KERO Huduma ndani ya Treni za SGR zinasikitisha sana

KERO Huduma ndani ya Treni za SGR zinasikitisha sana

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hadi Sasa project in asilimia kubwa za ku fail kuliko kusonga mbele
 
Si wanapelekwa China na korea kupata mafunzo, yani unawachukua vijana walioko makambini wasomi waliopo Jkt kwa kujitolea unawaajili jeshini kisha unawapeleka kwenye mafunzo wakiludi wanapangiwa vituo vya kazi wakati huo Jkt unawapa usimazi, Waajiliwa wa sasa wa TRC unawapangia kazi nyingine au wanalipwa stahiki zao wanaacha nao.
Kwanini waajira wasipewe hayo mafunzo? Why JKT.
 
Waswahili wengi ni WEZI halafu wana ushamba.

Ukimuweka mswahili mahali lazima AIBE au atafute namna ya kupiga dili, kula RUSHWA, KUHARIBU na kuleta MATATIZO.

Huwezi kukutana na mswahili aliye HONEST, wengi vibaka vibaka tu.

Sijui ni NJAA au hawakufunzwa malezi na baba zao? Au tumerogwa?

Cc: FaizaFoxy Nyani Ngabu Mshana Jr DR Mambo Jambo chiembe ChoiceVariable Lucas Mwashambwa Stuxnet Dkt. Gwajima D
 
Serikali ya CCM hakuna kitu cha maana imewahi kukisimamia kikafanikiwa labda vitu vya hovyo kama mwenge

Na wale wafanyakazi wa sgr waliokuwa wanauza tiketi kwa bei ya juu wameacha au bado wanaendelea kulangua watu.
 
Mimi nashangaa sana watu wa serekali. Serekali haiwezi simamia mradi wwte lazima ufe ushahidi ni vifo vya mashirika ya uma
UWAJIBIKAJI na UFISADI ndio tatizo kuu nchi hii, linaanzia juu kabisa kwa viongozi mpaka hatua ya chini kabisa.

Ikitokea kati ya pesa kuingia serikalini ama apewe asilimia 30,20 hadi 10 ya hiyo pesa iingie mfukoni mwake, kwake ni bora apate cha mfukoni mwake kuliko serikali kupata.
 
Wabongo usimamizi na utunzaji ni sifuri.
 
Kuna huduma nyingi apa bongo ili ziwe bora zinahitaji ushindani
kwenye SGR wananchi hawana machaguo wanatumia kilichopo nimbaya
 
Habari zenu wana bodi ya Jamii Forum,
Napenda kuwajulisha kwamba nimeipanda SGR mara tatu na mara zote napanda mabehewa ya Business Class.
Hiyo treni ni nzuri kwa macho lkn kwa huduma ni sijapendezewa nazo sana katika maeneo yafuatayo:


1. Wao wametoa maelekezo kwamba abiria wa SGR haruhusiwi kuingia ndani ya treni akiwa na maji au chakula.

Ni sawa lkn kumbe katazo hili ni kwa abiria tu, kwa wafanyakazi wa railway ruksa kubeba hivyo vitu eti kikubwa awe na kitambulisho.

2. Ndani ya mabehewa katika maeneo ya kuwekea maji tayali yamekwishakatika na sikuona mtu yoyote anajali,

3. Katika safari mbili za SGR nilikua napewa beer kama sehemu ya huduma zitolewazo na shirika hilo bure, safari ya mwisho niliuziwa beer shiling elfu tano eti kwa maelekezo ya supervisor, TRC watuambie msimamo ni upi

4. Psychologia ya wafanyakazi wa shirika hilo hawatambui kwamba mradi huo ni wa garama kubwa na hivyo wanaendelea kufanya kazi kwa mazoea na sio kutokana na thamani ya mradi huo.

Jengo la Magufuli eneo la kusuburia ni kama Aircondition haipo kabisa kwani kuna joto la kufa mtu

5. Kutokana na mwitikio wa wananchi katika kutumia huduma hiyo, majengo yote sasa ni wazi kwamba yanatakiwa kuongezwa ukubwa,

6. Huduma hii ya SGR tutaiharibu kwa mikono yetu wenyewe.
ka

7. katika mifumo ya utokaji wa abiria katika vituo vyote, sijaona kama kuna mifumo ya kuzuia abiria wa Ngerengere asishuke Morogo au Dodoma.

Tumesikia shirika likijimwambafai kwamba wameingiza takribani 18 b inawezekana ni kweli, Je TRC haina madeni au katika fedha hizo ni kiasi gani cha mkopo kimekwisharudishwa kwa wadaai wetu.

Na mwisho, shirika lina mpango gani wa kuongeza maeneo ya kusubiria abiria kwa kuwa pesa zipo

Nawasilisha.
Kwa nchi kama Tanzania unakipia business class unataka kugundua nini? Business class na economy hazina utofauti kwa Tanzania zote ni class moja!
 
Kwa hoja yako ninashauri angalau kuwe na ajira ya mkataba mfupi, halafu utendaji ndio uwe kigezo cha kuongeza mkataba. Italeta tija. Hii zoa zoa hadi kustaafu unafanya watumishi wengi kutowajibika. Na kwa sekta nyingi za Umma watumishi wapo namna hii.
Ajira za serikali mkataba ni mpaka uzeeni
 
Habari zenu wana bodi ya Jamii Forum,
Napenda kuwajulisha kwamba nimeipanda SGR mara tatu na mara zote napanda mabehewa ya Business Class.
Hiyo treni ni nzuri kwa macho lkn kwa huduma ni sijapendezewa nazo sana katika maeneo yafuatayo:


1. Wao wametoa maelekezo kwamba abiria wa SGR haruhusiwi kuingia ndani ya treni akiwa na maji au chakula.

Ni sawa lkn kumbe katazo hili ni kwa abiria tu, kwa wafanyakazi wa railway ruksa kubeba hivyo vitu eti kikubwa awe na kitambulisho.

2. Ndani ya mabehewa katika maeneo ya kuwekea maji tayali yamekwishakatika na sikuona mtu yoyote anajali,

3. Katika safari mbili za SGR nilikua napewa beer kama sehemu ya huduma zitolewazo na shirika hilo bure, safari ya mwisho niliuziwa beer shiling elfu tano eti kwa maelekezo ya supervisor, TRC watuambie msimamo ni upi

4. Psychologia ya wafanyakazi wa shirika hilo hawatambui kwamba mradi huo ni wa garama kubwa na hivyo wanaendelea kufanya kazi kwa mazoea na sio kutokana na thamani ya mradi huo.

Jengo la Magufuli eneo la kusuburia ni kama Aircondition haipo kabisa kwani kuna joto la kufa mtu

5. Kutokana na mwitikio wa wananchi katika kutumia huduma hiyo, majengo yote sasa ni wazi kwamba yanatakiwa kuongezwa ukubwa,

6. Huduma hii ya SGR tutaiharibu kwa mikono yetu wenyewe.
ka

7. katika mifumo ya utokaji wa abiria katika vituo vyote, sijaona kama kuna mifumo ya kuzuia abiria wa Ngerengere asishuke Morogo au Dodoma.

Tumesikia shirika likijimwambafai kwamba wameingiza takribani 18 b inawezekana ni kweli, Je TRC haina madeni au katika fedha hizo ni kiasi gani cha mkopo kimekwisharudishwa kwa wadaai wetu.

Na mwisho, shirika lina mpango gani wa kuongeza maeneo ya kusubiria abiria kwa kuwa pesa zipo

Nawasilisha.
Mimi kinachoniboa ni li movie limoja kila siku
 
Uafrika hasa utanzania ni laana.

Waafrika hasa watanzania wana upumbavu wa milele.
 
Wakubwa nipeni ratiba ya hii chuma, soon natoka mwanza kwenda dsm nataka niishie Dodoma afu niunganishe na hii SGR. Na nauli zake pia kulingana na madaraja
 
Habari zenu wana bodi ya Jamii Forum,
Napenda kuwajulisha kwamba nimeipanda SGR mara tatu na mara zote napanda mabehewa ya Business Class.
Hiyo treni ni nzuri kwa macho lkn kwa huduma ni sijapendezewa nazo sana katika maeneo yafuatayo:


1. Wao wametoa maelekezo kwamba abiria wa SGR haruhusiwi kuingia ndani ya treni akiwa na maji au chakula.

Ni sawa lkn kumbe katazo hili ni kwa abiria tu, kwa wafanyakazi wa railway ruksa kubeba hivyo vitu eti kikubwa awe na kitambulisho.

2. Ndani ya mabehewa katika maeneo ya kuwekea maji tayali yamekwishakatika na sikuona mtu yoyote anajali,

3. Katika safari mbili za SGR nilikua napewa beer kama sehemu ya huduma zitolewazo na shirika hilo bure, safari ya mwisho niliuziwa beer shiling elfu tano eti kwa maelekezo ya supervisor, TRC watuambie msimamo ni upi

4. Psychologia ya wafanyakazi wa shirika hilo hawatambui kwamba mradi huo ni wa garama kubwa na hivyo wanaendelea kufanya kazi kwa mazoea na sio kutokana na thamani ya mradi huo.

Jengo la Magufuli eneo la kusuburia ni kama Aircondition haipo kabisa kwani kuna joto la kufa mtu

5. Kutokana na mwitikio wa wananchi katika kutumia huduma hiyo, majengo yote sasa ni wazi kwamba yanatakiwa kuongezwa ukubwa,

6. Huduma hii ya SGR tutaiharibu kwa mikono yetu wenyewe.
ka

7. katika mifumo ya utokaji wa abiria katika vituo vyote, sijaona kama kuna mifumo ya kuzuia abiria wa Ngerengere asishuke Morogo au Dodoma.

Tumesikia shirika likijimwambafai kwamba wameingiza takribani 18 b inawezekana ni kweli, Je TRC haina madeni au katika fedha hizo ni kiasi gani cha mkopo kimekwisharudishwa kwa wadaai wetu.

Na mwisho, shirika lina mpango gani wa kuongeza maeneo ya kusubiria abiria kwa kuwa pesa zipo

Nawasilisha.
mtu mweusi ana matatizo mengi sana hasa linapokuja swala la ustaarabu tu wa kawaida kama binaadam
 
Back
Top Bottom