Kuna cases anbazo doctor pekee ndio anaweza kuthibitisha kifo. hii ni hata wakristo wa sehemu ambazo hazina hospitali inaweza kuwakuta.sema ile delay kidogo huwezi jua mtu akapiga chafyaVipi kama nitasema wale ambao hucheleweshwa kuzikwa wachunguzwe zaidi huwenda bado hawajafa, nitakuwa nimekosea?
Na kama nimekosea hivyo kuna tofauti gani ya kumzika huyo mtu masaa machache baada ya kufa au kumzika baada ya masiku kadhaa?
Otherwise useme waislamu hawawezi kuthibitisha kama mtu amekufa, hapo tutakulewa tu kuwa umeamua kutukandia.
Hivyo hapahoja sio waislamu bali ni hivyo vifaa vitumike ili kubaini kama mtu kweli amekufa.Iko hivi..huwezi kusema fulani amekufa kisa tu haitikii au anekuwa wa baridi,kuna vifaa vya kupima mapigo ya noyo,msukumo wa damu na ubongo kama unarespond ndio vinatoa majibu ya uhakika.huyo mchezaji moyo ulisimama kabisa ila kuna kitu wazungu walipima wakasema huyu bado mzima,wakampiga shoti sijui wanajua wenyewe akaamka.ingekuwa bongo kwenye barafu kitambo
Ahaaaa hoja hapa ni wale wanazindika wenyewe kwa kudra za mwenyezi MunguHivyo hapahoja sio waislamu bali ni hivyo vifaa vitumike ili kubaini kama mtu kweli amekufa.
Na kama ni hivyo basi sidhani kama hata wasiokuwa waislamu hutumia hivyo vifaa.
Kwa sababu kwa hali kama hiyo ya moyo kusimama sio kama mtu huzinduka baada ya muda fulani bali kuna juhudi za kitabibu hufanyika, na ndio kama ulivyosema hapo " walimpiga shoti".
Hivyo hizo juhudi zisipofanyika basi huyo mtu hupoteza maisha kabisa.
Na kama ni hivyo basi hata wasiokuwa waislamu wanaingia hapa, au unataka kusema waislamu huwa tunamzika mtu bila ya kuthibitisha kama amekufa kwa hoja hii.
Basi kama ni hivyo na sisi tutasema wasiokuwa waislamu huwa wanaami watu wamekufa ikiwa bado wako hai na mwishowe huwazika[emoji23][emoji23][emoji23].
Hivyo asipopiga chafya nao watamzika.Kuna cases anbazo doctor pekee ndio anaweza kuthibitisha kifo. hii ni hata wakristo wa sehemu ambazo hazina hospitali inaweza kuwakuta.sema ile delay kidogo huwezi jua mtu akapiga chafya
Alisikia baridi kali mwili ukasisimkaKuna jamaa alikata moto wakapeleka mochwari wakati wanadubiri doctor aje athibitishe kifo ili wamuweke kwrnye friji ile baridi ya kule jamaa akafumbua macho
Hivyo tukiwazika nayo itakuwa kwa kudra za mwenyezimungu, hivyo usitulaumu.Ahaaaa hoja hapa ni wale wanazindika wenyewe kwa kudra za mwenyezi Mungu
Sijakuelewa fafanua
Ahaa sikuwa na nia mbaya tusameheane sheikh utararibu wenu wakuzika fasta naukubali sanaHivyo tukiwazika nayo itakuwa kwa kudra za mwenyezimungu, hivyo usitulaumu.
By the way hoja ulikuwa unahoja ila umekosea kuliweka kwa kututarget waislamu ilhali hatuna kosa lolote.
Kwan waislamu wakifa anayethibitisha kifo ni mwislamuVipi kama nitasema wale ambao hucheleweshwa kuzikwa wachunguzwe zaidi huwenda bado hawajafa, nitakuwa nimekosea?
Na kama nimekosea hivyo kuna tofauti gani ya kumzika huyo mtu masaa machache baada ya kufa au kumzika baada ya masiku kadhaa?
Otherwise useme waislamu hawawezi kuthibitisha kama mtu amekufa, hapo tutakulewa tu kuwa umeamua kutukandia.
We jamaa umenichekesha. Eti dini ya "Haki"ACHA KUIZUNGUMZIA DINI YA HAKI WEWEEEE
Maamuma watakushambulia hadi ukome
Acha uwogaduh usiku huu topic inatisha
nani binti mie mwanaume wa shoka kidumeuna bahati kwaresma imeingia. Pole binti
Aisee uombe msamaha au nitume kikosi kazi mie ni Putin wa bunjusio kirahisi,halafu huyo ni binti