Huku Marekani, hatimaye nimefunga ndoa na mpenzi wangu wa muda mrefu

Huku Marekani, hatimaye nimefunga ndoa na mpenzi wangu wa muda mrefu

Mkuu ungenipa hata kazi ya kuja kunawisha watu mikono laifu imenipiga kinoma imebakiza kunivua nguo tu
😀😀bro atupe ata deal ya kuhudumia mifugo nyumbani kwake maana bongo jua kali kisenge
 
Kwema?

Jamani hatimaye leo nimefunga ndoa na aliyekuwa mpenzi wangu wa zamani Adelina Jackson Kimambo pale kanisa la St. Joseph misouri Lutheran church.

Namshukuru jalali kiukweli ndugu sijaamini kabisa kumuoa hii pili kali kwanza yeye ni msomi na mtoto wa kitajiri wa kichaga wa familia ya mzee Kimambo pale Moshi mjini karibu na stendi kuu.

Ndoa yangu ilihudhuriwa na watu wachache sana kutokana na hofu ya ugonjwa wa korona.
Ndoa yangu ilihushuriwa pia na meya wa wa huu mji ninaoshi mie wa Missouri anayeutwa Josh Hawley, governor Mime Parson na attorney General Eric Shimitt na watu kemkem wa serikali ya state ya Missouri pamoja na waafrika wenzangu kama Ibrahim Onami wa minessora pia alikuja mr. Makulilo wa EBM.

Ndugu zangu nimeacha ubachela wewewe. Namshukuru mungu kwa hii hatua
Kesho tunaelekea Qatar kwa ajili ya ffungate na kuangalia mechi za world Cup angalia moja mbili tatu then we will came USA.
View attachment 2421169View attachment 2421171
KUNA MTU ATALIZWA IZI SIKU MBILI😀😀
 
huna akili.
giphy.gif
Are u mentally sick?
 
Josh Hawley is not a mayor ni Senator from Missouri, na Ibrahim Onami ni mshikaji wangu youtuber yupo MN nimempigia simu kasema hajaenda kwenye harusi yeyote hivi karibuni, dogo nafikiri unadanganya
 
Hongera sana kwa kufunga pingu....aisee namkubali sana Mr Onami mzee wa Huku Yues....mfikishie salaam.
 
We jamaa akili zako kama zina matope,wewe unajificha kwa ID lakini unatoa ufafanuzi information za Mkeo sasa MTU akitaka kukupata Si anafatilia tu information za huyo binti.Kulikuwa na haja ganj ya wewe kutumia fake ID
 
Kwema?

Jamani hatimaye leo nimefunga ndoa na aliyekuwa mpenzi wangu wa zamani Adelina Jackson Kimambo pale kanisa la St. Joseph misouri Lutheran church.

Namshukuru jalali kiukweli ndugu sijaamini kabisa kumuoa hii pili kali kwanza yeye ni msomi na mtoto wa kitajiri wa kichaga wa familia ya mzee Kimambo pale Moshi mjini karibu na stendi kuu.

Ndoa yangu ilihudhuriwa na watu wachache sana kutokana na hofu ya ugonjwa wa korona.
Ndoa yangu ilihushuriwa pia na meya wa wa huu mji ninaoshi mie wa Missouri anayeutwa Josh Hawley, governor Mime Parson na attorney General Eric Shimitt na watu kemkem wa serikali ya state ya Missouri pamoja na waafrika wenzangu kama Ibrahim Onami wa minessora pia alikuja mr. Makulilo wa EBM.

Ndugu zangu nimeacha ubachela wewewe. Namshukuru mungu kwa hii hatua
Kesho tunaelekea Qatar kwa ajili ya ffungate na kuangalia mechi za world Cup angalia moja mbili tatu then we will came USA.
View attachment 2421169View attachment 2421171
Mkuu nilijua umefunga ndoa na Binti wa kizungu
 
Back
Top Bottom