Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Magufuli kaongoza nchi miaka mitano na miezi michache, hata siku moja huwezi kusikia askofu wa kanisa lolote kainua mdomo kumpinga.Yeye kaongea moja kwa moja bila mantiki, hata nyumbani baba akikosea kuna namna ya kumwambia ukweli.
Jipya ni lipi hapa. Tokea siku ya kwanza uandishi ni huu huu! Huna maelezo mengine zaidi ya kurudia yaleyale ya toka siku ya kwanza ulipojiunga humu.Lengo la DP World ni kurahisisha ufanisi wa kazi hapo bandarini na kuongeza tija.
Hizi riwaya ndefu kila mtanzania anaweza kuziandika hata hao wanaofanya shughuli haramu za kupora viwanja vya watu wanaweza kuzifanya.
Sio kazi rahisi kujitegemea kwa mujibu wa ngonjera zetu.
Kwanza tuelewe bandari zinafanya vipi kazi ili kuweza kuelewa maana ya kinachofanyika hapo bandarini.
Na hata kabla hawajaanza kazi tayari mama yako anasema wamekwisha leta ufanisi bandarini. Huoni maajabu hapo?DP World na adnani wanaanza kazi hapo bandarini mengineyo ni porojo tu.
Gati Namba 0-3 ni TPAJipya ni lipi hapa. Tokea siku ya kwanza uandishi ni huu huu! Huna maelezo mengine zaidi ya kurudia yaleyale ya toka siku ya kwanza ulipojiunga humu.
Mapato yanaongezeka na gawio linaongezeka.Na hata kabla hawajaanza kazi tayari mama yako anasema wamekwisha leta ufanisi bandarini. Huoni maajabu hapo?
Lakini najua huko ndani kwenu hakuna utulivu hata mkifanya muonekane mambo ni shwari kwa nje.
Suit nyingine zinalimwa? Suit zote zinashonwa kwa fundi sheikh wangu. Au kanzu huwa zinapandwa na kuchumwa?Huyu naye ni boga tu, anapewa umaarufu wa bure.....
Huyu alikuwa anakaanga samaki sokoni, akajua vifungu viwili vya biblia kawa askofu.
Na ile misuti yake ya kushona kwa fundi mwanzalima chini ya muembe, hovyo kabisa
Miaka 30, 30 kwa hao wawili, na huyo TPA bado anahaha kutafuta kwa hizo 3; hii ni akili toka wapi?Gati Namba 0-3 ni TPA
Gati Namba 4-7 ni DP World
Gati Namba 8-11 ni mdosi.
mapato yameongezeka hata kabla ya hao waliogawiwa hawajaanza kazi, wewe huoni aibu hata kuyasema haya!Mapato yanaongezeka na gawio linaongezeka.
UK na ujanja wao wote wanafanya biashara na DP World, Belgium na umaarufu wao wote wanategemea technology ya hawa waarabu.Miaka 30, 30 kwa hao wawili, na huyo TPA bado anahaha kutafuta kwa hizo 3; hii ni akili toka wapi?
Kuna viongozi walio lelewa toka utotoni kuwa kama yai, kila kitu ni kutegemea wengine wafanye. Hawa wanapokuwa wakubwa, na kuwa viongozi, tabia ile ile wanaibeba hadi kwenye maswala ya nchi, kama anavyofanya Samia sasa.
Hali inakuwa mbaya zaidi inapochagizwa na ufisadi humo humo, na mambo mengine ya kifamilia.
Swala sio motisha ni teknolojia za kisasa zinazoongeza ufanisi wa taasisi nzima na tija kuwa ya kasi zaidi.mapato yameongezeka hata kabla ya hao waliogawiwa hawajaanza kazi, wewe huoni aibu hata kuyasema haya!
Unagawa mradi unaoingiza faida, badala ya kuuimarisha na kuwapa motisha wanaofanya kazi vizuri?
Bado unaishi katika mifumo mfu ya kijamaa/kipepari?UK na ujanja wao wote wanafanya biashara na DP World, Belgium na umaarufu wao wote wanategemea technology ya hawa waarabu.
Mawazo ya kijamaa yanafelisha taasisi nyingi tu na kizuri yameshashtukiwa kwamba hayafai.
Mwarabu aligundua teknolojia za kisasa toka lini, hivi unapo andika haya mambo huwa unafikiri kweli?Swala sio motisha ni teknolojia za kisasa zinazoongeza ufanisi wa taasisi nzima na tija kuwa ya kasi zaidi.
Jitahidi kichwani mwako uondokane na hizi dhana za kijamaa zimeshapitwa na wakati.
Hili nilisha kueleza siku nyingi, kwamba Tanzania siyo UK na wala siyo Belgium, lakini kichwa chako kigumu, hakielewi kitu.UK na ujanja wao wote wanafanya biashara na DP World, Belgium na umaarufu wao wote wanategemea technology ya hawa waarabu.
Chiembe acha makasiriko,acha dawa iingieHuyu naye ni boga tu, anapewa umaarufu wa bure.....
Huyu alikuwa anakaanga samaki sokoni, akajua vifungu viwili vya biblia kawa askofu.
Na ile misuti yake ya kushona kwa fundi mwanzalima chini ya muembe, hovyo kabisa
Una maana nyinyi Tanzania yenu hamtaki iwe na ufanisi? Hivi unaelewa unacho andika hapa?Swala sio motisha ni teknolojia za kisasa zinazoongeza ufanisi wa taasisi nzima na tija kuwa ya kasi zaidi.
Tafuta uelewa mpana wa kinachoendelea kwenye sekta ya bandari duniani pote achana na ujuaji wako wa kipuuzi.Bado unaishi katika mifumo mfu ya kijamaa/kipepari?
nani kaongelea hayo tokea nikuone ukiweka maandishi yako humu JF; au ndio mlango wa kutokea, unataka sasa tuyaache ya ukosefu wa uongozi toka kwa Samia twende kwenye mifumo ya kiuchumi, ambayo hakuna anayesumbuka nayo tena, kwa kujuwa kuwa hakuna hata mmoja unaojitosheleza wenyewe?
Ninaposema upeo wako ni mdogo sana, uwe unajaribu kutafakari na kuelewa unacho ambiwa. Toka ndani ya uchawa na mihemuko ya kiimani; itazame Tanzania kwa ustawi wake.
Nyinyi watu mmepofushwa sana na haya mambo ya kushabikia watu na tamaduni za kigeni hadi mnaudhi sana.
Waarabu wanakuja hapa kupigania nchi zao zinazodidimia kwa kukosa raslimali, nyinyi mpo mnagawa tu urithi wa nchi yenu kama hamna akili?
Hovyo kabisa.
Mwarabu anaendesha bandari za London na Southampton tafuta taarifa za teknolojia anazotumia huko.Mwarabu aligundua teknolojia za kisasa toka lini, hivi unapo andika haya mambo huwa unafikiri kweli?
Mwarabu anayo hati miliki gani ya hiyo teknologia?
Kwa hiyo unaniambia hapa kinachowasukuma nyinyi kutuuza ni huko kuwa mabepari? Unazo akili za kutosha kweli wewe?
Ubepari upo wapi duniani unaojisimamia wenyewe. Ni nchi gani hiyo uliyowahi kuona ubepari pekee ndio ulileta ufanisi ndani ya nchi hiyo?
Hata haya mnayo karirishwa, muwe mnatumia akili kuyatafakari na kuyaelewa, siyo kuyaimba tu kama kasuku.
Hasa wewe na huyo mama yenu, akili hata za kukariri haziwatoshi kabisa.
Tanzania sekta ya bandari hakuna kitu bado, Haya maneno mengi mnayoandika humu Hayafanani hata robo na uhalisia wa uendeshaji wa pale TPA.Hili nilisha kueleza siku nyingi, kwamba Tanzania siyo UK na wala siyo Belgium, lakini kichwa chako kigumu, hakielewi kitu.
UK na Belgium hawawezi kuwategemea waarabu kwenye shughuli za bandari zao ZOTE! Tanzania ina hiyo Dar, pekee, utailinganisha vipi na hizo nchi nyingine?
Nilikwisha kueleza pia kwamba hujawahi kuona mikataba yao ilivyo, kwa nini uzilinganishe na mkataba wa kijinga kama huu mliokwenda kuuza nchi kwa waarabu?
Wewe siku zote nakwambia ni bwege tu, kwa sababu unaudhi.
Lakini elewa, sikuachi; unaweka ujuha hapa, nakupasha tu.
Dunia haikusubiri wewe uamke ukiwa unaendekeza usingizi.Una maana nyinyi Tanzania yenu hamtaki iwe na ufanisi? Hivi unaelewa unacho andika hapa?
Mtawategemea waarabu mpaka lini?