Tetesi: Huenda mgombea uongozi anaepewa nafasi kubwa zaidi ya ushindi wa uchaguzi wa chadema taifa kuwekewa vikwazo vya kimataifa

Tetesi: Huenda mgombea uongozi anaepewa nafasi kubwa zaidi ya ushindi wa uchaguzi wa chadema taifa kuwekewa vikwazo vya kimataifa

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Inasemekana chimbuko la yote hayo ni joto la uchaguzi wa ndani ya Chama Cha ha Demokrasia na Maendeleo Chadema, ilogawanyika, na kutokuwapo kabisa uwezekano wa wengine kushinda nafasi hiyo.


Bado haijajulikana ni zipi hasa sababu za hali hiyo ambayo inayodaiwa kuchochewa na influence na access ya hasimu mkuu wa kisiasa ndani ya chama hicho kuona uwezekano huo kupitia manasheria ambae pia bwenyenye wakili muhusika wa mahakama ya huko magharibi.

Kiongozi huyo aliejaa chuki, tamaa na uchu wa madaraka nae pia ni mgombea nafasi za juu ndani ya chama hicho Taifa, ambae hapewi nafasi ya kufurukuta kabisa kutokana na aina ya siasa zake za kibinafsi mno 🐒

Je,
hadaa hizi si ndio zitachochea zaidi kiongozi huyo wa kitaifa Taifa ndani ya chama hicho kupata nafasi na kura nyingi zaidi?

Mungu Ibariki Tanzania


Mungu Ibariki Tanzania.
 
Inasemekana chimbuko la yote hayo ni joto la uchaguzi wa ndani ya Chama Cha ha Demokrasia na Maendeleo Chadema, ilogawanyika, na kutokuwapo kabisa uwezekano wa wengine kushinda nafasi hiyo.


Bado haijajulikana ni zipi hasa sababu za hali hiyo ambayo inayodaiwa kuchochewa na influence na access ya hasimu mkuu wa kisiasa ndani ya chama hicho kuona uwezekano huo kupitia manasheria ambae pia bwenyenye wakili muhusika wa mahakama ya huko magharibi.

Kiongozi huyo aliejaa chuki, tamaa na uchu wa madaraka nae pia ni mgombea nafasi za juu ndani ya chama hicho Taifa, ambae hapewi nafasi ya kufurukuta kabisa kutokana na aina ya siasa zake za kibinafsi mno 🐒

Je,
hadaa hizi si ndio zitachochea zaidi kiongozi huyo wa kitaifa Taifa ndani ya chama hicho kupata nafasi na kura nyingi zaidi?

Mungu Ibariki Tanzania


Mungu Ibariki Tanzania.
CCM, Pambaneni na hali zenu, waacheni Chadema wapumue, muwewakalia kooni sana. Hivi munataka nini huko kwao?
 
Inasemekana chimbuko la yote hayo ni joto la uchaguzi wa ndani ya Chama Cha ha Demokrasia na Maendeleo Chadema, ilogawanyika, na kutokuwapo kabisa uwezekano wa wengine kushinda nafasi hiyo.


Bado haijajulikana ni zipi hasa sababu za hali hiyo ambayo inayodaiwa kuchochewa na influence na access ya hasimu mkuu wa kisiasa ndani ya chama hicho kuona uwezekano huo kupitia manasheria ambae pia bwenyenye wakili muhusika wa mahakama ya huko magharibi.

Kiongozi huyo aliejaa chuki, tamaa na uchu wa madaraka nae pia ni mgombea nafasi za juu ndani ya chama hicho Taifa, ambae hapewi nafasi ya kufurukuta kabisa kutokana na aina ya siasa zake za kibinafsi mno 🐒

Je,
hadaa hizi si ndio zitachochea zaidi kiongozi huyo wa kitaifa Taifa ndani ya chama hicho kupata nafasi na kura nyingi zaidi?

Mungu Ibariki Tanzania


Mungu Ibariki Tanzania.
Kifupi kwa wenye uelewa mpana wa mambo wanajua lisu ni mkweli na ni mkweli haswa na hapendi unafiki wala uchawa kabisa hivyo ndivyo anavyo eleweka na wenye uelewa mpana wa mambo.
 
Inasemekana chimbuko la yote hayo ni joto la uchaguzi wa ndani ya Chama Cha ha Demokrasia na Maendeleo Chadema, ilogawanyika, na kutokuwapo kabisa uwezekano wa wengine kushinda nafasi hiyo.


Bado haijajulikana ni zipi hasa sababu za hali hiyo ambayo inayodaiwa kuchochewa na influence na access ya hasimu mkuu wa kisiasa ndani ya chama hicho kuona uwezekano huo kupitia manasheria ambae pia bwenyenye wakili muhusika wa mahakama ya huko magharibi.

Kiongozi huyo aliejaa chuki, tamaa na uchu wa madaraka nae pia ni mgombea nafasi za juu ndani ya chama hicho Taifa, ambae hapewi nafasi ya kufurukuta kabisa kutokana na aina ya siasa zake za kibinafsi mno 🐒

Je,
hadaa hizi si ndio zitachochea zaidi kiongozi huyo wa kitaifa Taifa ndani ya chama hicho kupata nafasi na kura nyingi zaidi?

Mungu Ibariki Tanzania


Mungu Ibariki Tanzania.
Familia yako inakula kwa taabu sana mpaka udanganye ndio ule laaana zote unabeba rafiki
 
Unaamanisha wewe INZiI wa vyoo vya IKULU ?
relax gentleman,
ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anatapatapa na kuweweseka tu, hana pa kushika 🐒
 
CCM, Pambaneni na hali zenu, waacheni Chadema wapumue, muwewakalia kooni sana. Hivi munataka nini huko kwao?
gentleman,
najaribu tu kuwaonyesha wadau wa JF, jinsi ambavyo hao chadema wanapambambana wao kwa wao..

kwani kuna ubaya wowote gentleman ili kuweka kumbukumbu sawa?

halafu kwenye suala la kupumua wanapumua tu vizuri bila mbambamba, ila wanahuzuni halafu wakali mbaya sana 🐒
 
Kifupi kwa wenye uelewa mpana wa mambo wanajua lisu ni mkweli na ni mkweli haswa na hapendi unafiki wala uchawa kabisa hivyo ndivyo anavyo eleweka na wenye uelewa mpana wa mambo.
huenda na hata huo nilioeleza hapo juu ni ukweli mtupu wa miongoni mwa mipango mikakati ya Lisu kuelekea mbele 🐒
 
gentleman,
najaribu tu kuwaonyesha wadau wa JF, jinsi ambavyo hao chadema wanapambambana wao kwa wao..

kwani kuna ubaya wowote gentleman ili kuweka kumbukumbu sawa?

halafu kwenye suala la kupumua wanapumua tu vizuri bila mbambamba, ila wanahuzuni halafu wakali mbaya sana 🐒
Haya nimekuelewa ndugu yangu, lakini message sent and received, waacheni na wao wapambane na hali zao. mumewakalia kooni sana (nyuzi za wapambe wa ccm nu nyingi sana humu) na wao bado wanapambana tu. Siku Bundi akiingia huko ccm , labda ndio utanielewa.
 
Familia yako inakula kwa taabu sana mpaka udanganye ndio ule laaana zote unabeba rafiki
ni kama ambavyo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anavyotumia mgongo wa Chadema kuomba omba kuchangiwa vitu mbalimbali kwa manufaa yake binafsi na familia yake, right gentleman?🐒
 
Haya nimekuelewa ndugu yangu, lakini message sent and received, waacheni na wao wapambane na hali zao. mumewakalia kooni sana (nyuzi za wapambe wa ccm nu nyingi sana humu) na wao bado wanapambana tu. Siku Bundi akiingia huko ccm , labda ndio utanielewa.
sisi wachambuzi wataalamu wabobevu na waandamizi wa siasa za vyama vya siasa nchini, tutaendelea kutekeleza wajibu na jukumu letu hili muhimu sana,

la kuelezea kinachoendelea ndani ya chama husika mpaka mwisho wa zoezi husika bila mbambamba yoyote. Daima tutakua neutral kwenye mambo haya kulingana na maadili ya kazi yenyewe.

By the way,
hivi kwa unavyoona pale chadema,
kati ya wajumbe 1000 wa mkutano mkuu wa Taifa chadema, Lisu anaweza kweli kuungwa mkono hata na wajumbe 50 tu kati ya hao 1000, gentleman?

na watatoka kanda gani kwa mfano?🐒
 
sisi wachambuzi wataalamu wabobevu na waandamizi wa siasa za vyama vya siasa nchini, tutaendelea kutekeleza wajibu na jukumu letu hili muhimu sana,

la kuelezea kinachoendelea ndani ya chama husika mpaka mwisho wa zoezi husika bila mbambamba yoyote. Daima tutakua neutral kwenye mambo haya kulingana na maadili ya kazi yenyewe.

By the way,
hivi kwa unavyoona pale chadema,
kati ya wajumbe 1000 wa mkutano mkuu wa Taifa chadema, Lisu anaweza kweli kuungwa mkono hata na wajumbe 50 tu kati ya hao 1000, gentleman?

na watatoka kanda gani kwa mfano?🐒
Achaguliwe au asichagulie hayo ni ya familia yao ya ndani. Hatuna mfumo wa Ki- Ayatollah hapa Tanzania. Tanzania kwa mfano wa kampuni, isipo fanya vizuri, lazima kuwatimua viongozi wote na kuweka wapya. Hao CDM wamekuwa opposition miaka zaidi ya 20 na hakuna impact. Wanahitaji akili ya ziada kuelewa kwamba, doing same thing over and again is a classical definition of insanity. Mbowe na Lissu wote wangepumzika, na nyie CCM waacheni wapambane na hali zao. Wananchi tutaamua.
 
Achaguliwe au asichagulie hayo ni ya familia yao ya ndani. Hatuna mfumo wa Ki- Ayatollah hapa Tanzania. Tanzania kwa mfano wa kampuni, isipo fanya vizuri, lazima kuwatimua viongozi wote na kuweka wapya. Hao CDM wamekuwa opposition miaka zaidi ya 20 na hakuna impact. Wanahitaji akili ya ziada kuelewa kwamba, doing same thing over and again is a classical definition of insanity. Mbowe na Lissu wote wangepumzika, na nyie CCM waacheni wapambane na hali zao. Wananchi tutaamua.
mbona unawafokea sasa gentleman? 🐒
 
I

nzi wa ikulu
tutayaeleza yote yale kulingana na yanayojitikeza gentleman,

ni muhimu zaidi kurelax,
hata hivyo hilo la mezani, ndiyo habari ya mjini na ndilo muhimu zaidi kwa sasa 🐒
 
mbona unawafokea sasa gentleman? 🐒
Hawajitambui wanataka nini, inafaa hizi kampeni ziendelee hadi miezi minne hivi ndio tujue kupembua wana nini. Ila sitaki waingiliwe, waachiwe wemyewe wasutane na wengine tuwajue na tufamye maamuzi. Hilo si kuwafokea
 
Wote mliowapatia hongo kupitia Abdul wote wakiletwe kwenye kupigiwa kura ni mwendo wa kuwapumzisha

AWAMU HII TUNAENDA NA LISSU
 
Ccm mnamhanya Sana Lissu maana yake ni kuwa hamna uwezo wa kucompete nae kwa namna nyingine ukiondoa dola
 
Wote mliowapatia hongo kupitia Abdul wote wakiletwe kwenye kupigiwa kura ni mwendo wa kuwapumzisha

AWAMU HII TUNAENDA NA LISSU
Gentleman,
ni muhimu sana mkaenda wote nyumbani mikono mitupu, sasa sijui atawachukua muende nae ughaibuni kwa mabwenyenye yanayombackup au muendelee kuomba kuchangiwa vitu mbalimbali humu humu nchini ili muishi 🐒
 
Ccm mnamhanya Sana Lissu maana yake ni kuwa hamna uwezo wa kucompete nae kwa namna nyingine ukiondoa dola
zingatia maelezo na uchambuzi ndani ya hoja gentleman,
ni vizuri kurelax kwanza right?🐒
 
Back
Top Bottom