Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Kabisa.Watu wanaumwa tuwaonee huruma
Ila masikitiko hayaachi kuwepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa.Watu wanaumwa tuwaonee huruma
Una experience na huo uchungu 🤣🤣😥Wahenga walisema bora ukosee kujenga nyumba! Maana unaweza kubomoa na kujenga nyingine. Ila usikosee kuoa.
Siku zote ndoa hupimwa kupitia hiyo chemistry! Yaani mkiendana, basi mtafurahia sana maisha ya ndoa. Maana furaha, amani na upendo vitatawala ndani ya nyumba.
Ila msipoendana, aisee ndoa ni chungu kuliko hata shubiri.
Funza alafu ni dume 🤣🤣🤣🤜🤜🤜Ingawa ni chai ila nimelipenda kwapa la bi harusi
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Noma na nusu [emoji23]Funza alafu ni dume [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2936][emoji2936][emoji2936]
Namshukuru Mungu nilibahatika kupata wife material.Una experience na huo uchungu 🤣🤣😥
Yaaan wewe umeangalia kwa dakika zote hizo umependa kwapa tuu... 🤣🤣🤣🤣
Aaaah hongera sana.. ila huo uchungu unaozungumzia wewe kama unazidisha hivi 🤣🤣🤣🤣Namshukuru Mungu nilibahatika kupata wife material.
Ahsante mkuuHongera sana Sana...Mungu awalinde kwenye safari yenu mpya
Umefanyeje mkuuHongera sana mkuu.Muishi Kwa upendo na Amani.kukoseana,kusameheana,na kuvumiliana vikawe msingi katika ndoa yenu.
Kuna mamtu zitakuja kuuzungumzia mkono wa hiyo picha ya chini
Kurudi Tanzania mkuu mmmh sidhaniFamilia imeongezeka..omba ajira kabisa ya nyumbani.
Ahsante notedHongera kwa kufunga ndoa. Ila ujitahidi kuondoa sasa kichwani mwako hiyo dhana ya kuoa mtoto wa kichaga! Mtoto msomi! Pisi kali! Mtoto wa kitajiri, nk.
Maana kinacho angaliwa kwenye maisha ya ndoa ni ile chemistry (maelewano/kuendana) kati yenu kwa zaidi ya 80%. Na wala siyo hivyo vigezo vingine. Ni ushauri lakini. Hivyo usije ukanielewa tofauti.
Wivu unawasumbia tu picha na ndoa yangu wapi na wapi? You take everything too seriuous? Kwanini hup userious wenu mkapeleke kutatua maji huko kwenu dare salaamKwa kweli hii elimu inahitajika zaidi ya elimu ya darasani maana vijana wanayumba kwa sababu hawajapata mwongozo sahihi
Hebu tukae kikao tujadili kwa upana maana hii idea ya ni ya kufingia mwaka kabisa
Then nini shida? Wewe member wa zamani umeisaidia nini jamii yenu ikaondoka na baa la njaa?
Sema mleta mada hajasema kama picha alizoambatanisha na uzi ni yeyeNdio maana nika comment aache upumbavu jamaa. Ukitumia Google image search unaipata hii picha. Sijui ni utoto unawasumbua au stress za maisha.
Unajikuta motivation speaker sio? Katatue baa la njaa huko kwenu ndiyo nikuone we ni bora
Ivi unaweza kupitia magumu mpaka ukajihisi uko marekani 😆 aisee stress itakuwa zaidi ya drugWatu wanapitiaga pagumu mpaka wanatafuta namna ya kujipa raha wenyewe...
Pyaaaa pyeeeee pyiiiiiiiiii 🤣😂Pyeeeeee🤣🤣🤣🤣
Sana tu mbona... Tena ukiangalia movie wahusika wakila bata unavaa uhusika kwa muda...maisha yanaendeleaIvi unaweza kupitia magumu mpaka ukajihisi uko marekani 😆 aisee stress itakuwa zaidi ya drug
Kweli inaweza kuwa ametumia tu picha za wengine kuonesha msisitizoSema mleta mada hajasema kama picha alizoambatanisha na uzi ni yeye