Huko USA huwezi kutenganisha haki za binadamu na haki za mashoga/LGBT!

Makundi matatu ukiyagusa umeigusa dunia
1.Wayahudi
2.Mashoga/Wasagaji(Gays)
3.Wanawake
Tafakari hayo makundi yananguvu kubwa ukishidana nayo huwezi kushinda.
Je madawa ya kulevya na magaidi hawamo?
 
SSamia
Aiseeh Samia ataziacha kweli ngoja tuone
 
Anajidanganya haki na kuwa huru ni maridhiano ya Mbowe na ccm?

Kumbe kuruhusu nguvu kazi kupasuliwa marinda kuwa mafaruku
Mkuu wakuruhusu ushoga na wewe utakuwa tayari kupasuliwa marinda yako kisa Serikali imeruhusu upumbavu?
 
So Serikali ikiruhusu ujinga huo na wewe utakuwa tayari kupasuliwa?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sukuma gang mnaumia sana, anyway poleni
 
jana wamesifia demokrasia na haki za binadamu watu wanapiga makofi hahhhahhahhahah bila kujua mshaingizwa kingi
Mkuu so na wewe utakuwa shoga kwa sababu Serikali imeruhusu upumbavu?
 
Kenya si hadi mahakama imepitisha sheria au?
 
Shoga ni shoga tu, anayelawiti wamaume wenzake na anaye lawiti democrasia, haki za wengine, pesa za umma wote ni mashoga
 
Hahaha
 
Waaafrika TULIKUWA na misimamo yetu thabiti kabisaa, kabla ya kuja hii kitu inayoitwa demokrasia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…