Huku Marekani, hatimaye nimefunga ndoa na mpenzi wangu wa muda mrefu

Mkuu ungenipa hata kazi ya kuja kunawisha watu mikono laifu imenipiga kinoma imebakiza kunivua nguo tu
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€bro atupe ata deal ya kuhudumia mifugo nyumbani kwake maana bongo jua kali kisenge
 
KUNA MTU ATALIZWA IZI SIKU MBILI๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Josh Hawley is not a mayor ni Senator from Missouri, na Ibrahim Onami ni mshikaji wangu youtuber yupo MN nimempigia simu kasema hajaenda kwenye harusi yeyote hivi karibuni, dogo nafikiri unadanganya
 
Hongera sana kwa kufunga pingu....aisee namkubali sana Mr Onami mzee wa Huku Yues....mfikishie salaam.
 
We jamaa akili zako kama zina matope,wewe unajificha kwa ID lakini unatoa ufafanuzi information za Mkeo sasa MTU akitaka kukupata Si anafatilia tu information za huyo binti.Kulikuwa na haja ganj ya wewe kutumia fake ID
 
Mkuu nilijua umefunga ndoa na Binti wa kizungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ