnakazi ngumu sana ya kujibizana na Feiza juu ya Nyerere, hatamngeongea mazuri kiasi gani dada yangu huyu ni kama ameshaamua kumdharau Nyerere sidhani kama ni udikteta tu anaosema Nyerere alikuwa nao ni zaidi ya huo wengi huusisha na dini yake hasa kwa dhehebu lake Catholic. Na mara nyingi akishindwa hoja dada yangu huyu hukimbilia kurekebisha maneno kadhaa ya kiswahili uliyoyatumia kwenye hoja husika na kupotea kwa mtindo huo na huwezi kumkosa kwenye uzi wowote unao mzungumzia mwalimu iwe kwa mazuri au mabayo ana CHUKI ya asili.

BACK TANGANYIKA
 
Hata hivyo najua umenielewa tu.

Mkuu huyu dada amekuelewa vizuri sana, ila ameshindwa akujibu nini ili kukanusha ukweli ulio uandika na ndivyo alivyo hata mimi sijaona makosa yoyote katika sentesi aliyo i bold huyu tunamfahamu asikupe shida.

BACK TANGANYIKA
 
Mkuu Nape na wenzie wanaijua vizuri sana ila maksudi tu! Naona mwl hakuwa mgumu wa kusoma nyakati kwani aliwatahadharisha kuwa pamoja na kuwa CCm ndiyo chama chake, wananchi wanachotaka ni mabadiliko na yasipopatikana CCM yatapatikana nje (Kumbuka ndo vyama vingi vilikuwa vimeanzishwa punde). Kero kubwa za wananchi aliacha ziko adressed kabisa. Pia sijawahi kuona hotuba ya huyu mzee akihutubia bila kucheka ila hii mwanzo hadi mwisho, nafikiri ni kwa kuwa alikuwa anaongelea mambo sensitive na sura inaonesha anamaanisha. R.I.P Mwl.

Kwa sasa kiongozi kama yeye hakuna.Na ndiyo maana 90% ya viongozi wetu wako kimaslahi zaidi.Na hii clip ni kama klorokwin/kwinini,hivyo ni sisi watanzania tu ndiyo wenye uwezo wa kubadili hilo.
 
Daaaaah kuna watu sumu ya r.i.p ilunga imewaingia mpaka kwenye ukucha ukizngatia sana hoja zao zina dhana ya udini ndani yake
 
Mnakazi ngumu sana ya kujibizana na Feiza juu ya Nyerere, hatamngeongea mazuri kiasi gani dada yangu huyu ni kama ameshaamua kumdharau Nyerere sidhani kama ni udikteta tu anaosema Nyerere alikuwa nao ni zaidi ya huo wengi huusisha na dini yake hasa kwa dhehebu lake Catholic. Na mara nyingi akishindwa hoja dada yangu huyu hukimbilia kurekebisha maneno kadhaa ya kiswahili uliyoyatumia kwenye hoja husika na kupotea kwa mtindo huo na huwezi kumkosa kwenye uzi wowote unao mzungumzia mwalimu iwe kwa mazuri au mabayo ana CHUKI ya asili.

BACK TANGANYIKA
Mkuu unaonaje tukiamua kuwa huyu dada ni mwl wa kiswahili hasa katika taasisi/shule ya dini?
 
Mkuu unaonaje
tukiamua kuwa huyu dada ni mwl wa kiswahili hasa katika taasisi/shule ya
dini?

Inaweza ikawa ni kweli na mimi sikupingi moja kwa moja kwa hilo,lakini hapa ndani kila mtu anakosea mara nyingi huwa kuna error typing kibao hata kwa yeye mwenyewe. Ila mwenzio hutumia kigezo hicho kwa kuficha udhaifu wa hoja zake, hapo tu mimi ndio nina shida napo.

BACK TANGANYIKA
 
Hizo ni hypothesis, "ange...". Yeye ndio aliyeiuwa na kila aiyeongelea hilo amma alipotezwa amma alisulubiwa, Jikumbushe, Kassim Hanga, Aoud Jumbe n wengineo.

Huyo Mzee alikuwa ni ndumila kuwili na porojo nyingi, alipoongea alijichekesha na watu walijichekesha hata pasipochekesha, kwa uoga tu wa udikteta wake.

To me he is nothing but porojo.

Huna lolote wewe udini tu ndio unakusumbua.
 
Vipi Lissu, aliyesema huyo ni muongo, nae ni mdini?

Hamna kiongozi msafi Tanzania, kwani baada ya nyerere ni maraisi wangapi wameshapita. Hali inazidi kua mbaya kila siku kisa watu wamemkariri Nyerere. Hii nchi tuliachiwa viwanda vingapi wakati Nyerere anatoka madarakani, elimu ilikuaje kipindi hicho. Mfumuko wa bei ulikuaje kipindihicho, heshima ilikuaje na mengine mengi tu. Lakini hapa watu watakuja watamlaumu Mkapa na Nyerere. Watanzania tunapenda sana kutoa lawama. Nyerere ameondoka madarakani lini na sisi tunaidai Tanganyika lini. Miaka yote imepita tunalialia tu. Huyo Lissu na wengine wote walikua wapi. Ni mtikila tu ndio anayeililia Tanganyika.
 
Vipi Lissu, aliyesema huyo ni muongo, nae ni mdini?
Leo Lisu unamuona wa maana kisa kamkosoa Nyerere; kwa taarifa yako mtazamo wako haufanani na wa Lisu kuhusu Nyerere kwani anamkubali na anamheshimu ila yuko tayari kukosoa pale aonapo mapungufu tofauti na wewe unayeonesha dharau. Punguza ubaguzi. Mkuu benteke huyu mama asubiri siku wakristu wakioa mwanae (kama Mungu kamjalia wa kike), atakoma kuringa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom