Huenda Mwenyezi Mungu sasa katuchoka Wanaume na ameamua kuwainua Wanawake katika nyadhifa kubwa za kiuongozi Duniani ili tujifunze kwao

Huenda Mwenyezi Mungu sasa katuchoka Wanaume na ameamua kuwainua Wanawake katika nyadhifa kubwa za kiuongozi Duniani ili tujifunze kwao

Huko Marekani kwa mara ya Kwanza katika Historia yao Makamu wa Rais wa sasa ni Mwanamke Kamala Harris.

Nchini Tanzania kwa sasa na haikuwahi kutokea Rais wa nchi ni Mwanamke Mama Samia Hassan.

Huko nchini Kenya pia katika Historia yao kwa mara ya Kwanza leo imempata Jaji Mkuu Mwanamke Martha Koome.

Katika Maisha ya sasa ( tena huku Vyuma vikiwa Vimekaza ) ila cha Kushangaza Wanawake wanazidi tu kuwa na Uchumi mkubwa na Sisi Wanaume tunadidimia tu.

Huenda kuna mahala Wanaume tumefeli na huenda hata Baba Muumba ( Mwenyezi Mungu ) nae katuchoka vile vile hivyo anatukomesha sasa Kiaina.

Nawapongeza Wanawake wote duniani.
Ni kweli kuna upepo flani sshv unavuma sio wa kawaida ni nyakati za wanawake hizi hata kazi nyingi kwenye international organisation ie UN zikitangazwa kwa chini unaona zimeandikwa women are encouraged to apply!!?
 
Ndiyo kusema Wanaume tumekuwa Mapopoma siku hizi hadi Wanawake wanatupiku au kuna tatizo gani labda?
Tatizo ni ukosefu wa nguvu za kiume si unaona hata bungeni wanatusema..!!! Yaani nguvu za kiume zimegeuka na kuwa nguvu za kike
 
Huko Marekani kwa mara ya Kwanza katika Historia yao Makamu wa Rais wa sasa ni Mwanamke Kamala Harris.

Nchini Tanzania kwa sasa na haikuwahi kutokea Rais wa nchi ni Mwanamke Mama Samia Hassan.

Huko nchini Kenya pia katika Historia yao kwa mara ya Kwanza leo imempata Jaji Mkuu Mwanamke Martha Koome.

Katika Maisha ya sasa ( tena huku Vyuma vikiwa Vimekaza ) ila cha Kushangaza Wanawake wanazidi tu kuwa na Uchumi mkubwa na Sisi Wanaume tunadidimia tu.

Huenda kuna mahala Wanaume tumefeli na huenda hata Baba Muumba ( Mwenyezi Mungu ) nae katuchoka vile vile hivyo anatukomesha sasa Kiaina.

Nawapongeza Wanawake wote duniani.
Kwa Kenya Lady Justice Martha Koome amependekezwa na JSC(Judicial Services Commission) kuwa the coming CJ..

Then jina lake linapelekwa kwa Rais nae analipeleka Bungeni for final endorsement..

Bunge likimkataa, mchakato wa kupata CJ mwingine unaanza upya kabisa..

So kwa Kenya mchakato bado haujakamilika na anything can happen sababu Bunge lao sio kama la Tanzania linalopitisha kila kitu..anything can happen.
 
Rais Samia aliongoza vizuri bunge gumu la katiba alipopewa nafasi, atashindwa vipi kuiongoza CCM muda huu.

Mfumo dume unakwenda unapungua nguvu kila kukicha. Na wanawake wameweza kuutetea mchango wao kidunia.

Kila wanapoweza kuwa na mawakili wengi, kunakuwepo na utetezi mkubwa wa maslahi yao.. Utetezi ukizidi kuongezeka na kile wanachoweza kukifanya kwa mafanikio kinazidi kuonekana.
 
''... tukilichukulia kisayansi zaidi tunagundua kuwa mpambano wa kuwania madaraka miongoni mwa wanaume umekuwa mkali sana wakati kwa jinsia ya pili kuna 'affirmative action' na huruma/aibu za wababa linapoibuka la kupambana na kina mama ... UNATEGEMEA NINI HAPO? ...CHEKECHEO LINACHAGUA JINSIA NA KWA WALE, WAMAMA, WALIOZIDISHIWA KIDOGO TU HORMONES ZA KIUME KAZI INAKUWA LAINI SANA!
😎
 
Kwa Kenya Lady Justice Martha Koome amependekezwa na JSC(Judicial Services Commission) kuwa the coming CJ..

Then jina lake linapelekwa kwa Rais nae analipeleka Bungeni for final endorsement..

Bunge likimkataa, mchakato wa kupata CJ mwingine unaanza upya kabisa..

So kwa Kenya mchakato bado haujakamilika na anything can happen sababu Bunge lao sio kama la Tanzania linalopitisha kila kitu..anything can happen.
100% atapitishwa Yeye tu acha Kubisha.
 
Ila kwa sasa wameibuka kwa Kasi sana.
Ukiwa pale international road hammer zote wanaendesha wanawake wakitoe kusikojulikana,by the way hawa watu ni viumbe zaidi ya makini,wanavumilia mpaka unajishtukia
 
Huko Marekani kwa mara ya Kwanza katika Historia yao Makamu wa Rais wa sasa ni Mwanamke Kamala Harris.

Nchini Tanzania kwa sasa na haikuwahi kutokea Rais wa nchi ni Mwanamke Mama Samia Hassan.

Huko nchini Kenya pia katika Historia yao kwa mara ya Kwanza leo imempata Jaji Mkuu Mwanamke Martha Koome.

Katika Maisha ya sasa (tena huku Vyuma vikiwa Vimekaza) ila cha Kushangaza Wanawake wanazidi tu kuwa na Uchumi mkubwa na Sisi Wanaume tunadidimia tu.

Huenda kuna mahala Wanaume tumefeli na huenda hata Baba Muumba (Mwenyezi Mungu) nae katuchoka vile vile hivyo anatukomesha sasa Kiaina.

Nawapongeza Wanawake wote duniani.
Kwani ni lini tulikwambia sisi wanamume tunashindana na wanawake??

Yaani kabisa tukae, vikao tunawaza sasa hivi wanawake wanatuzidi!!!

Huo siyo uanamume.
 
Huko Marekani kwa mara ya Kwanza katika Historia yao Makamu wa Rais wa sasa ni Mwanamke Kamala Harris.

Nchini Tanzania kwa sasa na haikuwahi kutokea Rais wa nchi ni Mwanamke Mama Samia Hassan.

Huko nchini Kenya pia katika Historia yao kwa mara ya Kwanza leo imempata Jaji Mkuu Mwanamke Martha Koome.

Katika Maisha ya sasa (tena huku Vyuma vikiwa Vimekaza) ila cha Kushangaza Wanawake wanazidi tu kuwa na Uchumi mkubwa na Sisi Wanaume tunadidimia tu.

Huenda kuna mahala Wanaume tumefeli na huenda hata Baba Muumba (Mwenyezi Mungu) nae katuchoka vile vile hivyo anatukomesha sasa Kiaina.

Nawapongeza Wanawake wote duniani.
Ni dalili ya mwisho wa dunia wanawake kua watawala...!
 
Back
Top Bottom