Huko USA huwezi kutenganisha haki za binadamu na haki za mashoga/LGBT!

Huko USA huwezi kutenganisha haki za binadamu na haki za mashoga/LGBT!

Kwa maneno mengine kama ukitimiza vipengele vyote vya demokrasia lakini ukakataa kuruhusu uchafu wa ushoga, utahesabika kuwa taifa lisiloheshimu demokrasia na haki za watu!
Sio kweli hata kutumikisha watoto viwandani US inasema wanaminya haki za binadamu, kutozingatia haki za wanyama, haki za wanawake n.k. Kanye west amebagua wayahudi ona vikwazo alivyowekewa!! So sio kweli kwamba ushoga ni priority.

Kingine hiyo interview unayopost hapa hakusema Kama statement ila ni swali la mwandishi.
 
Dawa ya kulikwepa hili ni kwenda na back door democracy, wanakupa misaada na kisha unarusu jamii kuwashughulikia mashoga na rhetorically unakuwa kimya au unapinga kisiasa ukitumia kofia ya desturi,mila,utamaduni,na imani za kiafrika au vinginevyo unakimbilia China na Urusi kujazia pengo la usitishaji wao wa misaada.
 
Tungekuwa tunajiamini wenye misingi isiyoyumba tungeweka msimamo wetu wazi, ambao hata Kamala angeujua akiwa kwao Marekani, ndio maana hajakanyaga Kenya wala Uganda, amekuja straight Tanzania akijua fika sisi tuna kigugumizi ni wepesi kutongozwa, na tumeshatongozwa kwa hizo $560m.

Sasa tumebaki kutafuna kucha tu!.
Hata huko Kenya na Uganda hakuna kitu watafanya.Ushoga upo na utauabalika tu.Maskini hanuni.
 
Spika wa bunge la GHANA ameng'aka sana kuhusu Hotuba rasmi ya makamu wa rais wa marekani aliyoitoa kwenye ziara yake nchini Ghana. Harris hakumung'unya maneno kuhusu haki za ushoga!! Lakini spika wa bunge la Ghana amesema watapitisha sheria ya kupinga ushoga. Je watanzania tuna ubavu huo?

Ghana slams ‘undemocratic’ meddling by US​

Remarks by visiting US VP Kamala Harris on LGBT laws should not be tolerated, the country's parliamentary speaker has said
Ghana slams ‘undemocratic’ meddling by US

US Vice President Kamala Harris conducts a roundtable of women entrepreneurs to discuss economic empowerment, inclusion and leadership in Accra, Ghana, March 29, 2023 [emoji2398] AP / Misper Apawu
Ghana intends to pass its family values act regardless of what the US says, Speaker of the Parliament Alban Bagbin has told lawmakers. He was speaking in response to remarks by US Vice President Kamala Harris on her African tour in Ghana this week, that LGBT rights were a human rights issue.
Bagbin dismissed Harris' remarks. “These things should not be tolerated. That is undemocratic! What is democracy? That somebody else would have to dictate to me, as to what is good and what is bad? Unheard of!” Bagbin said

Museveni amefanikiwa kuwapinga marekani wazi wazi kuhusu ushoga na amepitisha sheria kali sana kuhusu ushoga. Nauliza tena je Tanzania tuna ubavu huo?
Huyo spika ni mjinga tu,han uwezo wa kuzuia chochote.
 
Kwani msimamo ni wa Rais au sheria? hapa Tanzania sheria zimekataza Sasa kivipi Tena msimamo haufahamiki?
Hata kama msimamo ni sheria, lakini ukiwa unazungumza na mtu asiye na msimamo unaofanana na wako huwezi kuwa na amani, utajua kabisa huu mtihani uko mbele yangu, kazi kwako!.

Hizo sheria hata kama zipo mbona bado tunatongozwa na misaada yao na tumekaa kimya, kwanini tusiwaambie sheria zetu zinakataza? jana Samia kagoma maswali ya waandishi, unajua alikimbia nini pale?
 
Dawa ya kulikwepa hili ni kwenda na back door democracy, wanakupa misaada na kisha unarusu jamii kuwashughulikia mashoga na rhetorically unakuwa kimya au unapinga kisiasa ukitumia kofia ya desturi,mila,utamaduni,na imani za kiafrika au vinginevyo unakimbilia China na Urusi kujazia pengo la usitishaji wao wa misaada.
Hapo utakuwa kama msichana anayekubali kupokea zawadi lukuki za mwanamume huku akijifanya hajui malengo ya mwanamume huyu wakati anayajua kabisa! siku ya siku mwanamke atalazimika kulipa tu vinginevyo maisha yake yanakuwa hatarini! jibu zuri ni kukataa misaada ambayo unajua lengo lake ni baya! waulize malawi ujue kilichowatokea!
 
Ukweli tunaogopa msimamo wa wazi ndio maana tuna sheria lakini mashoga wanatamba na wanajulikana hadi wasanii wakubwa wanawaendekeza dhahiri lakini serikali ipo kimya.

Sasa hawa watakuja kupata nguvu tutaisha. Tutapata mawaziri na wabunge ni hao, sheria si itatungwa? Ni vizuri iwe inakemewa hasa hawa wanaofanya wazi bila kificho, wapo hadi kwenye media na wanaonyesha mwenendo wa kutia shaka usio mfano bora kwa jamii.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
jana wamesifia demokrasia na haki za binadamu watu wanapiga makofi hahhhahhahhahah bila kujua mshaingizwa kingi
 
Kwani msimamo ni wa Rais au sheria? hapa Tanzania sheria zimekataza Sasa kivipi Tena msimamo haufahamiki?

Wewe huwajui watu wanafiki..
Walichotaka wao ni Samia awashambulie USA kwenye media ikiwezekana akatae ziara ya Kamala ..
Ili halafu tukipigwa vikwazo wake tena kumshambulia Samia Kwa kuharibu diplomasia......

We hushangai watu ambao Viongozi wao WA kisiasa kina Lema na Tundu Lissu wanaunga mkono haki za Mashoga waziwazi ..lakini wanataka Samia apinge ...Hulu wako kimya Kwa Lema na Lissu??...we huoni ajabu hii??
 
Wewe huwajui watu wanafiki..
Walichotaka wao ni Samia awashambulie USA kwenye media ikiwezekana akatae ziara ya Kamala ..
Ili halafu tukipigwa vikwazo wake tena kumshambulia Samia Kwa kuharibu diplomasia......

We hushangai watu ambao Viongozi wao WA kisiasa kina Lema na Tundu Lissu wanaunga mkono haki za Mashoga waziwazi ..lakini wanataka Samia apinge ...Hulu wako kimya Kwa Lema na Lissu??...we huoni ajabu hii??
Lini lissu na lema waliuunga mkono ushoga kama sio uongo, ulivyokua na akili fupi sasa umlaumu lissu na lema wao ndo chama tawala au wasimamiz wa sheria

Lawama lazima ziende kwa samia na serekali ya ccm wao ndo wako wengi bungeni na wanaweza pitisha sheria alafu unakuja kulaumu lisu na lema si uwendawazimu

Ccm walichofanikiwa ni kuaminisha watanzania wao sio responsible kwa matatizo ya Tanzania bali ni chadema
 
Hivi watanzania wanaelewa maana ya demokrasia na haki za binadamu kama zinavyofahamika na marekani? Kwa marekani demokrasia na haki za binadamu zinaambatana na haki za mashoga almaarufu kama LGBT!! Ukikubali demokrasia na haki za binadamu zinazoigiwa debe na marekani duniani kote maana yake ni kukubali haki za mashoga! Misaada hii iliyoahidiwa ya mamilioni ya dola za marekani itatekelezeka kwa masharti ya uhuru wa haki za binadamu ikiwemo ya LGBT! Hii ni hatua ya kwanza ambayo lugha ya awali inayotumika hadharani ni DEMOKRASIA NA HAKI ZA BINADAMU!! Wakati wa kutaka kupokea hiyo misaada ndio ufafanuzi wa demokrasia na haki za binadamu kwa mujibu wa marekani hufuata na hapo ndio suala la haki za mashoga/LGBT hujitokeza!! Je tutakua na ubavu wa kukataa misaada hii lukuki?? Yetu macho!! Ila Malawi walishindwa wakajikuta wanahalalisha ushoga rasmi!!

Taarifa ya Marekani iliyotolewa rasmi kuhusu makubaliano ya demokrasia na haki za binadamu hapa Tanzania wakati wa ziara ya makamu wa rais wa Marekani hapa nchini ni hii hapa:

• Kuimarisha Haki za Kidemokrasia na Utawala Bora:
Katika maombi yake ya bajeti ya Mwaka wa Fedha 2024, utawala wa Biden-Harris umetenga takriban Dola za Kimarekani milioni 16.4 kugharimia programu zinazohusu demokrasia, haki na utawala nchini Tanzania. Hili ni ongezeko kubwa la msaada kwa jitihada za Tanzania katika eneo hili. Zaidi ya hayo, USAID imeichagua Tanzania kama nchi itakayopokea usaidizi kusaidia jitihada zake za kukuza ushiriki wa wanawake na wasichana katika uongozi wa kiraia na kisiasa, hivyo kutoa takriban Dola za Kimarekani Milioni 1 za ziada kugharimia programu hizi kuanzia mwaka huu.

Huko GHANA Makamu wa rais wa Marekani ambako ndiko alikoanzia ziara yake barani afrika hakumung'unya maneno kuhusu mfungamano wa demokrasia na haki za mashoga-LGBT. Huu hapa msimamo wake wakati anaongea na Rais wa GHANA:


In a joint press conference with President Nana Akufo-Addo on Monday, Harris did not directly address the bill, but affirmed that LGBT rights were “an issue that we consider to be a human rights issue, and that will not change.”
Last week, National Security Council spokesman John Kirby told reporters at the White House that LGBT rights were “something that’s a core part of our foreign policy, and it will remain so.”

Tusijidanganye kuwa msimamo huo wa Marekani kuhusu haki za binadamu na ushoga utabadilika hapa Tanzania tofauti na kwingineko!! Wamesema kabisa kuwa hilo halitabadilika na ni sehemu muhimu sera ya nchi za nje ya marekani!!

Watanzania tusije tukajikuta tumeingia mikataba kama enzi za kina MANGUNGU!! Tutaambiwa ukipenda boga penda na ua lake!!! Kwa mujibu wa Marekani huwezi ukatenganisha haki za binadamu na haki za mashoga!! Marekani ikiongea haki za binadamu ujue inaongea haki za mashoga. Tafadhali tusijitoe ufahamu tukajifanya hatujui Marekani anamaanisha nini anaozungumza habari ya demokrasia na haki za binadamu!!
Sipendi kuwepo haki za mashoga, napenda ulewe kuwa mashoga nao ni watu kama wewe na mimi. Kuna watu wezi wakubwa, wamewahi kutengwa, wanafilisi nchi kwa faida binafsi. Kuna wengine wnatumia madaraka vibaya hata kuua, je wamewahi kutengwa. Sio kama napenda mashoga wawe na haki kama haki za wajane. Tambua kuwa hsoga ni mtu.
 
Spika wa bunge la GHANA ameng'aka sana kuhusu Hotuba rasmi ya makamu wa rais wa marekani aliyoitoa kwenye ziara yake nchini Ghana. Harris hakumung'unya maneno kuhusu haki za ushoga!! Lakini spika wa bunge la Ghana amesema watapitisha sheria ya kupinga ushoga. Je watanzania tuna ubavu huo?

Ghana slams ‘undemocratic’ meddling by US​

Remarks by visiting US VP Kamala Harris on LGBT laws should not be tolerated, the country's parliamentary speaker has said
Ghana slams ‘undemocratic’ meddling by US

US Vice President Kamala Harris conducts a roundtable of women entrepreneurs to discuss economic empowerment, inclusion and leadership in Accra, Ghana, March 29, 2023 [emoji2398] AP / Misper Apawu
Ghana intends to pass its family values act regardless of what the US says, Speaker of the Parliament Alban Bagbin has told lawmakers. He was speaking in response to remarks by US Vice President Kamala Harris on her African tour in Ghana this week, that LGBT rights were a human rights issue.
Bagbin dismissed Harris' remarks. “These things should not be tolerated. That is undemocratic! What is democracy? That somebody else would have to dictate to me, as to what is good and what is bad? Unheard of!” Bagbin said

Museveni amefanikiwa kuwapinga marekani wazi wazi kuhusu ushoga na amepitisha sheria kali sana kuhusu ushoga. Nauliza tena je Tanzania tuna ubavu huo?
Uganda wana kiongozi anayejielewa
Screenshot_20230330-231653~2.jpg
 
Acheni utoto kwahiyo Taliban wakisema waislam duniani wafanye Jihad basi Ina maana hata Hawa waislam wa Tanzania nao tuwaone ni jihadists?

Demokrasia Ina misingi 11, mfano uhuru wa habari, uhuru wa mahakama, Minority rights, uchaguzi huru, haki ya kusikilizwa, uwajibikaji n.k Sasa kivipi hayo yote yanalenga ushoga??

Wanachofanya USA ni minority rights ndio maana sera zao ni kulinda makundi kama watu weusi, mashoga, wanawake, haki za wanyama, mazingira n.k and not necessarily tu ushoga kama tunavyopotoshana humu.

Kingine demokrasia haukuanzia USA ilikuwepo Ugiriki huko miaka na miaka Cha kushangaza mnaigeuza kama ni ya wamarekani.

JF Haina GT siku hizi
Shida sio demokrasia imeanzia wapi. Hayo mambo ya history yatupilie mbali, tuzungumzie dunia hii ya leo, tunayoishi sasa.
Kwa sasa U.S.A ndio father of democracy
 
Hivi watanzania wanaelewa maana ya demokrasia na haki za binadamu kama zinavyofahamika na marekani? Kwa marekani demokrasia na haki za binadamu zinaambatana na haki za mashoga almaarufu kama LGBT!! Ukikubali demokrasia na haki za binadamu zinazoigiwa debe na marekani duniani kote maana yake ni kukubali haki za mashoga! Misaada hii iliyoahidiwa ya mamilioni ya dola za marekani itatekelezeka kwa masharti ya uhuru wa haki za binadamu ikiwemo ya LGBT! Hii ni hatua ya kwanza ambayo lugha ya awali inayotumika hadharani ni DEMOKRASIA NA HAKI ZA BINADAMU!! Wakati wa kutaka kupokea hiyo misaada ndio ufafanuzi wa demokrasia na haki za binadamu kwa mujibu wa marekani hufuata na hapo ndio suala la haki za mashoga/LGBT hujitokeza!! Je tutakua na ubavu wa kukataa misaada hii lukuki?? Yetu macho!! Ila Malawi walishindwa wakajikuta wanahalalisha ushoga rasmi!!

Taarifa ya Marekani iliyotolewa rasmi kuhusu makubaliano ya demokrasia na haki za binadamu hapa Tanzania wakati wa ziara ya makamu wa rais wa Marekani hapa nchini ni hii hapa:

• Kuimarisha Haki za Kidemokrasia na Utawala Bora:
Katika maombi yake ya bajeti ya Mwaka wa Fedha 2024, utawala wa Biden-Harris umetenga takriban Dola za Kimarekani milioni 16.4 kugharimia programu zinazohusu demokrasia, haki na utawala nchini Tanzania. Hili ni ongezeko kubwa la msaada kwa jitihada za Tanzania katika eneo hili. Zaidi ya hayo, USAID imeichagua Tanzania kama nchi itakayopokea usaidizi kusaidia jitihada zake za kukuza ushiriki wa wanawake na wasichana katika uongozi wa kiraia na kisiasa, hivyo kutoa takriban Dola za Kimarekani Milioni 1 za ziada kugharimia programu hizi kuanzia mwaka huu.

Huko GHANA Makamu wa rais wa Marekani ambako ndiko alikoanzia ziara yake barani afrika hakumung'unya maneno kuhusu mfungamano wa demokrasia na haki za mashoga-LGBT. Huu hapa msimamo wake wakati anaongea na Rais wa GHANA:


In a joint press conference with President Nana Akufo-Addo on Monday, Harris did not directly address the bill, but affirmed that LGBT rights were “an issue that we consider to be a human rights issue, and that will not change.”
Last week, National Security Council spokesman John Kirby told reporters at the White House that LGBT rights were “something that’s a core part of our foreign policy, and it will remain so.”

Tusijidanganye kuwa msimamo huo wa Marekani kuhusu haki za binadamu na ushoga utabadilika hapa Tanzania tofauti na kwingineko!! Wamesema kabisa kuwa hilo halitabadilika na ni sehemu muhimu sera ya nchi za nje ya marekani!!

Watanzania tusije tukajikuta tumeingia mikataba kama enzi za kina MANGUNGU!! Tutaambiwa ukipenda boga penda na ua lake!!! Kwa mujibu wa Marekani huwezi ukatenganisha haki za binadamu na haki za mashoga!! Marekani ikiongea haki za binadamu ujue inaongea haki za mashoga. Tafadhali tusijitoe ufahamu tukajifanya hatujui Marekani anamaanisha nini anaozungumza habari ya demokrasia na haki za binadamu!!
🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Ukiheshimu haki za binadamu automatically lazima uheshimu haki za mashoga. Maana nao ni binadamu.
Haki za binadamu tunazungumzia "natural justice" na "values za ubinadamu" je ushoga ni ubinadamu kwenye mazingira yote ya jamii zote duniani kweli? Sodoma na Gomola tunaikaribia tena
 
Back
Top Bottom