The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Kwanza hakuajiri watumishi wa kutosha kwenye sekta ya Afya na pia kwa miaka 5 alijenga vituo vya afya 304 na hospital 77 ambazo zilikuwa majengo tuu bila watumishi wala vitendea kazi.MBWA nyie huyo jiwe mbona hakutengeneza mifumo ambayo ingedumu vizazi na vizazi by the way hata enzi zake hakuna kilichokua kimebadilika.
Toa utaahira wako, kipindi cha Jiwe hadi chanjo za watoto ziliadimika achilia mbali condom..Mbona uko na hasira mkuu! Unadhani mchango wako huu unaendana na bandiko la Uzi huu
Watu waongew tuu ukweli kwamba Jiwe aliharibu sekta ya Afya,hakuajiri kabisa kiasi kwamba sasa hivi ndio SSH anahangaika kupunguza uhaba kwa ajira za wataalamu zaidi ya 15,000 kwa mpigo..daktari mmoja wagonjwa 200 unategemea huduna nzuri hapo?
Tujitahid kutoa taarifa za kina, taja jina la hospitali ili wahusika waamini kuwa ni kweli na sio uzushi vinginevyo inaonekana ni uzushiHali ni mbaya katika hospital za serikali,
Huduma ni za taabu sana, Jamani, binadamu kukaguliwa na homa, ni hali ya kawaida, Ila Inapotokea hali hiyo mtu umekaguliwa, basi angalau ukutane na huduma ya haraka!
Kwa sasa, mgonjwa kukaa masaa 6 mapokezi ni hali ya kawaida na masaa manne akisubiri vipimo ni hali ya kawaida! Na ninpoongea hili Niko hospitali moja ya (W) na ninayoandika haya, ndiyo nayaona na yananitokea nikiwa na mgonjwa akiwa na hali mbaya sana, nimefika SAA 1:30 mpaka muda huu wa SAA 4:53 bado sjahudumiwa chochote! Inauma sana!
Na Kwa macho yangu nikiwa hapa hapa, kaletwa mgonjwa, Kwa huduma kucheleweshewa, amefariki akiwa mapokezi! Maana yake inaonyesha hali hii imekita mizizi! Hili halikubaliki jamani.
Hali hii inaweza kumfanya mgonjwa afie mapokezi au akisubiri kipimo Kwa muda mrefu, na inakuwa mtu akiwa na mtu anayefahamiana naye, unaona tuu anachukuliwa katikati ya foleni, Mara tu unaona anatoka amekwisha hudumiwa,na hii hali, inashawishi utoaji wa rushwa!!
Wahudumu kupiga story wakiwa ofsini na wasijali kama kuna watu wanapaswa kuwahudumia imekuwa ni kawaida.
Lakini unajiuliza: Je, wao hali kama hiyo ikiwakuta na wao kutokuhudumiwa watajisikiaje?
Lakini, Kwa nini tunarudi nyuma kwenye kero ambazo tulikuwa tumeanza kuzisahau?
Je, Ni kweli sisi ni watu wa kusukumwa ili tufanye kazi na ndiyo maana ajira za nje zinatutema.?
Siyo kazi nyepesi kwenda kinyume na fikra za mwenyekiti.Mkuu, hatuwezi kubaki hapohapo tukiendelea kumlalamikia mtu ambaye hayuko nasi
Yatubidi tuwe watendaji kuliko kunung'unika
Niliyoandika ni sahihi, naamini pia kila mmoja wetu ni shuhuda wa haya, na ndiyo maana kuna mmoja huko katoa sababu za kuwa, watumishi huwa hawapendi kufanya kazi chini ya kiwango, inafanyika hivyo ni kwa sababu wahudumu mahosipitalini ni wachacheTujitahid kutoa taarifa za kina, taja jina la hospitali ili wahusika waamini kuwa ni kweli na sio uzushi vinginevyo inaonekana ni uzushi
Wauza ngada, vyeti feki, wafanyakazi hewa, wazembe na wezi, ni watu wapumbavu sana, na ndiyo hao hawawezi kumkumbuka, ila maumivu ya ujinga wao hawatamsahau mwamba! Na ndio hao wachaache wanaoshinda mitandaoni kumkashifu kiboko yaoNi wapumbavu tuu ndio watamkumbuka kwa sababu hakuna nafuu iliwahi jitokeza ikiwa ni pamoja na Serikali kung'ang'ania maiti Kisa wafiwa kushindwa kulipia,haya yalifanyika awamu ya 5.
Usisahau DCMC - DODOMANaishauri serikali waitumie hospital ya Ikonda Makete kama sehemu ya kufundishia customer care wahudumu wake kwa vitendo
I dare to say Ikonda Consolata Fathers Hospital is the cleanest and best caring place
Uharibifu wa jiwe unafahamika mbona!Watu waongew tuu ukweli kwamba Jiwe aliharibu sekta ya Afya,hakuajiri kabisa kiasi kwamba sasa hivi ndio SSH anahangaika kupunguza uhaba kwa ajira za wataalamu zaidi ya 15,000 kwa mpigo..
Jiwe alikuwa anasema anajenga sgr at expense of life of poor people .
Ushauri mzuri sana huuNaishauri serikali waitumie hospital ya Ikonda Makete kama sehemu ya kufundishia customer care wahudumu wake kwa vitendo
I dare to say Ikonda Consolata Fathers Hospital is the cleanest and best caring place
Kwani ulilazikishwa kuiba mithani we mjinga?Toa utaahira wako, kipindi cha Jiwe hadi chanjo za watoto ziliadimika achilia mbali condom..
Na watu hawakuthubutu kuongea wakihifia maisha zaidi ya pambio na taarabu za kitaahira.
Jiwe alikuwa analazimisha kuimbiwa ππKwani ulilazikishwa kuiba mithani we mjinga?
Ila mlchukia sana nyinyi vilaza vyeti feki!Jiwe alikuwa analazimisha kuimbiwa ππ
Ndio,unategemea mwenye akili timamu anaweza fanya huu ujinga wa Jiwe hapa chini?Ila mlchukia sana nyinyi vilaza vyeti feki!
Ni upumbavu tupuNdio,unategemea mwenye akili timamu anaweza fanya huu ujinga wa Jiwe hapa chini?
Kama unajua kusoma hii inakuhusu na yule taahira wenu π
Taahira umeshikwa pabaya π¬π¬π¬π¬,huo sasa ndio upumbavu mliokuwa mnafanya.Ni upumbavu tupu
Mkuu tutafika salama na majeraha mengiHali ni mbaya katika hospital za serikali,
Huduma ni za taabu sana, Jamani, binadamu kukaguliwa na homa, ni hali ya kawaida, Ila Inapotokea hali hiyo mtu umekaguliwa, basi angalau ukutane na huduma ya haraka!
Kwa sasa, mgonjwa kukaa masaa 6 mapokezi ni hali ya kawaida na masaa manne akisubiri vipimo ni hali ya kawaida! Na ninpoongea hili Niko hospitali moja ya (W) na ninayoandika haya, ndiyo nayaona na yananitokea nikiwa na mgonjwa akiwa na hali mbaya sana, nimefika SAA 1:30 mpaka muda huu wa SAA 4:53 bado sjahudumiwa chochote! Inauma sana!
Na Kwa macho yangu nikiwa hapa hapa, kaletwa mgonjwa, Kwa huduma kucheleweshewa, amefariki akiwa mapokezi! Maana yake inaonyesha hali hii imekita mizizi! Hili halikubaliki jamani.
Hali hii inaweza kumfanya mgonjwa afie mapokezi au akisubiri kipimo Kwa muda mrefu, na inakuwa mtu akiwa na mtu anayefahamiana naye, unaona tuu anachukuliwa katikati ya foleni, Mara tu unaona anatoka amekwisha hudumiwa,na hii hali, inashawishi utoaji wa rushwa!!
Wahudumu kupiga story wakiwa ofsini na wasijali kama kuna watu wanapaswa kuwahudumia imekuwa ni kawaida.
Lakini unajiuliza: Je, wao hali kama hiyo ikiwakuta na wao kutokuhudumiwa watajisikiaje?
Lakini, Kwa nini tunarudi nyuma kwenye kero ambazo tulikuwa tumeanza kuzisahau?
Je, Ni kweli sisi ni watu wa kusukumwa ili tufanye kazi na ndiyo maana ajira za nje zinatutema.?
Mkuu, hii pole inatuhusu sote, au wewe uko ng'ambo mkuu!Poleni sana na inasikitisha sana...