Huenda Mwenyezi Mungu sasa katuchoka Wanaume na ameamua kuwainua Wanawake katika nyadhifa kubwa za kiuongozi Duniani ili tujifunze kwao

Samia kaleta mambo mengi sana aisee.
Mkuu hakuna iyo kitu hayo ni mawazo yako tu mwanaume bado ni kiongozi.

Wanawake nao hawajaanza kua viongozi leo ni toka kitambo tu nao wanashika nyadhfa mbali mbali. Hata hivyo bado nafasi nyingi zina wanaume wengi ni mapema sana kuleta hii post yako subiri walau hadi 2040.
 
Wanapata support kutoka nje kupitia NGOs ambazo zilianzishwa makusudi ili kumuinua mwanamke. Kupitia NGOs hizo wamenolewa vilivyo, lengo ni kuchukua nafasi ambazo traditionally wanaume ndio walikuwa wakihodhi. Baada ya hapo kila mwanamke aliweza kuvuta mwanamke mwenzie kujaza nafasi. Ma HR wengi chunguza ni wanawake, hivyo kuna upendeleo katika nafasi za ajira.
Lingine ni maboss wengi ni malaya,rushwa ya ngono ndio imetufikisha hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…