Pre GE2025 Huenda mmoja kati ya hawa akamrithi Rais Samia Suluhu 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwamba Gwaji Boy hayupo kabisa?
 
1,2,9,10, 11 Mmoja wapo akitia nia anaweza akawa, wawili kati yao tayari, Ni muhimu " tasisi tawala' kuwasuka zaidi ikiwaridhia, ila tusisahau katika ukoo wa Yese alitoka Mfalme Daudi asiyetazamiwa
 
1,2,9,10, 11 Mmoja wapo akitia nia anaweka, wawili kati yao, Ni muhimu " tasisi tawala' kuwasuka zaidi ikiwaridhia, ila tusisahau katika ukoo wa Yese alitoka Mfalme Daudi asiyetazamiwa
Ndio David 😃😃
 
Kwani uchaguzi wa 2025 tayari? Je,upinzani hakuna candidate?
 
Kwahiyo ACT, Chauma, CUF, Chadema, na vyama vingine havina watu? Sijaona orodha yao.
 
Mbona mafisadi ndo hao umewaweka kwenye orodha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…