Huku Marekani, hatimaye nimefunga ndoa na mpenzi wangu wa muda mrefu

Ebwana eeh.....saundi zaidi.
 
Mkuu tupe mbinu nasisi beachboys na serengeti boys wa hapa posta tufike levo zako.
Kuna huyu mmasai ameokota dodo ananiinspire sana.
Kumbe inawezekana kuishi kwa kitonga cha kike manze
 
Picha ya kwanza na ya pili mbona dressing ipo tofauti... wakati ni event moja ya kanisani...???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…