raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
KabisaAkidanya shauri lake...... Zaidi ya majina na kusoma post mengine hatuyajui ya watu humu
Na kingine kama ni uongo awe na kumbukumbu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaAkidanya shauri lake...... Zaidi ya majina na kusoma post mengine hatuyajui ya watu humu
Biharusi hujambo mama😆😆[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
AmenMungu awatangulie
Watu wanapitiaga pagumu mpaka wanatafuta namna ya kujipa raha wenyewe...Kabisa
Na kingine kama ni uongo awe na kumbukumbu tu
Pyeeeeee🤣🤣🤣🤣Tayari 😆
Ngoja niandae kwapa kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Biharusi hujambo mama[emoji38][emoji38]
Najuta kutoa ushauri na maoni🤣🤣Ndio maana nika comment aache upumbavu jamaa. Ukitumia Google image search unaipata hii picha. Sijui ni utoto unawasumbua au stress za maisha.
Jitahidi maana nitakuwa wakwanza kukusema.😀Ngoja niandae kwapa kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ebwana eeh.....saundi zaidi.Kwema?
Jamani hatimaye leo nimefunga ndoa na aliyekuwa mpenzi wangu wa zamani Adelina Jackson Kimambo pale kanisa la St. Joseph misouri Lutheran church.
Namshukuru jalali kiukweli ndugu sijaamini kabisa kumuoa hii pili kali kwanza yeye ni msomi na mtoto wa kitajiri wa kichaga wa familia ya mzee Kimambo pale Moshi mjini karibu na stendi kuu.
Ndoa yangu ilihudhuriwa na watu wachache sana kutokana na hofu ya ugonjwa wa korona.
Ndoa yangu ilihushuriwa pia na meya wa wa huu mji ninaoshi mie wa Missouri anayeutwa Josh Hawley, governor Mime Parson na attorney General Eric Shimitt na watu kemkem wa serikali ya state ya Missouri pamoja na waafrika wenzangu kama Ibrahim Onami wa minessora pia alikuja mr. Makulilo wa EBM.
Ndugu zangu nimeacha ubachela wewewe. Namshukuru mungu kwa hii hatua
Kesho tunaelekea Qatar kwa ajili ya ffungate na kuangalia mechi za world Cup angalia moja mbili tatu then we will came USA.
View attachment 2421169View attachment 2421171
Siku hizi kuna wimbi la vijana wajinga sana, anasifia utajiri na elimu ya mkeMungu awatangulie
Ndio hao vijana juzi niliwaita wa KinondoniSiku hizi kuna wimbi la vijana wajinga sana, anasifia utajiri na elimu ya mke
Hawajui maana ya ndoa kwa kweli sijui huu uhuni umeanzia wapi, kuna mmoja jana alikuja na uzi pia anasifia elimu ya mke na umaarufu wa familia ya mke
[emoji23] mtambaswalaJamiiChecks inaonyesha Lumumbashi anapost kutokea huko Mtambaswala.
Anatudanganya yuko Missouri
Picha ya kwanza na ya pili mbona dressing ipo tofauti... wakati ni event moja ya kanisani...???Kwema?
Jamani hatimaye leo nimefunga ndoa na aliyekuwa mpenzi wangu wa zamani Adelina Jackson Kimambo pale kanisa la St. Joseph misouri Lutheran church.
Namshukuru jalali kiukweli ndugu sijaamini kabisa kumuoa hii pili kali kwanza yeye ni msomi na mtoto wa kitajiri wa kichaga wa familia ya mzee Kimambo pale Moshi mjini karibu na stendi kuu.
Ndoa yangu ilihudhuriwa na watu wachache sana kutokana na hofu ya ugonjwa wa korona.
Ndoa yangu ilihushuriwa pia na meya wa wa huu mji ninaoshi mie wa Missouri anayeutwa Josh Hawley, governor Mime Parson na attorney General Eric Shimitt na watu kemkem wa serikali ya state ya Missouri pamoja na waafrika wenzangu kama Ibrahim Onami wa minessora pia alikuja mr. Makulilo wa EBM.
Ndugu zangu nimeacha ubachela wewewe. Namshukuru mungu kwa hii hatua
Kesho tunaelekea Qatar kwa ajili ya ffungate na kuangalia mechi za world Cup angalia moja mbili tatu then we will came USA.
View attachment 2421169View attachment 2421171