Huenda mabadiliko makubwa yakafanywa ndani ya Serikali muda mfupi ujao. RAS, DCs, DAS, DEDs baadhi yenu mmekuwa mizigo kwa nchi

Huenda mabadiliko makubwa yakafanywa ndani ya Serikali muda mfupi ujao. RAS, DCs, DAS, DEDs baadhi yenu mmekuwa mizigo kwa nchi

Wateuliwa amani iwe kwenu,

Huenda wakati Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anakwenda kufanya mabadiliko makubwa Serikalini Mimi Wacha niwalaumu kidogo na endapo Wewe utasalia rekebisha hili,

Viongozi wetu, Miongoni mwenu mmegeuka mabubu ghafla tu baada ya kifo cha Hayati Rais Magufuli , leo wala hakuna anayemtetea Rais Samia Suluhu Wala Serikali yetu,wote mmepiga kimya,Sijui ni kwa bahati mbaya au ni kwa kusudio!!??

Viongozi wetu, Wengi wenu mmekuwa mkijifanya nyie ni Wana-Serikali zaidi ya kuwa wanachama hata sare za Chama wengi wenu hamna na hamvai eti nyie ni Serikali,

Viongozi wetu, Tunakumbuka wakati wa JPM mlikuwa wasemaji wazuri sana wa miradi ya Serikali Ila leo mmegeuka mabubu kwa vigezo eti Mama hataki kusemewa vizuri kwa wananchi hili nani kawaambia na lini?

Viongozi wetu, Sisi wanachama/Wananchi tunahitaji viongozi walio Watendaji na Wasemaji, Haiwezekani Mkuu wa Mkoa au Waziri hana hata akaunti moja mtandaoni,

Viongozi wetu,Leo zaidi ya Watanzania 25m wanamiliki simu Janja,Wewe kiongozi wao huna akaunti hata ya kupost barabara inayojengwa kwenye eneo lako kisa eti Wewe ni RC au Waziri unatuchelewesha sana,

Viongozi wetu,Mtakumbuka Rais wa nchi kubwa kama Donald Trump alitumia mtandao wa tweeter tu kuongoza nchi kubwa kama Marekani why Wewe mwenye Wilaya uko busy kupiga dili tu siku ziende,

Sote tunafahamu Rais wa JMT Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan anayo akaunti Official kule tweeter Wewe DED huna ata akaunti moja kisa eti ni boss hakika kwenye karne hii 21 Wewe haustahili tupishe,

Sasa, huenda mabadiliko makubwa yakafanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya Serikali muda mfupi ujao nyie Mawaziri, RAS, DCs, DAS, DEDs baadhi yenu mmekuwa mizigo kwa nchi, Mmegeuka mabubu ghafla baada ya kifo cha JPM lazima muwajibike kwenye hili,​


[Kidumu chama cha Mapinduzi ]

View attachment 2440539
Hiyo haitasaidia maana navyoona raisi mwenyewe ndo mzigo
 
Kubadilisha sura za watu tu sio mabadiliko makubwa.
 
Mabadiliko ni ya katiba, mifumo na taasisi.
Sio kubadili tu sura za watu
Mabadiliko ni Muhuni sana, watu wanajiona wamekuwa so superior kwelikweli, UNYENYEKEVU kwa wananchi sufuri,
 
Looooooo na nyadhifa zote ulizoziorodhesha hapo juu zinateuliwa na our no 1?,ndio maana katiba mpya ni muhimu, President ateue cabinet yake tu,CEOs wengine wa serikali waombe, nchi ibakiwe na mikoa 15 tu,na wilaya 45 tu, wizara 15 tu
Hicho kitu hakiwezi tokea nchini
 
Kubadilisha nani sijui Das sijui waziri, sio mwarobaini wa tatizo kama mkuu wao mwenyewe ajitambui na sio mfuatiliaji na kutoa masuluhisho instantly.
 
Wateuliwa amani iwe kwenu,

Huenda wakati Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anakwenda kufanya mabadiliko makubwa Serikalini Mimi Wacha niwalaumu kidogo na endapo Wewe utasalia rekebisha hili,

Viongozi wetu, Miongoni mwenu mmegeuka mabubu ghafla tu baada ya kifo cha Hayati Rais Magufuli , leo wala hakuna anayemtetea Rais Samia Suluhu Wala Serikali yetu,wote mmepiga kimya,Sijui ni kwa bahati mbaya au ni kwa kusudio!!??

Viongozi wetu, Wengi wenu mmekuwa mkijifanya nyie ni Wana-Serikali zaidi ya kuwa wanachama hata sare za Chama wengi wenu hamna na hamvai eti nyie ni Serikali,

Viongozi wetu, Tunakumbuka wakati wa JPM mlikuwa wasemaji wazuri sana wa miradi ya Serikali Ila leo mmegeuka mabubu kwa vigezo eti Mama hataki kusemewa vizuri kwa wananchi hili nani kawaambia na lini?

Viongozi wetu, Sisi wanachama/Wananchi tunahitaji viongozi walio Watendaji na Wasemaji, Haiwezekani Mkuu wa Mkoa au Waziri hana hata akaunti moja mtandaoni,

Viongozi wetu,Leo zaidi ya Watanzania 25m wanamiliki simu Janja,Wewe kiongozi wao huna akaunti hata ya kupost barabara inayojengwa kwenye eneo lako kisa eti Wewe ni RC au Waziri unatuchelewesha sana,

Viongozi wetu,Mtakumbuka Rais wa nchi kubwa kama Donald Trump alitumia mtandao wa tweeter tu kuongoza nchi kubwa kama Marekani why Wewe mwenye Wilaya uko busy kupiga dili tu siku ziende,

Sote tunafahamu Rais wa JMT Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan anayo akaunti Official kule tweeter Wewe DED huna ata akaunti moja kisa eti ni boss hakika kwenye karne hii 21 Wewe haustahili tupishe,

Sasa, huenda mabadiliko makubwa yakafanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya Serikali muda mfupi ujao nyie Mawaziri, RAS, DCs, DAS, DEDs baadhi yenu mmekuwa mizigo kwa nchi, Mmegeuka mabubu ghafla baada ya kifo cha JPM lazima muwajibike kwenye hili,​


[Kidumu chama cha Mapinduzi ]

View attachment 2440539
Ndio yanaenda kuhitimisha migao ya umeme? Yana maliza tatizo la ajira?
 
IMG-20221214-WA0152.jpg
 
Kwa maneno ya JK, Makamba sr, na mama siku ile wanafunga mkutano basi mabaliko serikalini maana yake ni majanga kwa wale "wakuja" na makada chawa wataingizwa kwenye cycle, kuna hatari mawaziri , Dc, Rc, DAS na wengineo ambao walibebwa na JPM wakapigwa chini bila huruma kupisha makada ili nao wakalambe asali kuelekea uchaguzi wa 2025
Watawekwa wamaopiga nao mguu sawa
 
Kubadilisha nani sijui Das sijui waziri, sio mwarobaini wa tatizo kama mkuu wao mwenyewe ajitambui na sio mfuatiliaji na kutoa masuluhisho instantly.
Watu ni wale wale wanafanya kubadilishana kama timu ya mpira mwingine namba hii mwingine labda ataimudu lakini niwale wale tu
 
Tatizo ni kuwa ukishakuwa DED hata ukitolewa bado mshahara waingia vile vile hadi utapostaafu
 
Back
Top Bottom