Huku Marekani, hatimaye nimefunga ndoa na mpenzi wangu wa muda mrefu

Huku Marekani, hatimaye nimefunga ndoa na mpenzi wangu wa muda mrefu

Kwema?

Jamani hatimaye leo nimefunga ndoa na aliyekuwa mpenzi wangu wa zamani Adelina Jackson Kimambo pale kanisa la St. Joseph misouri Lutheran church.

Namshukuru jalali kiukweli ndugu sijaamini kabisa kumuoa hii pili kali kwanza yeye ni msomi na mtoto wa kitajiri wa kichaga wa familia ya mzee Kimambo pale Moshi mjini karibu na stendi kuu.

Ndoa yangu ilihudhuriwa na watu wachache sana kutokana na hofu ya ugonjwa wa korona.
Ndoa yangu ilihushuriwa pia na meya wa wa huu mji ninaoshi mie wa Missouri anayeutwa Josh Hawley, governor Mime Parson na attorney General Eric Shimitt na watu kemkem wa serikali ya state ya Missouri pamoja na waafrika wenzangu kama Ibrahim Onami wa minessora pia alikuja mr. Makulilo wa EBM.

Ndugu zangu nimeacha ubachela wewewe. Namshukuru mungu kwa hii hatua
Kesho tunaelekea Qatar kwa ajili ya ffungate na kuangalia mechi za world Cup angalia moja mbili tatu then we will came USA.
View attachment 2421169View attachment 2421171

Screenshot_20221117-163535.png
 
Kwema?

Jamani hatimaye leo nimefunga ndoa na aliyekuwa mpenzi wangu wa zamani Adelina Jackson Kimambo pale kanisa la St. Joseph misouri Lutheran church.

Namshukuru jalali kiukweli ndugu sijaamini kabisa kumuoa hii pili kali kwanza yeye ni msomi na mtoto wa kitajiri wa kichaga wa familia ya mzee Kimambo pale Moshi mjini karibu na stendi kuu.

Ndoa yangu ilihudhuriwa na watu wachache sana kutokana na hofu ya ugonjwa wa korona.
Ndoa yangu ilihushuriwa pia na meya wa wa huu mji ninaoshi mie wa Missouri anayeutwa Josh Hawley, governor Mime Parson na attorney General Eric Shimitt na watu kemkem wa serikali ya state ya Missouri pamoja na waafrika wenzangu kama Ibrahim Onami wa minessora pia alikuja mr. Makulilo wa EBM.

Ndugu zangu nimeacha ubachela wewewe. Namshukuru mungu kwa hii hatua
Kesho tunaelekea Qatar kwa ajili ya ffungate na kuangalia mechi za world Cup angalia moja mbili tatu then we will came USA.
View attachment 2421169View attachment 2421171
.
JamiiForums896121211.gif
 
Hapa nimekuelewa
Hivi haiwezekani tukafungua darasa la jando na unyago, vijana wafundishwe kuyakabili maisha badala ya kuyaogopa?
Vijana wafundishwe kuzibadili rasilimali zinazo wazunguka kuwa fedha badala ya kutegemea fedha za wakwe/ za binti?
Vijana wafundishwe tofauti ya kazi na ajira? Maana wengi wakikosa ajira wanadhani wamekosa kazi.
Hebu tulipanue hili wazo, maana naona kizazi kinazidi kukengeuka
 
Kwema?

Jamani hatimaye leo nimefunga ndoa na aliyekuwa mpenzi wangu wa zamani Adelina Jackson Kimambo pale kanisa la St. Joseph misouri Lutheran church.

Namshukuru jalali kiukweli ndugu sijaamini kabisa kumuoa hii pili kali kwanza yeye ni msomi na mtoto wa kitajiri wa kichaga wa familia ya mzee Kimambo pale Moshi mjini karibu na stendi kuu.

Ndoa yangu ilihudhuriwa na watu wachache sana kutokana na hofu ya ugonjwa wa korona.
Ndoa yangu ilihushuriwa pia na meya wa wa huu mji ninaoshi mie wa Missouri anayeutwa Josh Hawley, governor Mime Parson na attorney General Eric Shimitt na watu kemkem wa serikali ya state ya Missouri pamoja na waafrika wenzangu kama Ibrahim Onami wa minessora pia alikuja mr. Makulilo wa EBM.

Ndugu zangu nimeacha ubachela wewewe. Namshukuru mungu kwa hii hatua
Kesho tunaelekea Qatar kwa ajili ya ffungate na kuangalia mechi za world Cup angalia moja mbili tatu then we will came USA.
View attachment 2421169View attachment 2421171
 

Attachments

  • cup-of-tea-teapot.gif
    cup-of-tea-teapot.gif
    157.7 KB · Views: 4
Hivi haiwezekani tukafungua darasa la jando na unyago, vijana wafundishwe kuyakabili maisha badala ya kuyaogopa?
Vijana wafundishwe kuzibadili rasilimali zinazo wazunguka kuwa fedha badala ya kutegemea fedha za wakwe/ za binti?
Vijana wafundishwe tofauti ya kazi na ajira? Maana wengi wakikosa ajira wanadhani wamekosa kazi.
Hebu tulipanue hili wazo, maana naona kizazi kinazidi kukengeuka
Wewe ni motivation speaker mkuu....🥱🥱🤒
 
Hongera kwa kufunga ndoa. Ila ujitahidi kuondoa sasa kichwani mwako hiyo dhana ya kuoa mtoto wa kichaga! Mtoto msomi! Pisi kali! Mtoto wa kitajiri, nk.

Maana kinacho angaliwa kwenye maisha ya ndoa ni ile chemistry (maelewano/kuendana) kati yenu kwa zaidi ya 80%. Na wala siyo hivyo vigezo vingine. Ni ushauri lakini. Hivyo usije ukanielewa tofauti.
"""Maana kinacho angaliwa kwenye maisha ya ndoa ni ile chemistry""🤣🤣🤣🤣 hapo kwa chemistry an ipoje mkuu ?
 
"""Maana kinacho angaliwa kwenye maisha ya ndoa ni ile chemistry""🤣🤣🤣🤣 hapo kwa chemistry an ipoje mkuu ?
Wahenga walisema bora ukosee kujenga nyumba! Maana unaweza kubomoa na kujenga nyingine. Ila usikosee kuoa.

Siku zote ndoa hupimwa kupitia hiyo chemistry! Yaani mkiendana, basi mtafurahia sana maisha ya ndoa. Maana furaha, amani na upendo vitatawala ndani ya nyumba.

Ila msipoendana, aisee ndoa ni chungu kuliko hata shubiri.
 
Hivi haiwezekani tukafungua darasa la jando na unyago, vijana wafundishwe kuyakabili maisha badala ya kuyaogopa?
Vijana wafundishwe kuzibadili rasilimali zinazo wazunguka kuwa fedha badala ya kutegemea fedha za wakwe/ za binti?
Vijana wafundishwe tofauti ya kazi na ajira? Maana wengi wakikosa ajira wanadhani wamekosa kazi.
Hebu tulipanue hili wazo, maana naona kizazi kinazidi kukengeuka
Kwa kweli hii elimu inahitajika zaidi ya elimu ya darasani maana vijana wanayumba kwa sababu hawajapata mwongozo sahihi

Hebu tukae kikao tujadili kwa upana maana hii idea ya ni ya kufingia mwaka kabisa
 
"""Maana kinacho angaliwa kwenye maisha ya ndoa ni ile chemistry""🤣🤣🤣🤣 hapo kwa chemistry an ipoje mkuu ?
It's all about composition and decomposition of your bond. Composition is when you manage to stay peacefully and happy without unusual conflicts and decomposition is when you take your challenges positively as a fertilizer, process them and apply them for the growth and stability of your bond.
 
Nimejaribu Sana Google image search...hebu toa darasa unaifanyaje ..Kwa simu? Ni Ku copy na kupaste na Ku search only?
Unainstall App, then unachukua hiyo image unaiupload kule halafu kuna seheme ya search... inakuletea similar images zote, au image zinazofanana na hizo.

Au kama mdau alivyoelekeza hapo juu.
 
It's all about composition and decomposition of your bond. Composition is when you manage to stay peacefully and happy without unusual conflicts and decomposition is when you take your challenges positively as a fertilizer, process them and apply them for the growth and stability of your bond.
Mmmmmh aiseee kuna watu mume dig deeply an 🤣🤣🤣🤝🤝🤜🤜 yaan wee na chemia mna bond tena ile hydrogen bond... Sasa unaitumia in real life
 
Back
Top Bottom